The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,351
- 43,091
Uko mkoa gani mkuu?
Haki hii biashara inaweza kukupa kiriba tumboKwa belo siungi hoja mkuu..hyo biashara ni pasua kichwa sana...!kama ulivyoshauri kwenye last para..!naandika haya nikiandika kwa uzoefu mkubwa
Angalau wewe ulienda muda mrefu, haki miee niliifanya mwaka tu nikaona nitawehuka nikaachana nayo.nimeifanya kwa almosr 2yrs..ikawa inakata sana bas tu unakuw unakaakiba unaongezea..mitumba ukitaja ikulipe anza na bello 4 hv..sio 2 lazima utajikuta umerudi kwenye zero tu..na nenda minada yt uijuayo ww..hapo itakulipa..kuna minada kutoka j3 had jpl
Mkuu nakushauri Fanya biashara ya supply gas (oryx or mihan).
Kama huna gari ya kusambazia unaweza kuingia mkataba nawenye gari (Suzuki carry) kwa siku 20,000. Uwe na driver mzuri, wages 15,000 kwa siku. Mafuta kwa siku 30,000.
Nunua mitungi 6kg 30 kila kampuni, na 15kg 10 kila kampuni. Faida ya kila 6kg ni 1000 na 15kg ni 3,000. Kama upo dar uwezo wa kuuza 6kg kwa siku kwa wastan ni 60 na kubwa ni 20. Kwa dar hakuna msambazaji anaeweza kumudu soko la dar, ni kubwa sana. 60 x 1,000 + 20 x 3,000 = 120,000 - 65,000 (fixed expenses) = 55,000 per day. Some time biashara ina fluctuate lakini hukosi faida ya 200,000 kwa wiki. Am in the same business eneo langu ni ubungo, kimara, mbezi, goba na kibamba. Segemu kama Tabata, g'la mboto, chanika, masaki, mikocheni, bunju, buza, Temeke, kigamboni, Mbagala, Vikindu, kinyarezi, kitunda nk. Soko ni kubwa sana. Ufahamu wa kutumia nishati ya gas umekuwa mkubwa sana. Demand ya supply ni kubwa sana.
Idea nzuriinategemea na mahali ulipo pana fursa gani,,
mfano dogo langu anaenda kwa wavuvi wa samaki ananua wale sangara wakubwa sana then anatoa kitu flani kwenye yule samaki kinaitwa bondo,,
iilo bondo anauza kwa wachina mpaka laki nne,
huyo samaki ana mnunua laki mpaka laki na nusu
akishatoa bonndo samaki anamuuza fasta kwa watu wa hoteli au migahawa,,,
sasa hapo ulipo ww kuna fursa zipi,,kilimo dhahabu,,mifugo,,utalii,,,
Wakuu!
Wasalaam!
najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,
Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,
Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha
Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.
Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja
so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.
Asante
Angalau wewe ulienda muda mrefu, haki miee niliifanya mwaka tu nikaona nitawehuka nikaachana nayo.
Haki hii biashara inaweza kukupa kiriba tumbo
I think ukiisimamia mwenyewe atleast unaweza kupata kitu ila ya kuweka watu ni changamotooooo.
Naomba ikiwa tayari nijulishe pm nami nasubiriHiki kiasi ni below minimum.
Angalau ingekuwa TZS 500,000 kama minimum yako.
Mkuu mi npo home bado mataka toka pia ila sijajua dili gani ni pige ila hiyo mil1 ipo ndani ya uwezo wangu kuipata naomba tu unisaidie ideaMkuu zipo biashara ya hivyo ila ni lazima uisimamie mwenyewe masaa kumi kila siku ndio utatoboa tofauti na hapo andika maumivu
Akiwa na gari au ana gari? Na kama asipokuwa nalo anaingiaje mkataba? Yaani mfano akodi gari kwa siku apeleke 20k awe na drive wake.. then yeye anawasambazia wenye maduka au wenye stake holder wa mwisho kabisa? Naomba tupeane elimu hapa kaka hii imenigusa moja kwa moja naweza kumbe kuifanyaMkuu nakushauri Fanya biashara ya supply gas (oryx or mihan).
Kama huna gari ya kusambazia unaweza kuingia mkataba nawenye gari (Suzuki carry) kwa siku 20,000. Uwe na driver mzuri, wages 15,000 kwa siku. Mafuta kwa siku 30,000.
Nunua mitungi 6kg 30 kila kampuni, na 15kg 10 kila kampuni. Faida ya kila 6kg ni 1000 na 15kg ni 3,000. Kama upo dar uwezo wa kuuza 6kg kwa siku kwa wastan ni 60 na kubwa ni 20. Kwa dar hakuna msambazaji anaeweza kumudu soko la dar, ni kubwa sana. 60 x 1,000 + 20 x 3,000 = 120,000 - 65,000 (fixed expenses) = 55,000 per day. Some time biashara ina fluctuate lakini hukosi faida ya 200,000 kwa wiki. Am in the same business eneo langu ni ubungo, kimara, mbezi, goba na kibamba. Segemu kama Tabata, g'la mboto, chanika, masaki, mikocheni, bunju, buza, Temeke, kigamboni, Mbagala, Vikindu, kinyarezi, kitunda nk. Soko ni kubwa sana. Ufahamu wa kutumia nishati ya gas umekuwa mkubwa sana. Demand ya supply ni kubwa sana.
Mkuu belo za mitumba zipo za bei gani na grade zake zikoje?nimeifanya kwa almosr 2yrs..ikawa inakata sana bas tu unakuw unakaakiba unaongezea..mitumba ukitaja ikulipe anza na bello 4 hv..sio 2 lazima utajikuta umerudi kwenye zero tu..na nenda minada yt uijuayo ww..hapo itakulipa..kuna minada kutoka j3 had jpl
Wakati naacha zilikuwepo kianzia laki 2 had 8@
Akiwa na gari au ana gari? Na kama asipokuwa nalo anaingiaje mkataba? Yaani mfano akodi gari kwa siku apeleke 20k awe na drive wake.. then yeye anawasambazia wenye maduka au wenye stake holder wa mwisho kabisa? Naomba tupeane elimu hapa kaka hii imenigusa moja kwa moja naweza kumbe kuifanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiwa na gari au ana gari? Na kama asipokuwa nalo anaingiaje mkataba? Yaani mfano akodi gari kwa siku apeleke 20k awe na drive wake.. then yeye anawasambazia wenye maduka au wenye stake holder wa mwisho kabisa? Naomba tupeane elimu hapa kaka hii imenigusa moja kwa moja naweza kumbe kuifanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna tofauti na mtu aliyejiunga kwenye chama cha ushetani, anaangalia ndugu wa kuwatoa kafara kila siku ili utajiri uendelee kuongezekaHiyo biashara nailaani sana kwasababu inakufanya uwe unawatazama ndugu na jamaa zako kwa jicho la kuwageuza fursa bila kujali wao watapata nini!
Sent using Jamii Forums mobile app