jakichanii
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 216
- 218
Mpe hela
Mkuu sio ww tu, hata mm hapa kitaani kwetu kuna dame fulani, so namwelewa kinouma na hata yy inaonesha kanielewa maana kila akiniona ananiangalia kwa jicho la mahaba na kuonesha kuwa amizimika kwangu.Jamani wana JF nambeni msaada wakimawazo kuna msichana nimetokea kumpenda sana na yeye anaonesha dalili zote zakunipenda chakushangaza nikimtogoza anakataa nimejaribu zaid ya mwaka 1 sasa nifenyeje,naombeni ushauri wenu jamani.
Sio wana Mapepo gani, wao wenyewe ndio mapepo. Mimi nikikutana nao huwa nawakimbiaAo Ndo Wale Madem Wanaomwambia Mtu Nakupenda Just As A Friend. Sijui Wanakuaga Na Mapepo Gani??
Sio mapepo ila haujatimiza vigezo vya kuwa mpenzi wake.Ao Ndo Wale Madem Wanaomwambia Mtu Nakupenda Just As A Friend. Sijui Wanakuaga Na Mapepo Gani??
Me ndo nashindwa kuelewa kabxaMkuu sio ww tu, hata mm hapa kitaani kwetu kuna dame fulani, so namwelewa kinouma na hata yy inaonesha kanielewa maana kila akiniona ananiangalia kwa jicho la mahaba na kuonesha kuwa amizimika kwangu.
Ila nimejaribu kutema cheche za kufa mtu then dogo anaishia kucheka tu na kuniambia jibu atanipa kesho
VigezoJamani wana JF nambeni msaada wakimawazo kuna msichana nimetokea kumpenda sana na yeye anaonesha dalili zote zakunipenda chakushangaza nikimtogoza anakataa nimejaribu zaid ya mwaka 1 sasa nifenyeje,naombeni ushauri wenu jamani.
bado mdogo shangazi akikua atajuaAunty msaidie mdogo wako aelewe.

Oooh!! Basi sio kosa lake.bado mdogo shangazi akikua atajua![]()
Ni Mapepo Koz Kama Ivyo Chapa Lapa. Unakuta Mtu Anaanza Kukutafuta Na Kukuonyesha Dalili Zile Zile. Ukiweka Maneno Anakataa.Sio mapepo ila haujatimiza vigezo vya kuwa mpenzi wake.
Ndomaana Mie Sitakagi Kuwa Mkarimu Ovyo Ovyo Kwa Mademu. Unakuta Anakuchukulia Poa. Ukitaka Kumpenya Anaanza Ohhh Just A Friend. My Friend Is Between Your Legs!!!Sio mapepo ila haujatimiza vigezo vya kuwa mpenzi wake.