Kusini pride
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,762
- 4,077
Shunie šSasa kwa nini unaogopa majungu ebu komaa
Shunie šSasa kwa nini unaogopa majungu ebu komaa
Ndio maana nimeomba ushauri, kwani mtu anajua kila kituYani hata biashara yenyewe huijui ya kufanya afu unataka kuacha kazi?
Sijakopa, Kuna shughuli za nje nafanya, Ila ni za msimu. Nataka biashara endelevuKama umekopa hela benki kwa kutumia mshahara afu ndo uache kazi kabla hujamaliza deni la benki, ndugu utafungwa
Sio mkopo,unafanya kazi gani? Itaje? Iyo 20m ni mkopo? Dhamana uliweka kitu gani?
Then nitarudi kukushauri mkuu
ššššškote kupo ivo ivo....biashara nayo inatakiwa isikue,ikikua kidogo tu Freemason,mtoto wa nduhuyo kafa ghafla utasikia mjomba wake kamweka dukanšKiufupi kazi hii imekuwa na majungu mengi.
Sasa nifanyeje, nipe ushauriššššškote kupo ivo ivo....biashara nayo inatakiwa isikue,ikikua kidogo tu Freemason,mtoto wa nduhuyo kafa ghafla utasikia mjomba wake kamweka dukanš
Vizuri,..kwa sababu moyo wako unataka biashara....anza na Duka la vpodozi(sikuhiz wakaka na wadada wanajipodoa balaa) au Duka la vifaa vya ujenz(watu wanasema pesa ngumu kitaa but hawaachi kujenga kilasiku)....kwa 20 inatoshaSasa nifanyeje, nipe ushauri
Ukija hapa nilipo na mtaji huo ndani ya mwaka mmoja uko mbali sanaWakuu habari.
Nataka kuacha kazi na niingie kwenye biashara. Kiufupi kazi hii imekuwa na majungu mengi. Imefika wakati nimeona nijiajiri
Naomba ushauri wako, nifanye biashara gani, na nianze vipi, na mtaji kiasi gani, kwa mtaji wetu wa tunaohustle
Cash ninayo 20M
We acha kutuchezea akili.Wakuu habari.
Nataka kuacha kazi na niingie kwenye biashara. Kiufupi kazi hii imekuwa na majungu mengi. Imefika wakati nimeona nijiajiri
Naomba ushauri wako, nifanye biashara gani, na nianze vipi, na mtaji kiasi gani, kwa mtaji wetu wa tunaohustle
Cash ninayo 20M
Uliyeomba ushauri zingatia sana huu USHAURI.Makazini tunasnichiana sana
Hamna kipya, piga kazi.
20M sio pesa nyingi sana kama hata plans za biashara huna, jichanganye uone zitakavyopukutika
Muhimu, endelea na kazi huku ukiendelea kutunza na kukuza huo mtaji + kutafuta nini cha kufanya.
Uko wapi mkuu? Mimi nina mtaji hapa unanipa stress tuUkija hapa nilipo na mtaji huo ndani ya mwaka mmoja uko mbali sana
Jibu maswali yote basi
Wapi hukoUkija hapa nilipo na mtaji huo ndani ya mwaka mmoja uko mbali sana
Idea zipo, ndio nakusanya mawazo ya wengineWe acha kutuchezea akili.
Mtu mwenye uwezo kumiliki 20M hawezi kuwa hana idea ya kitu cha kufanya.
Labda kama umekuja kunogesha stori tu hapa.
Ndgu hardware haijawahi muangusha mtu, haviozi vitauzika tuWakuu habari.
Nataka kuacha kazi na niingie kwenye biashara. Kiufupi kazi hii imekuwa na majungu mengi. Imefika wakati nimeona nijiajiri
Naomba ushauri wako, nifanye biashara gani, na nianze vipi, na mtaji kiasi gani, kwa mtaji wetu wa tunaohustle
Cash ninayo 20M
Oh Mie mbona nina 20,000/= (elfu ishirini) naziona nyingi sana! UmenitishaMakazini tunasnichiana sana
Hamna kipya, piga kazi.
20M sio pesa nyingi sana kama hata plans za biashara huna, jichanganye uone zitakavyopukutika
Muhimu, endelea na kazi huku ukiendelea kutunza na kukuza huo mtaji + kutafuta nini cha kufanya.