Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,836
- 6,291
kuna kuomba bila kumaanisha?
Yes kupo,
kuna kuomba bila kumaanisha?
kuna kuomba bila kumaanisha?
sasa utakuwa waomba nini?Yes kupo,
Huyu haendi kanisani wala msikitini..!watarajia nini?ndio anachokipata na kuangaika nacho.Usisahau na maombi Miss ili Mungu akufunulie mtu sahihi ambae unamtaka atakaekuja kuwa mume bora
Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.
Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shoping, upike, mle mpige story ila hayupo.
Unajiuliza ulitolewa kwenye ubavu wa mbao nini? Mume wa mtu hana raha yoyote japo ni wawekezaji wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
You exhausted it mkuu, nice comment.Siku zote mwanamke hawezi pata mwanaume aliye sahihi,,,.
1. Ukimpata handsome,,kichwa yake ni empty.
2. Ukimpata genius...yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic , hawajipendi kihiivyo, wako rafu mno
3. Ukimpata tajiri...hawezi kukuheshimu full madharau, utamwambia nini wakati hela anayo bana.
4. Ukimpata mfanyakazi hodari na mtafutaji...hana muda wa kuwa na wewe..muda wote anawaza kazi na kutafuta maisha
5. Ukimpata mnyenyekevu...mfukoni huwa 0%.
6. Ukimpata anayekupenda kwa dhati...anakuwa siyo type yako..hana pozi zile unazitaka.
7. Ukimpata msomi..hasikilizi ushauri wako..anakuona Boya tu.
8. Ukimpata yule smart...ni muongo to the maximum... na player
So listen to your heart...[emoji173][emoji173], na shukuruni kwa kila jambo, toka anguko la Adam hakuna mtu perfect..hata wewe hauko perfect
Uwa unakua nae mpk ujue haendi kanisani au msikitiniHuyu haendi kanisani wala msikitini..!watarajia nini?ndio anachokipata na kuangaika nacho.
Kwahyo akae tu asimuombe Mungu kweliMaombi hayapokelewi kama wewe mwenyewe hauendani na maombi hayo.
unawajua ?Wakukuoa ni hao unaoish nao mtaan tatzo unataka watu wa mbali usiowajua
asante mkuuNi tatizo kubwa sana sio kwako tuu...
Nafikiri issue kubwa ni kwamba dunia imebadilika sana (no morals na values), na kikubwa ni mentality za watu pia, na hii ni kwa jinsia zote.
Ona hapa to me your post is very clear lakini watu tayari wanrukia ohh high expectations, mara ohh mume utapewa tuu sasa unajiuliza wapi ktk message yako ume indicate hayo ?
Kujibu swali lako la jinsi ya kumpata, sio rahisi na hakuna formula lakini wakati mwingine njia kama hii inaweza kukupa connection na mtu/watu na who knows over time ?