Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,261
- 72,431
Unaugua mapenzi mdogo wangu pole sana...ukikua utaacha
Subiri subiri ukue kwanza.So unanishauri ni..
Si anakuweka reserve, just in case[emoji12]Ni Mapepo Koz Kama Ivyo Chapa Lapa. Unakuta Mtu Anaanza Kukutafuta Na Kukuonyesha Dalili Zile Zile. Ukiweka Maneno Anakataa.
Ndomaana Mie Sitakagi Kuwa Mkarimu Ovyo Ovyo Kwa Mademu. Unakuta Anakuchukulia Poa. Ukitaka Kumpenya Anaanza Ohhh Just A Friend. My Friend Is Between Your Legs!!!
Kumbe ndio inavyokuwaga?tongoza demu mwingine halaf nenda kamtambulishe kwake mwenyewe atakukubali au ukiwa nae jifanye unamsifia mwanamke wako yeyote
Alafu Akijakujua Una Demu Mwingine Anamaindi Kama Yeye Ndo Kanihifadhia Mgegedo Wangu Ktk Begi Lake.Si anakuweka reserve, just in case[emoji12]
Its human nature.Alafu Akijakujua Una Demu Mwingine Anamaindi Kama Yeye Ndo Kanihifadhia Mgegedo Wangu Ktk Begi Lake.
Una umri gani?? Mwaka mzima unatongoza, huna shughuli nyingine za kufanya?Jamani wana JF nambeni msaada wakimawazo kuna msichana nimetokea kumpenda sana na yeye anaonesha dalili zote zakunipenda chakushangaza nikimtogoza anakataa nimejaribu zaid ya mwaka 1 sasa nifenyeje,naombeni ushauri wenu jamani.
Usjali ukichemka weka Uzi tenaUshauriwa wako ntaufanyia kazi
inakuwaga nini tena jamaanKumbe ndio inavyokuwaga?