Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Unamapungufu maybe look at you again wkt unatongoza huenda unatoa promis kibao then unajikuta huwez kuztimiza so kuwa muwaz na uwe na msimamo sio Leo asha kesho mwajuma watakuganya kama automatic tellas mashine ATM.then itakuwa ngum kuona niyup wakweli unaye takiwa kumpa true love..
 
Unamapungufu maybe look at you again wkt unatongoza huenda unatoa promis kibao then unajikuta huwez kuztimiza so kuwa muwaz na uwe na msimamo sio Leo asha kesho mwajuma watakuganya kama automatic tellas mashine ATM.then itakuwa ngum kuona niyup wakweli unaye takiwa kumpa true love..
udom again????????
 
Ut
Lower your high exepection. At least to an average standard.

Pengine unakuwa na matarajio meengi. Mwanaume mwenye mapesa mengi wakati huohuo unataka wa kukupenda sana, mwenye six pak, handsome, msomi, mcha Mungu nk
Utajiju kama wewe Ni kimbau mbau
 
Hapana kiongozi, bali nataka mke mwenye mtoto mmoja na baba wa huyo mtoto awe amefariki.
Aisee! Manake niliona hiyo condition imekaa kikafara kafara kiongozi! Anyway, all the best mzee!
 
Aisee! Manake niliona hiyo condition imekaa kikafara kafara kiongozi! Anyway, all the best mzee!

Kiongozi uchaguzi ni 2020 bana, hahahaa. Alafu mimi sitokei Kanda ya nyanda za juu kusini wa Kanda ya ziwa
 
Omba Mungu kwa kumaanisha utampata wako wa maisha. Kwa msaada zaidi ni PM
 
Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.

Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shoping, upike, mle mpige story ila hayupo.

Unajiuliza ulitolewa kwenye ubavu wa mbao nini? Mume wa mtu hana raha yoyote japo ni wawekezaji wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
Em nijibu kule nizame accordingly
 
Back
Top Bottom