Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Wakuu!

Wasalaam!

najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,

Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,

Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha

Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.

Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja

so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.

Asante
Such an humble request.

Mkuu mi sina hata mawazo.
Wadau tusaidieni
 
Hapana Mkuu nifumbue macho !
sehemu kubwa ya seat ya pkpk ya boxer n sponge.na wateja weng wa boda boda n wadada. kwa hyo vile akikaa kwny ile sponge afu akajibinua matako ndo anaona waaaooooh!!! lakn hz slg,haogue,t-better n.k haznaga sponji kama ya boxer kiufupi zmetengenezwa kubeba mizigo.
 
Yani uzi ulikua mzuri kweli nilitegemea kupata nondo but kuna madini kiasi nimepata kama yule wa sambusa, green house za kukodi, kusambaza gesi japo inahitaji usimamie mwenyewe. Nitakuja na ideas zangu nikipata muda
 
Mkuu hako kamilioni 1 kako ka kukopa kweli bado kapo au kalipitiwa humu na mawazo ya biashara
 
BIASHARA IPI UFANYE??

Watu wengi sasahivi wamekuwa wakitafuta kuwa ni biashara gani afanye ili kujiingizia kipato katika maisha yake

wengine wameamua kuuza nguo nawengine biashara ya duka
pia wengine wameamua kuuza vyakula mfano butcher

SWALI KUBWA LA KUJIULIZA NI BIASHARA IPI NI NZURI NA INAHITAJI MTAJI MDOGO???

JIBU:biashara ambayo inaweza kukupatia kipato ni ile iliyo na uwezo wa kutatua matatizo ya watu
Ahaaa kumbe ukitafuta tatizo ambalo linawasumbua watu wengi ndipo ambapo unaweza pata pesa

Na hakuna sehemu nzuri ya kupata pesa nyingi kama kupitia kutatua matatizo ya afya, kutatua matatizo hayo sio mpaka uwe umesoma ila unaweza jifunza na ukafahamu na ukamsaidia mtu

KONA HIZO AMBAZO PESA NYINGI HUPATIKANA NI

1.MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI
Hii nikwa mwanamme au mwanamke unaweza jikita katika pande zote mfano wanaume wanasumbuliwa na matatizo ya
UUME KUWA LEGELEGE,TEZI DUME,UUME KUTOSIMAMA VIZURI .,MADHARA YA PUNYETO

Upande wa wanawake wanasumbuliwa na matatizo kama
MAJI KWENYE MAYAI,FANGASI,SHINGO YA KIZAZI

Hivyo unatafuta dawa ambazo zinauwezo wa kutibu tatizo hilo na unajitangaza kwamba wewe ni mtaalamu wa kutibu matatizo hayo hapa ndipo unaweza tafuta kampuni ambalo dawa zake ni imara na ambalo utajiunga kwa bei rahisi ili uwe member

Pesa utapata maana utanunua katika kampuni kwa bei rahisi
na wewe ndio utapanga bei ya kuuza dawa yako na nakushauri ni vyema ukajiunga na kampuni la BF SUMA maana utajiunga kwa sh.40000 tu na utakuwa member na utanunua kwa bei ya punguzo

2.MAGONJWA YA KISUKARI

Magonjwa haya yamekuwa sugu na watu wametumia madawa ya hospitali bila mafanikio
unaweza jitangaza kuwa wewe unauwezo wa kutibu tatizo hilo na hivyo watu kukufata na kuwapa huduma yako

Kwavile utakuwa umejiunga na kampuni kwa sh,40000 tu basi utachukua dawa kwa bei rahisi na wewe utauza kwa bei unayoitaka na mgonjwa wako atapona

3.MAGONJWA YA VITAMBI

Unaweza jitangaza na kujibrand wewe kuwa unauwezo wa kutibu watu wenye vitambi, na hivyo watu wakikufata utawahudumia kwa kuwapa dawa za kampuni la BF SUMA maana utakuwa umejiunga na hivyo kwakua linanguvu hivyo mgonjwa wako atapona na hivyo utapata faida maana bei unapanga wewe

4.MAGONJWA YA MENO PAMOJA NA MACHO
Pia unaweza kuisaidia jamii yako kutibu tatizo la macho na meno kutokana na dawa utakazo wapa za kampuni

kwa vile zina nguvu watu watakupenda na utapata wateja wengi sana

5.VIDONDA VYA TUMBO PAMOJA NA MATATIZO YA TUMBO

Pia unaweza saidia jamii yako kutatua tatizo la vidonda vya tumbo kupitia dawa za kampuni lako la BF SUMA

6.NGOZI MA NYWELE
Pia unaweza isaidia jamii kupitia matatizo kama hayo
na kuwafanya watu wapendeze sana
hapa utawashika wote wanaume kwa wanawake

JINSI YA KUPATA WATEJA

Vijana wengi wamekuwa wakijiunga katika kampuni bila kujua wanaenda kufanya nini hivyo ni vyema kama ukachagua kitu kimoja cha kutatia katika jamii yako hii haijarishi wewe ni mwanafunzi au mfanya kazi unaweza fanya

Ukitumia vizuri mtandao wa facebook utapata wateja wengi sana sana sana

JINSI YA KUFANYA FACEBOOK

Kamwe usipost bidhaa za kampuni lako ila jikite kutoa mafunzo juu ya hicho ambacho umeamua kukifanya

Harafu tengeneza group la whatsapp katika simu yako harafu andika tangazo facebook kuwa wewe unauwezo wa kutatua tatizo flani na kopi link ya group lako la whatsapp libandike kwenye tangazo lako

Hivyo kila atakae gusa link ataingia kwenye group lako na hapo ndipo utaweza uza sana sana
Ili kupata wateja wengi unaweza lipia tangazo lako na facebook ikakutangazia kwa watu wengi zaidi unaweza toa kama dolla 5 ambayo ni kama sh10000 tu na wakakutangazia kwa watu kama 20000 ambao unawataka wewe

BAADA YA KUJUA KUWA UNAJIUNGA NA KAMPUNI KUFANYA NINI BASI VIZURI

JINSI YA KUJIUNGA NA KAMPUNI YA BF BF Suma

Kampuni hili kwa upande wangu ni kati ya kampuni bora sana maana unatumia ada kidogo kujiunga kama sh.40000 tofauti na makampini mengine yote ambayo hutumia mpaka sh.500000

Bidhaa zake hazina kemikali na zina bei ya chini sana kila mtu anaweza nunua kwa urahisi itakufanya upate pesa sana rafiki

Bidhaa zake hazijachanganywa na mafuta ya nguruwe

1.uwe na majina matatu

2.uwe na email yako

3.namba yako ya simu

UNAHITAJIKA KUWA NA MLITHI
HUYU ATARITHI BIASHARA YAKO KAMA UKIFA

AWE NA VITU VIFUATAVYO

1.majina matatu

2.email

3.namba ya simu

NANI ANAKUUNGA KATIKA KAMPUNI LA BF SUMA?

Mimi ndie ntakuunga na kampuni na tutafanya kazi kwa ushirikiano

USIHOFU:maduka ya kampuni yanapatikana karibu mikoa yote sasa hapa TANZANIA

KAMA WEWE UNAHITAJI KUBADILI MAISHA YAKO

TUWASILIANE KUPITIA NAMBA

0769601703
PIA NAPATIKANA WHATSAPP

AHSANTE SANA
TSH. 46,000 TU UTAJIRIKE
 
Napenda kujua

1. Una m manage vipi boda hususani kwenye suala la kiwango?

Unalinda vipi chombo chako ili kijana unayemkabidhi asipotee nacho?
Nunua Pikipiki mkuu Ifanye kuwa Boda boda kwa siku kipande Elfu 10 kwa wiki Elfu 70 mkuu Ukiwa nazo hata 2 sio mbaya Boda boda inalipa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
BIASHARA IPI UFANYE??

Watu wengi sasahivi wamekuwa wakitafuta kuwa ni biashara gani afanye ili kujiingizia kipato katika maisha yake

wengine wameamua kuuza nguo nawengine biashara ya duka
pia wengine wameamua kuuza vyakula mfano butcher

SWALI KUBWA LA KUJIULIZA NI BIASHARA IPI NI NZURI NA INAHITAJI MTAJI MDOGO???

JIBU:biashara ambayo inaweza kukupatia kipato ni ile iliyo na uwezo wa kutatua matatizo ya watu
Ahaaa kumbe ukitafuta tatizo ambalo linawasumbua watu wengi ndipo ambapo unaweza pata pesa

Na hakuna sehemu nzuri ya kupata pesa nyingi kama kupitia kutatua matatizo ya afya, kutatua matatizo hayo sio mpaka uwe umesoma ila unaweza jifunza na ukafahamu na ukamsaidia mtu

KONA HIZO AMBAZO PESA NYINGI HUPATIKANA NI

1.MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI
Hii nikwa mwanamme au mwanamke unaweza jikita katika pande zote mfano wanaume wanasumbuliwa na matatizo ya
UUME KUWA LEGELEGE,TEZI DUME,UUME KUTOSIMAMA VIZURI .,MADHARA YA PUNYETO

Upande wa wanawake wanasumbuliwa na matatizo kama
MAJI KWENYE MAYAI,FANGASI,SHINGO YA KIZAZI

Hivyo unatafuta dawa ambazo zinauwezo wa kutibu tatizo hilo na unajitangaza kwamba wewe ni mtaalamu wa kutibu matatizo hayo hapa ndipo unaweza tafuta kampuni ambalo dawa zake ni imara na ambalo utajiunga kwa bei rahisi ili uwe member

Pesa utapata maana utanunua katika kampuni kwa bei rahisi
na wewe ndio utapanga bei ya kuuza dawa yako na nakushauri ni vyema ukajiunga na kampuni la BF SUMA maana utajiunga kwa sh.40000 tu na utakuwa member na utanunua kwa bei ya punguzo

2.MAGONJWA YA KISUKARI

Magonjwa haya yamekuwa sugu na watu wametumia madawa ya hospitali bila mafanikio
unaweza jitangaza kuwa wewe unauwezo wa kutibu tatizo hilo na hivyo watu kukufata na kuwapa huduma yako

Kwavile utakuwa umejiunga na kampuni kwa sh,40000 tu basi utachukua dawa kwa bei rahisi na wewe utauza kwa bei unayoitaka na mgonjwa wako atapona

3.MAGONJWA YA VITAMBI

Unaweza jitangaza na kujibrand wewe kuwa unauwezo wa kutibu watu wenye vitambi, na hivyo watu wakikufata utawahudumia kwa kuwapa dawa za kampuni la BF SUMA maana utakuwa umejiunga na hivyo kwakua linanguvu hivyo mgonjwa wako atapona na hivyo utapata faida maana bei unapanga wewe

4.MAGONJWA YA MENO PAMOJA NA MACHO
Pia unaweza kuisaidia jamii yako kutibu tatizo la macho na meno kutokana na dawa utakazo wapa za kampuni

kwa vile zina nguvu watu watakupenda na utapata wateja wengi sana

5.VIDONDA VYA TUMBO PAMOJA NA MATATIZO YA TUMBO

Pia unaweza saidia jamii yako kutatua tatizo la vidonda vya tumbo kupitia dawa za kampuni lako la BF SUMA

6.NGOZI MA NYWELE
Pia unaweza isaidia jamii kupitia matatizo kama hayo
na kuwafanya watu wapendeze sana
hapa utawashika wote wanaume kwa wanawake

JINSI YA KUPATA WATEJA

Vijana wengi wamekuwa wakijiunga katika kampuni bila kujua wanaenda kufanya nini hivyo ni vyema kama ukachagua kitu kimoja cha kutatia katika jamii yako hii haijarishi wewe ni mwanafunzi au mfanya kazi unaweza fanya

Ukitumia vizuri mtandao wa facebook utapata wateja wengi sana sana sana

JINSI YA KUFANYA FACEBOOK

Kamwe usipost bidhaa za kampuni lako ila jikite kutoa mafunzo juu ya hicho ambacho umeamua kukifanya

Harafu tengeneza group la whatsapp katika simu yako harafu andika tangazo facebook kuwa wewe unauwezo wa kutatua tatizo flani na kopi link ya group lako la whatsapp libandike kwenye tangazo lako

Hivyo kila atakae gusa link ataingia kwenye group lako na hapo ndipo utaweza uza sana sana
Ili kupata wateja wengi unaweza lipia tangazo lako na facebook ikakutangazia kwa watu wengi zaidi unaweza toa kama dolla 5 ambayo ni kama sh10000 tu na wakakutangazia kwa watu kama 20000 ambao unawataka wewe

BAADA YA KUJUA KUWA UNAJIUNGA NA KAMPUNI KUFANYA NINI BASI VIZURI

JINSI YA KUJIUNGA NA KAMPUNI YA BF BF Suma

Kampuni hili kwa upande wangu ni kati ya kampuni bora sana maana unatumia ada kidogo kujiunga kama sh.40000 tofauti na makampini mengine yote ambayo hutumia mpaka sh.500000

Bidhaa zake hazina kemikali na zina bei ya chini sana kila mtu anaweza nunua kwa urahisi itakufanya upate pesa sana rafiki

Bidhaa zake hazijachanganywa na mafuta ya nguruwe

1.uwe na majina matatu

2.uwe na email yako

3.namba yako ya simu

UNAHITAJIKA KUWA NA MLITHI
HUYU ATARITHI BIASHARA YAKO KAMA UKIFA

AWE NA VITU VIFUATAVYO

1.majina matatu

2.email

3.namba ya simu

NANI ANAKUUNGA KATIKA KAMPUNI LA BF SUMA?

Mimi ndie ntakuunga na kampuni na tutafanya kazi kwa ushirikiano

USIHOFU:maduka ya kampuni yanapatikana karibu mikoa yote sasa hapa TANZANIA

KAMA WEWE UNAHITAJI KUBADILI MAISHA YAKO

TUWASILIANE KUPITIA NAMBA

0769601703
PIA NAPATIKANA WHATSAPP

AHSANTE SANA
TSH. 46,000 TU UTAJIRIKE
Mkuu tangazo refu plus linaboa
 
Habari zenu.....Jamani naomba kujua Maduka ya bei ya jumla ya nguo za kike pamoja na pochi
 
FX-2021.jpg

TRADE FOREX
 
Toyota Rav4
Old Model
Year 1996
CC 1990
Engine 3s
Sport Rims
Full AC
Music Radio/CD/Bluetooth/Flash
Transmission Auto
Imported From Japan
Jack
Spare Tyre
Wheel Spanner
Gari nzuri sana, haina tatizo lolote
In good condition
Price:11.5M
Call/Whatsap: 0719972458
Instagram @magari_aina_zote
IMG-20210418-WA0031.jpg
IMG-20210418-WA0032.jpg
IMG-20210418-WA0033.jpg
IMG-20210418-WA0034.jpg
IMG-20210418-WA0039.jpg
IMG-20210418-WA0040.jpg
IMG-20210418-WA0035.jpg
IMG-20210418-WA0036.jpg
IMG-20210418-WA0037.jpg
IMG-20210418-WA0038.jpg
 
Back
Top Bottom