Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.
Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shoping, upike, mle mpige story ila hayupo.

Unajiuliza ulitolewa kwenye ubavu wa mbao nini? Mume wa mtu hana raha yoyote japo ni wawekezaji wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
[emoji121]
HILI TANGAZO LA CONTINENTAL DIKODA LIWEKEWE PICHA KABISA MKUU.
 
Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.
Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shoping, upike, mle mpige story ila hayupo.

Unajiuliza ulitolewa kwenye ubavu wa mbao nini? Mume wa mtu hana raha yoyote japo ni wawekezaji wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
Keep searching...
 
We Si ulishanikataa mimi nipo mtaani kwenu ? Ila wewe hujanijua freshi na hujawahi kuniona Tumekutana humu nikaomba Ukakaa kimya Tafta sasa umdhaniaye,Ila umri unasonga try to be humble
 
We Si ulishanikataa mimi nipo mtaani kwenu ? Ila wewe hujanijua freshi na hujawahi kuniona Tumekutana humu nikaomba Ukakaa kimya Tafta sasa umdhaniaye,Ila umri unasonga try to be humble
hata nikiwakubali wanaume wote wa humu jf wanaokuja pm napata nini ? mara yupo korea mara yupo libya mara tandahimba mi sitaki mahusiano ya hivo
 
Back
Top Bottom