Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,150
- 124,758
Ni wanafiki wakubwa sijui wanamnafikia nani. As if kuna mtu yupo interested na maisha yao ya minjunjanoNyie watu wenye misemo ya namna hii ndio hatari zaidi, huwa mnajificha kwenye msemo huu..."ina maana humu watu wanakulana.."