financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,146
- 40,748
Wangu yupi tena? Nifah amekua fair kwenye ubuyu si wa watu hata wa kwake mwenyewe anauleta😀Wewe wako nani?. Halafu huyu dada alikuwa ana leta ubuyu wa Doctor Cheni na Salma jambazi sijui Ali kiba na Lulu leo naona ubuyu wake kaona aulete🤣🤣