Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Hili nililijua mapema kabisa hata kabla hujaandika.

Uliza nilijuaje??.


Ila mapenzi ni usenge Sanaa.. ona jamaa kala mbunye weee Kwa miaka mingi mnoooo lkn mwisho mmetamanaz pengine hapo katikati wanaume wa kukuoa walikuja kwako ila ukawakataa Kwa ajili ya Jamaa.

Pengine hapo katikati umeshatoka mimba Kadhaa kadhaaaz hatimaye unakuja kuolewa na Good Boy ila ndo Ivo huzai.



Tuchukulie wee najamaa, mmekua wapenzi ukiwa na miaka 28, ongeza miaka mlopotezeana muda, hapo unagonga kama miaka 35 hivi !!!.


Miaka 35, maana yake unatafuta Mwanaume wa kuanzia miaka 37.

My Dear, mwanaume kuanzia miaka 37 Hajaoa ??? Awe Hajaoa, basi awe Hana hata Mwanamke ??? Hana hata mchumba???

Akiwepo wa hivo labda awe Hana Uchumi yaan Hana Kazi ,Hana Pesa, Hana chochote !!.

Na kama ana Pesa na kazi na Hajaoa Kwa huo Umri, maana yake ANA TABIA ZILE ZILE ZA THE BOLD ,zilizokufanya Muachane, yaan unaenda kukutana Tena na MTALAKA


mzunguko unarudi uleule wa Nifa-The Bold Mpya !!.


Hatari nayoiona?.

Unaweza Anza sema... No one can judge me .


Pia ukasema..... Ndoa sio lazimaa banaaaa Bora nitafute Watoto !!.


Mwisho..WANAUME TUACHE USENGEEE, HUWEZ PIGA PUMBU MTOTO WA MTU MIAKA YOTE HIYO ALAFU UMTEME.


Hata , Wadada hongereni, haiwezekan kuendelea kua kwenye Mahusiano na mwanaume anayekugonga bao la kuku dakika moja chalii!!.



MASELA WENZANGU WAKIUME NA KIKE NAWASHAURI...

MWANAMKE, HAKIKISHA UNAZINGATIA MAOKOTO YAKO KABLA YA KUANZA KUCHANUA MAPAJA OVYOOVYO YAAN KUWENI KAMA WALE WADADA WA TELEGRAM.


WANAUME, NAWASHAURI TUTAFUTE HELA ILI TINAPOTAKA NGONO AU WATOTO, TUPATE BILA KUWEKEZA MOYO SANA.




KOMENTI HII, NDIO UJUMBE WANGU WA KUWATAKUA MWAKA MPYA.
Mkuu umeandika kwa uchungu sana, dada Nifah inabidi akuweke kwenye waiting list asee
 
Ila watu bhana...

Nifah ameamua kuandika sababu yeye ndiyo yupo active JF kwa sasa kuliko jamaa...na amekuwa akiulizwa maswali mengi kuhusiana na mahusiano yake na The Bold.. Na aliahidi ataleta uzi kabla ya mwaka kuisha au mwanzo wa mwaka( 2024) ataeleza kila kitu....

Sasa kosa lake hapo ni nini?

Wanaume acheni kujihesabia haki kwenye Mahusiano....
Kapigwa chini hamna namna, kapigwa chiniii😀😀😀
 
Hili nililijua mapema kabisa hata kabla hujaandika.

Uliza nilijuaje??.


Ila mapenzi ni usenge Sanaa.. ona jamaa kala mbunye weee Kwa miaka mingi mnoooo lkn mwisho mmetamanaz pengine hapo katikati wanaume wa kukuoa walikuja kwako ila ukawakataa Kwa ajili ya Jamaa.

Pengine hapo katikati umeshatoka mimba Kadhaa kadhaaaz hatimaye unakuja kuolewa na Good Boy ila ndo Ivo huzai.



Tuchukulie wee najamaa, mmekua wapenzi ukiwa na miaka 28, ongeza miaka mlopotezeana muda, hapo unagonga kama miaka 35 hivi !!!.


Miaka 35, maana yake unatafuta Mwanaume wa kuanzia miaka 37.

My Dear, mwanaume kuanzia miaka 37 Hajaoa ??? Awe Hajaoa, basi awe Hana hata Mwanamke ??? Hana hata mchumba???

Akiwepo wa hivo labda awe Hana Uchumi yaan Hana Kazi ,Hana Pesa, Hana chochote !!.

Na kama ana Pesa na kazi na Hajaoa Kwa huo Umri, maana yake ANA TABIA ZILE ZILE ZA THE BOLD ,zilizokufanya Muachane, yaan unaenda kukutana Tena na MTALAKA


mzunguko unarudi uleule wa Nifa-The Bold Mpya !!.


Hatari nayoiona?.

Unaweza Anza sema... No one can judge me .


Pia ukasema..... Ndoa sio lazimaa banaaaa Bora nitafute Watoto !!.


Mwisho..WANAUME TUACHE USENGEEE, HUWEZ PIGA PUMBU MTOTO WA MTU MIAKA YOTE HIYO ALAFU UMTEME.


Hata , Wadada hongereni, haiwezekan kuendelea kua kwenye Mahusiano na mwanaume anayekugonga bao la kuku dakika moja chalii!!.



MASELA WENZANGU WAKIUME NA KIKE NAWASHAURI...

MWANAMKE, HAKIKISHA UNAZINGATIA MAOKOTO YAKO KABLA YA KUANZA KUCHANUA MAPAJA OVYOOVYO YAAN KUWENI KAMA WALE WADADA WA TELEGRAM.


WANAUME, NAWASHAURI TUTAFUTE HELA ILI TINAPOTAKA NGONO AU WATOTO, TUPATE BILA KUWEKEZA MOYO SANA.




KOMENTI HII, NDIO UJUMBE WANGU WA KUWATAKUA MWAKA MPYA.
Umeua sana
 
Watu hawaongelei mambo za ukweli waliyoyaficha wanatungatunga tu uongo ili Tonniah aonekane ana shobo kwa smart humu Kwani wote ni wageni bwahahahahahahahahah!!

Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Smart911 wee dume la mbegu bana🙇🙇🙇🙇🙇🤣
Nitakufukuza huku sasa hivi...

Achana na hayo mambo sweetheart...
Let's wait for new year celebration...
 
Ukisoma comments humu ni kama vile watu wamefurahia hao wawili kuachana.

Hii itapelekea wengine kuogopa kuweka wazi mahusiano yao humu.

Na mnafanya na sisi Wazee wenu tuogope kuwatambulisha Bibi zenu kwa kuogopa mtatuchawia tuje kuachana Uzeeni 😜🙌
 
Back
Top Bottom