Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.

Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shoping, upike, mle mpige story ila hayupo.

Unajiuliza ulitolewa kwenye ubavu wa mbao nini? Mume wa mtu hana raha yoyote japo ni wawekezaji wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?

Easy sana,inaonesha we ni mtu wa ndani na hupendi kujichanganya..bas kama ni ivyo unajikosesha bahati duniani apa..wanaume tunachopenda ni kusikilizwa na kuheshimiwa..do this test..andaa your own cash..unaweza kuchukua laptop kama ni msomi au unaweza chukua hata note book yako then nenda sehem ya heshma..inaweza kuwa ni lounge za hotel za wastani ukiwa umependeza na hakikisha unavaa kiheshima..jaribu kupoteza atleast 3 hrs ukiwa unakula na kunywa na kuwa unafkiria mambo yako nk.nakuhakikishia ndani ya mwezi mmoja ukiwa unafanya ivyo kila weekend lazma upate mtu aliye rasmi..be classic enjoy your self company weneva you are,be selective kiasi na jua mambo mengi...all the best.wanaume tunavutiwa sana na wanawake wa ivyo na sana tukiwakuta sehem kama izo..

onyo..IWE MCHANA TAF
 
Easy sana,inaonesha we ni mtu wa ndani na hupendi kujichanganya..bas kama ni ivyo unajikosesha bahati duniani apa..wanaume tunachopenda ni kusikilizwa na kuheshimiwa..do this test..andaa your own cash..unaweza kuchukua laptop kama ni msomi au unaweza chukua hata note book yako then nenda sehem ya heshma..inaweza kuwa ni lounge za hotel za wastani ukiwa umependeza na hakikisha unavaa kiheshima..jaribu kupoteza atleast 3 hrs ukiwa unakula na kunywa na kuwa unafkiria mambo yako nk.nakuhakikishia ndani ya mwezi mmoja ukiwa unafanya ivyo kila weekend lazma upate mtu aliye rasmi..be classic enjoy your self company weneva you are,be selective kiasi na jua mambo mengi...all the best.wanaume tunavutiwa sana na wanawake wa ivyo na sana tukiwakuta sehem kama izo..

onyo..IWE MCHANA TAF
That is too artificial bro, too low ..... na ina sound like a changu, kwenda kuwinda watu ktk lounge za hotels...aka kununua magonjwa !! So shocked one can give such advise !!
If meant to be it will... sehemu yoyote, saa yoyote na bila hata note book au laptop !!

Bora hata ungesema a join gym au other social/health clubs ambako at least you have higher chances za kukutana na decent single guys.
 
Naona Miss yamekuzid yanataka kuingia kinywani, mpaka kufunguka hivi si bure. Binafsi mapenzi ya mbali siyawezi na sina mpango nayo.
Namsubir binti mmoja hiv huwa anavimba kichwa kiajabu pia, atakuja tu hapa na yeye. Lara 1
 
Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.

Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shoping, upike, mle mpige story ila hayupo.

Unajiuliza ulitolewa kwenye ubavu wa mbao nini? Mume wa mtu hana raha yoyote japo ni wawekezaji wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
Dah !
 
Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.

Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shoping, upike, mle mpige story ila hayupo.

Unajiuliza ulitolewa kwenye ubavu wa mbao nini? Mume wa mtu hana raha yoyote japo ni wawekezaji wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
Tulia
Badili mwonekano wako na mtazamo wako kimaisha, vitu unavyoamini, misimamo yako. Kama unamwamini Mungu, ni vyema kurudi katika imani yako, kuwa serious pia katika hilo.

Unapata wapigaji kwa sababu wewe mwenyewe umejiweka hivyo hivyo i.e mpigwaji
Fanya adjustments utakazoweza halafu leta mrejesho
 
Tulia anakuja....tena bila kuumiza kichwa...tulia wangu
 
Hongereni sasa Wadada mnafunguka. Miss chagga katapika kule. teh teh. safii.
 
Uwiiiiiii agrrrrrrr nikisikia shoping...kupika...tule bado kuosha vyombo ...ivi na nguo ufue agrrrrrrrr huu siwez kama wife material ya kiivi siwez

Lets meet lodge enjoy the moment kama haitakaa itokee tena....sijui kesho kwa hiyo bora ya leo

Mfanyie haya yule ya ubavu wako ukiwa kwa ndoa.piga goti upate wa ndoa hawa wa hit n run sio wa kuwafanyia hayo .pole sana ila tambua hta kama yupo mbali kama anakupenda utajua tuuu
 
So you are driven by being lonely..right?..take this...dont make permanent decisions by the power of emotions
 
You are not ready...love is not found...but it just comes at a right time if you are real connected to the divine!!!!
 
Back
Top Bottom