Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,846
Hakika,Maumivu yake niulize mimi. Aisee unaweza kukufuru Mungu, unaweza ukasema kama kweli yupo kwa nini aruhusu kiumbe chake kiteseke na maumivu haya?
Unapojiuliza kwanini mimi,
Pia ujiulize kama si wewe angepaswa kuugua nani?!
Hakika Mwenyezi Mungu ametujaaloa dhiki na faraja, yote ni mapito ya maisha, tumshukuru kwa yote.