Nifanyeje ili niache kazi hii?

Nifanyeje ili niache kazi hii?

Wakuu habari,

Nataka kuacha kazi na niingie kwenye biashara. Kiufupi kazi hii imekuwa na majungu mengi. Imefika wakati nimeona nijiajiri.

Naomba ushauri wako, nifanye biashara gani, na nianze vipi, na mtaji kiasi gani, kwa mtaji wetu wa tunaohustle.

Cash ninayo 20M.
Business is an art mkuu
usiache kazi, kabla hujapata kazi utakuja kunikumbuka
 
Sasa kama majungu Tu ya kazini yanakutisha biashara si utaacha siku hiyohiyo ,Anza business lakin kazi mpaka ufukuzwe
 
Kupitia huu uzi inaonyesha bado ujawa tayari kujiajiri
Endelea usiache
 
Kua serious na maisha. Muombe Mungu akupe nguvu akufunge masikioni, akutunze kunyamaza uendelee kufanya hyo kazi.

Unaweza ukaona kazi Ina majungu alf kumbe chanzo cha majungu ni ww.

Biashara si lelemama kama kazi imekushinda biashara hutoweza maan huko ni balaa
Wakuu habari,

Nataka kuacha kazi na niingie kwenye biashara. Kiufupi kazi hii imekuwa na majungu mengi. Imefika wakati nimeona nijiajiri.

Naomba ushauri wako, nifanye biashara gani, na nianze vipi, na mtaji kiasi gani, kwa mtaji wetu wa tunaohustle.

Cash ninayo 20M.
 
Biashara gani kwa 20M,
Biashara haitaki uingie kwa style hii! Unaweza ukashindwa vibaya.

Fanya utafiti wa kina mahali unapoishi. Angalia fursa zilizo kuzunguka. Halafu andika mchanganuo wa biashara zisizopungua 3, na mwisho wa siku chagua 1 ambayo utaifanya kwa mafanikio na hivyo kukuzalishia faida.

Binanafsi nakuona bado hujafikia hatua ya kuacha kazi, na kujiajiri. Hivyo fanya biashara huku ukiendelea na hiyo ajira yako, hata kwa miaka 2 hivi. Biashara ikisimama kwa miaka hiyo 2, walau utakuwa umejifunza mbinu za kupambana pia mtaani.
 
Biashara haitaki uingie kwa style hii! Unaweza ukashindwa vibaya.

Fanya utafiti wa kina mahali unapoishi. Angalia fursa zilizo kuzunguka. Halafu andika mchanganuo wa biashara zisizopungua 3, na mwisho wa siku chagua 1 ambayo utaifanya kwa mafanikio na hivyo kukuzalishia faida.

Binanafsi nakuona bado hujafikia hatua ya kuacha kazi, na kujiajiri. Hivyo fanya biashara huku ukiendelea na hiyo ajira yako, hata kwa miaka 2 hivi. Biashara ikisimama kwa miaka hiyo 2, walau utakuwa umejifunza mbinu za kupambana pia mtaani.
Nimekuelewa, unanishauri biashara gani nianze nayo.
 
Nimekuelewa, unanishauri biashara gani nianze nayo.
Ukitaka kupata mafanikko ya kweli kwenye biashara ni vizuri ukafanya ile biashara ambayo unaipenda kutoka moyoni. Na siwezi kukuambia biashara fulani inafaa! Maana sijajua wewe mwenyewe una maono na biashara gani.

Biashara haitaki kuiga. Angalia fursa zilizo kuzunguka, na zinazoendana na biashara unayoitaka; then unaanzisha. Na pia ni vizuri ukaanza na mtaji mdogo kwanza, biashara ikichanganya ndipo unaongeza mtaji.
 
Back
Top Bottom