Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Kwa belo siungi hoja mkuu..hyo biashara ni pasua kichwa sana...!kama ulivyoshauri kwenye last para..!naandika haya nikiandika kwa uzoefu mkubwa
Haki hii biashara inaweza kukupa kiriba tumbo

I think ukiisimamia mwenyewe atleast unaweza kupata kitu ila ya kuweka watu ni changamotooooo.
 
nimeifanya kwa almosr 2yrs..ikawa inakata sana bas tu unakuw unakaakiba unaongezea..mitumba ukitaja ikulipe anza na bello 4 hv..sio 2 lazima utajikuta umerudi kwenye zero tu..na nenda minada yt uijuayo ww..hapo itakulipa..kuna minada kutoka j3 had jpl
Angalau wewe ulienda muda mrefu, haki miee niliifanya mwaka tu nikaona nitawehuka nikaachana nayo.
 
Mkuu nakushauri Fanya biashara ya supply gas (oryx or mihan).
Kama huna gari ya kusambazia unaweza kuingia mkataba nawenye gari (Suzuki carry) kwa siku 20,000. Uwe na driver mzuri, wages 15,000 kwa siku. Mafuta kwa siku 30,000.
Nunua mitungi 6kg 30 kila kampuni, na 15kg 10 kila kampuni. Faida ya kila 6kg ni 1000 na 15kg ni 3,000. Kama upo dar uwezo wa kuuza 6kg kwa siku kwa wastan ni 60 na kubwa ni 20. Kwa dar hakuna msambazaji anaeweza kumudu soko la dar, ni kubwa sana. 60 x 1,000 + 20 x 3,000 = 120,000 - 65,000 (fixed expenses) = 55,000 per day. Some time biashara ina fluctuate lakini hukosi faida ya 200,000 kwa wiki. Am in the same business eneo langu ni ubungo, kimara, mbezi, goba na kibamba. Segemu kama Tabata, g'la mboto, chanika, masaki, mikocheni, bunju, buza, Temeke, kigamboni, Mbagala, Vikindu, kinyarezi, kitunda nk. Soko ni kubwa sana. Ufahamu wa kutumia nishati ya gas umekuwa mkubwa sana. Demand ya supply ni kubwa sana.
 
inategemea na mahali ulipo pana fursa gani,,
mfano dogo langu anaenda kwa wavuvi wa samaki ananua wale sangara wakubwa sana then anatoa kitu flani kwenye yule samaki kinaitwa bondo,,

iilo bondo anauza kwa wachina mpaka laki nne,
huyo samaki ana mnunua laki mpaka laki na nusu
akishatoa bonndo samaki anamuuza fasta kwa watu wa hoteli au migahawa,,,

sasa hapo ulipo ww kuna fursa zipi,,kilimo dhahabu,,mifugo,,utalii,,,
Idea nzuri
 
Hakikisha unafuga nguruwe na kuuza mmoja kwa week kwa laki mbili! So, kwa mwezi unauza nguruwe 4! Kwa mwaka uza nguruwe 48!
Wakuu!

Wasalaam!

najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,

Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,

Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha

Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.

Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja

so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakushauri Fanya biashara ya supply gas (oryx or mihan).
Kama huna gari ya kusambazia unaweza kuingia mkataba nawenye gari (Suzuki carry) kwa siku 20,000. Uwe na driver mzuri, wages 15,000 kwa siku. Mafuta kwa siku 30,000.
Nunua mitungi 6kg 30 kila kampuni, na 15kg 10 kila kampuni. Faida ya kila 6kg ni 1000 na 15kg ni 3,000. Kama upo dar uwezo wa kuuza 6kg kwa siku kwa wastan ni 60 na kubwa ni 20. Kwa dar hakuna msambazaji anaeweza kumudu soko la dar, ni kubwa sana. 60 x 1,000 + 20 x 3,000 = 120,000 - 65,000 (fixed expenses) = 55,000 per day. Some time biashara ina fluctuate lakini hukosi faida ya 200,000 kwa wiki. Am in the same business eneo langu ni ubungo, kimara, mbezi, goba na kibamba. Segemu kama Tabata, g'la mboto, chanika, masaki, mikocheni, bunju, buza, Temeke, kigamboni, Mbagala, Vikindu, kinyarezi, kitunda nk. Soko ni kubwa sana. Ufahamu wa kutumia nishati ya gas umekuwa mkubwa sana. Demand ya supply ni kubwa sana.
Akiwa na gari au ana gari? Na kama asipokuwa nalo anaingiaje mkataba? Yaani mfano akodi gari kwa siku apeleke 20k awe na drive wake.. then yeye anawasambazia wenye maduka au wenye stake holder wa mwisho kabisa? Naomba tupeane elimu hapa kaka hii imenigusa moja kwa moja naweza kumbe kuifanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiwa na gari au ana gari? Na kama asipokuwa nalo anaingiaje mkataba? Yaani mfano akodi gari kwa siku apeleke 20k awe na drive wake.. then yeye anawasambazia wenye maduka au wenye stake holder wa mwisho kabisa? Naomba tupeane elimu hapa kaka hii imenigusa moja kwa moja naweza kumbe kuifanya

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama uko na gari ni vyema zaidi lakini pia hata kama huna gari ingia
Akiwa na gari au ana gari? Na kama asipokuwa nalo anaingiaje mkataba? Yaani mfano akodi gari kwa siku apeleke 20k awe na drive wake.. then yeye anawasambazia wenye maduka au wenye stake holder wa mwisho kabisa? Naomba tupeane elimu hapa kaka hii imenigusa moja kwa moja naweza kumbe kuifanya

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama uko na gari ni vyema zaidi lakini pia hata kama huna gari unaweza kuingia mkataba na mwenye sukuzi carry ambayo kwa siku wanataka 20,000. Kubaliana nae terms of payment either kwa siku au kwa wiki. Kuhusu kusambaza unawasanbazia wenye maduka tu. Maduka ya gas yapo mengi sana na kuna sehemu nyingi unakuta gari zinachelewa sana kupita, wateja hawapati huduma kwa wakati.
 
Hapa naona kuna ugumu..just imagine mtu ananua gari IST more than 10mio + kwa ajili ya kufanya biashara

Na bado kwa week anapata 150,000/= je huyo wa mio moja kwa mwezi atapata sh ngapi? Hapo hatujapiga gharama ya frame, kumlipa msimazi, msimamizi kupiga kidogo (kujilipa)

Ngoja niwe wa mwisho kuamini 1mio kuzalisha laki 8 kwa mwezi...hapa tuwe wa kweli

Au jiunge na QNet wao wanasema if u believe..u can make it..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom