Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.

Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shoping, upike, mle mpige story ila hayupo.

Unajiuliza ulitolewa kwenye ubavu wa mbao nini? Mume wa mtu hana raha yoyote japo ni wawekezaji wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
Mmmmmh we siulisema raha huwa unajipa mwenyewe, Leo yamekuwa hayo tena
 
Nitakutafuta Miss Natafuta manake na mimi nimechoka upweke. Utapata kila nilicho na uwezo nacho ingawaje huwa sina ustahimilivu kwenye mizinga ya vocha!!
 
  • Thanks
Reactions: lup
Miss Natafuta kama wewe una mtoto mmoja na baba yake amekufa, yaani ni mjane mwenye mtoto mmoja nifuate pm.
 
Miss Leo umeamya kufunguka,ila hautaki jusema uko wapi
 
tukiwatafuta manasema mpo ulaya mkuu sasa ulaya na africa mapenzi gani hayo?
kuwa serious, tuliwasiliana nikakwambia naishi mbezi beach dsm na wewe ukaniambia unaishi mbezi beach dsm , kwamba tunaishi jirani . nikwakwambia tuonane shekina garden ukazingua. usidanganye bana au nikalete msg zetu za inbox hapa
 
kuwa serious, tuliwasiliana nikakwambia naishi mbezi beach dsm na wewe ukaniambia unaishi mbezi beach dsm , kwamba tunaishi jirani . nikwakwambia tuonane shekina garden ukazingua. usidanganye bana au nikalete msg zetu za inbox hapa
pm yangu ina sms kibao mkuu zingine sisomi ngoja nije pm
 
Biashara matangazo ila kuna bidhaa nyingine kama hz at ur own risk
 
Back
Top Bottom