BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,345
Love comes to those who believe it and thats the way it is
Funguka bwana mie hata sisomi.Natamani kusema jambo..mdomoni maji!!!
Si kweli.Mahusiano bwana ni kitu kinachoumiza sana!!
Tulia wako yuko sehemu anakusubiri
Mshirikishe Mungu tu
weeee bora unyamazeNatamani kusema jambo..mdomoni maji!!!
ila hii topic ni ya siku nyingi sijui nani kaileta leoI am silent...! very...
ila hii topic ni ya siku nyingi sijui nani kaileta leo
ahahaaa bora maana ungenitesa sana kukufikiriakumbe...now nashukuru sana kwa kuweza kuzuia mikono yangu kuandika jambo!
Ni mm hapa nafikirila hii topic ni ya siku nyingi sijui nani kaileta leo
wewe nitakuchapa ujueNi mm hapa nafikir
asante kwa ushauri mkuuMiss Natafuta Mungu anakusikia kilio chako. Tulia omba Mungu kwa imani yako tu. Halafu wanaume wa mtandaoni ndiyo wabaya sana kwa asilimia kubwa ni wahuni tu wa hit and run ana wengine wapigaji wa hela na wezi pia. Hivyo ninawaasa muwe makini sana. Kuna dada yangu mmoja alifanyiwa ushenzi sana na mwanaume wa hapa hapa tena mtu mzima at his 53 years na wala si mbali ni kama like 4 months ago. Ni kwa vile tu sheria za hapa zinakataza ila ningemwanika hapa kabisa ili mabinti mkae naye chonjo au mtoe ushuhuda wa ushenzi wake ali apigwe server ban kabisa.. Yaani mwanaume ni hovyo kabisa tena siku wanaionana tu kabla yata ya kusomana alianza kuomba mkopo, hajakaa sawa anataka sex, hajakaa sawa mara hili mara lile. Yaani kuweni makini sana dada zangu. Tena makini haswa maana wako pia waume za watu huwa wanakana wake zao au kusingizia kuwa eti wameachana kumbe amejaa nyumbani tele kama wali wa jana tu. Yaani so sad men. Acheni uongo, msitese mabinti hawa. kuweni makini ili wachague moja tu kama akuchukue kama mume wa mtu au kama usiye na mahusiano.
Karibu sanaasante kwa ushauri mkuu
Nlijuwa Wewe ndio mtoa madaUsisahau na maombi Miss ili Mungu akufunulie mtu sahihi ambae unamtaka atakaekuja kuwa mume bora