Papupi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,029
- 3,245
Umesahau kumwambia atongoze demu mkali kumshinda yeye..tongoza demu mwingine halaf nenda kamtambulishe kwake mwenyewe atakukubali au ukiwa nae jifanye unamsifia mwanamke wako yeyote
Umesahau kumwambia atongoze demu mkali kumshinda yeye..tongoza demu mwingine halaf nenda kamtambulishe kwake mwenyewe atakukubali au ukiwa nae jifanye unamsifia mwanamke wako yeyote
Duh! ubaya huo mkuu.Nipe number yake nikusaidie kukutongozea
Ndo atamkosa kabisa mkuutongoza demu mwingine halaf nenda kamtambulishe kwake mwenyewe atakukubali au ukiwa nae jifanye unamsifia mwanamke wako yeyote
Hahahahaaaa.hvi watu bado mnatongoza??
tena mwaka mzima??![]()
Mfate hadi kwao ukaongee na baba yke au kwa lugha nyepesi peleka baruaJamani wana JF nambeni msaada wakimawazo kuna msichana nimetokea kumpenda sana na yeye anaonesha dalili zote zakunipenda chakushangaza nikimtogoza anakataa nimejaribu zaid ya mwaka 1 sasa nifenyeje,naombeni ushauri wenu jamani.
Jambo dogo sana hilo kama anaonesha dalili zote za kukupenda fanya kitu kimoja kama you have its phone number call her,umwambie unamuomba mtoke out kidogo akikuuliza wap mwambie wew ungependelea wap but akikurushia mpira kuwa useme wew mtajie eneo ulilokuwa unaona mkikaa wew na yeye linawafaaa so ukimkosa hapo kaoge dawa maana ujue hujui kumshawishi ni hayo tuJamani wana JF nambeni msaada wakimawazo kuna msichana nimetokea kumpenda sana na yeye anaonesha dalili zote zakunipenda chakushangaza nikimtogoza anakataa nimejaribu zaid ya mwaka 1 sasa nifenyeje,naombeni ushauri wenu jamani.
Ushauriwa wako ntaufanyia kaziJambo dogo sana hilo kama anaonesha dalili zote za kukupenda fanya kitu kimoja kama you have its phone number call her,umwambie unamuomba mtoke out kidogo akikuuliza wap mwambie wew ungependelea wap but akikurushia mpira kuwa useme wew mtajie eneo ulilokuwa unaona mkikaa wew na yeye linawafaaa so ukimkosa hapo kaoge dawa maana ujue hujui kumshawishi ni hayo tu