- Thread starter
- #61
Unapozungumzia Daladala jifikirie Twice... huko kuna Vifua vikuu majosho magonjwa ya Ngozi Kuibiwa mali kuumia au kumuumiza mwingine, kutoleana maneno machafu n.k sasa wewe Unapitiwa then umepewa nafasi murua pale tu unapokuwa tayari ndio unafuatwa... pole sana kwa Shikrani hizo... ila nakushauri usijaribu kumuuzi akupendae hasara utakayopata ni kubwa sana.... Furahia upatapo nafasi kama hizo... haziji Twice zinaitwa Golden Chance never come twice. kama umechoka muambie tu... ila ataudhika na atakuwa free zaidi hivyo nafasi ya kumpoteza itakuwa karibu... na kama umechoka ni umechoka tu jitoe pengine atakuja mwingine... huwezi jua labda na yeye anakereka kukupitia kila siku
Nimekuelewa mkuu