Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Hahahahahahh ukiwa mwanaume ni tabu sana, jogoo lazima akimbize, mtu ahonge, simba na wanyama wengine, bila kuonyesha unaweza kupata nanhii sio rhs
Ningeishia kufanya masturbation! Ngoja nipunguze kumdengulia paw aisee, dah
Naamini mpo wazima wakubwa na wenzangu
Mie nina mpenzi wangu nipo nae kama mwaka sasa
Kilichonifanya niandike hapa mie sina usafiri so analazimika kila siku anipitie home anipeleke kazini na jioni hivyo hivyo anirudishe hom
Ukifika muda wa kurudi daily mpaka nimpigie simu ndipo atoke ofisini kwake aje anifate
Nisipopiga anaweza akanifata hata saa moja usiku.
Nakwazika nahisi sijui ananionaje labda bila yeye hom sirudi nimefikiria jioni niwe najijulia usafiri bila kumpigia kimya kimya tu akijashtuka namwambia mie nipo om,apa nitakuwa nakosea kweli?
Haswaaa mkuu, et hajui thamani ya mume kwa kuthamini mchepuko.Kua uyaone...Mbona yapo sana
Ungrateful creature!
ila wanaume mna moyo! Yaani kila siku kumpitia mtu! Hapo unakuta anakaa tabata, wewe unakaa sinza, anafanya kazi posta na wewe unafanya mikocheni! Afu unaambiwa huendi bila kupigiwa!
mweeh, im glad i am a woman.
mbona hali ya kawaida hiyo mimi nilifikiri hakufat[/QUOTE
Lakini hadi umshtue nikikaa kimya ndo hadi giza hajui natakiwa niwah
Kwani ni kibaru umempa? be grateful Dia n appreciate the little he offers
Kabla ya hapa ulikuwa unaendeshaje maisha yako? Je, ratiba yako iko fixed? Mbona naona ni sawa tu kumpigia ili ajue upo tayari kwenda home!!
Unadeeeka na umempata wa kukudekeza..kuna wenzio waume zao hawajui hata mke anafanya ofisi ipi...
Naamini mpo wazima wakubwa na wenzangu
Mie nina mpenzi wangu nipo nae kama mwaka sasa
Kilichonifanya niandike hapa mie sina usafiri so analazimika kila siku anipitie home anipeleke kazini na jioni hivyo hivyo anirudishe hom
Ukifika muda wa kurudi daily mpaka nimpigie simu ndipo atoke ofisini kwake aje anifate
Nisipopiga anaweza akanifata hata saa moja usiku.
Nakwazika nahisi sijui ananionaje labda bila yeye hom sirudi nimefikiria jioni niwe najijulia usafiri bila kumpigia kimya kimya tu akijashtuka namwambia mie nipo om,apa nitakuwa nakosea kweli?
Unadeeeka na umempata wa kukudekeza..kuna wenzio waume zao hawajui hata mke anafanya ofisi ipi...
Mbona huna shukurani wewe!!? Kuna watu hapa wake zao hawapandi magari yao hadi Jumapili wakienda Kanisani, siku nyingine wanadandia daladala kama kawa. ACHA KUDEKA, UMESHAKUWA. :angry: