DR.RWEYENDERA
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 403
- 386
Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.
Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shopping nawe umfanyie shopping,, apike, tule mpige story ila hayupo
Nikiangalia ntaishia ughaibuni tu bila kufanya uwekezaji wa maana Nyumban maana sina wa kusimamia hiyo mambo.
Unajiuliza ule ubavu ulotolewa kwenye mbavu zangu aliuchukua nan? Maana ni haki yangu.Mke na watoto wa watu hawana raha yoyote japo ni waondoaji mawazo wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
Maana miaka inaenda hivyo
Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shopping nawe umfanyie shopping,, apike, tule mpige story ila hayupo
Nikiangalia ntaishia ughaibuni tu bila kufanya uwekezaji wa maana Nyumban maana sina wa kusimamia hiyo mambo.
Unajiuliza ule ubavu ulotolewa kwenye mbavu zangu aliuchukua nan? Maana ni haki yangu.Mke na watoto wa watu hawana raha yoyote japo ni waondoaji mawazo wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
Maana miaka inaenda hivyo