Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Siri ya maisha ni kushukuru kwa yote, na kila jambo lina sababu zake. Mungu ni mwema.
 
Mvumilivu ula mbivu ila ngoja ngoja yaumiza matumbo.

Hapo ndo waenga wanavuruga.
 
Ukifika hatua hiyo ndipo sasa unapomuhitaji Mungu afanye kazi yake. Maana utamlazimisha ng'ombe kunywa maji?? Huwezi je utaweza kumjua mwanaume mwenye nia ovu? Si rahisi. Basi jinyenyekeze kwake Mungu ili akuneemeshe
 
Itakuwa una matatizo,na inaelekea wew hujatulia na ni demu wa mitandaoni ,unawapata badoo au hi5? Au
 
Unajua jina hubeba uhalisia wa maisha ya mtu,nadhani utakapo jiita miss nimepata ndipo utampata akufaaye.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom