Kwani amekuambia hajui? mkuu acha kuhukumu mtu anaweza akawa ni mualimu wa shahada ana fundisha advance level.Sema kwakuwa mwamba ajui kingereza ndio unamtesa hivyo?
Hivi wewe mtanzania kweli?
Nitarudi....
Kwani amekuambia hajui? mkuu acha kuhukumu mtu anaweza akawa ni mualimu wa shahada ana fundisha advance level.Sema kwakuwa mwamba ajui kingereza ndio unamtesa hivyo?
Hivi wewe mtanzania kweli?
Nitarudi....
Mkuu sina baya mimi ni fafanulie zaidi lile ambalo sitaelewa nta kuuliza suali,toa hoja wapi nimekosea kuhusu nida nikufafanulie nilikuwa nalenga nini na kwa logic gani
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Wewe ni mjinga neno elimu linakutisha sana sasa wacha nikupe akili kidogo ....ya watu wenye akili kubwa kama yanguKwani amekuambia hajui? mkuu acha kuhukumu mtu anaweza akawa ni mualimu wa shahada ana fundisha advance level.
Huyo akili hana kwanza ajui kuwa kwa teknolojia ilipo ninaweza kuandika kwa lugha yoyote kwa kutumia simu na kupost ila mimi siyo limbukeniSema kwakuwa mwamba ajui kingereza ndio unamtesa hivyo?
Hivi wewe mtanzania kweli?
Nitarudi....
NIDA nia yao ni hela wala siyo uraia.NIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.
Raia wazawa waliojiandilisha 2018 wana namba pekee hadi sasa na kadi wanapigwa danadana hazija printiwa.
Cha kushangaza wageni wote wawe wanapewa vitambulisho vya ukaazi au vya uraia vya magumashi au vya halali ila wote wana vitambulisho na sio number.
Wahindi wote wana vitambulisho na sio number, wahamiaji haramu wana vitambulisho vya uraia na sio number.
Kuna raia mmoja ni Mkenya sijui alifanya fanya vipi akajiandilisha NIDA wanajua utaratibu wao wanao tumia kuwapa watu wasio raia Vitambulisho vya Uraia,Sasa huyo Raia amejiandikisha mwezi wa 6 mwaka huu,na tiyali ana kadi ya kitambulisho.ELewa kwamba kajiandikisha mwaka huu mwezi wa 6 ila NIDA wameisha mpatia kitambulisho.
Raia wanasafa tangia mwaka 2018 kadi zao hazijawahi printiwa.ila kuna watu wao wanakuja nyuma tena kagumashi na wanapewa kadi.
Sasa je raia wote na wao wanyoeshe mkono kwa stafu wa NIDA ili wapate kadi?
Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.
Duuu! Hii Kali aseee!Kubwa kuliko zote la NIDA ni hili la mtu mmoja kuwa na vitambulisho viwili ama vitatu.
Nina rafiki yangu ana namba nne za simu ambazo zote zimesajiliwa.
Maajabu ni kama ifuatavyo;
Namba ya 1 majina ni G.B.A
Namba ya 2 majina ni G.B.H
Namba ya 3 majina ni G.B.M
Namba ya 4 majina ni N.B.A
Hii inawezekanajee!!??
Stupid nonsense!.Kua mtanzania sio kigezo au haitoshi kukupa kila kitu bila kusota, tuko kwenye capitalism ambapo pesa ni muhimu kuliko utu au uzalendo, ujimaa ilisha kufa na Nyerere kitambo.........
Eewe endelea kuimba nyimbo za kale utakufa masikini na uzalendo wako wa kijinga, tafuta pesa ukanunue huduma muhimu ili uendelee kuishi vizuri, au wa Kenya wa hindi wa China wana haki nchini humu kuliko wewe kwasbb wana pesa zao na biashara zao zinalipishwa kodi serikali haiwezi kuwafuatilia sana kama unapo fikieia.
Bora umemtukana,maana watu wengine hufikiria kwa kutumia makalia na ujinga mwingi.Stupid nonsense!.
Mkuu acha jaziba huo ndo ukweli, wewe nenda uhamiaji utafute passport pesa kama utaipata ndani ya mwezi moja, au neenda makamani umshitaki DP world uone wewe na DP world nani atashinda kesi au kusikilizwa haraka huo ndo ukweli, hapa kwetu mzungu anasaidiwa haraka kuliko makonde wote wakiwa na shida ile ile.Stupid nonsense!.
Ofisi zipi? maana hizi za kwetu vitambulisho hamna nimefuatilia kote kuanzia ofisi ya kata, nida wilaya hadi makao makuu. Nimekuwa nikihitaji kadi ya nida bila mafanikio wanasema hakijatoka na kitakapo kuwa tayari nitapata sms. Nimejisajili 2017 hadi 2023 tunaitafuta 2024 hamna kitu zaidi ya namba tu.Kawaida tunajijua wenyeji kufuatilia ni ngumu. Vitambulisho vimejaa kwenye maofisi ya kata watu hawachukui. Wageni wanajua umuhimu wanatafuta fasta mtabaki lalamikia nida ila ujinga umetujaa wazawa.
Nida niwapuuzi tu, mm mwenyewe nilijiandikisha 2018 lakn mpaka sasa nina namba tu m@m@eeeeNIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.
Raia wazawa waliojiandilisha 2018 wana namba pekee hadi sasa na kadi wanapigwa danadana hazija printiwa.
Cha kushangaza wageni wote wawe wanapewa vitambulisho vya ukaazi au vya uraia vya magumashi au vya halali ila wote wana vitambulisho na sio number.
Wahindi wote wana vitambulisho na sio number, wahamiaji haramu wana vitambulisho vya uraia na sio number.
Kuna raia mmoja ni Mkenya sijui alifanya fanya vipi akajiandilisha NIDA wanajua utaratibu wao wanao tumia kuwapa watu wasio raia Vitambulisho vya Uraia,Sasa huyo Raia amejiandikisha mwezi wa 6 mwaka huu,na tiyali ana kadi ya kitambulisho.ELewa kwamba kajiandikisha mwaka huu mwezi wa 6 ila NIDA wameisha mpatia kitambulisho.
Raia wanasafa tangia mwaka 2018 kadi zao hazijawahi printiwa.ila kuna watu wao wanakuja nyuma tena kagumashi na wanapewa kadi.
Sasa je raia wote na wao wanyoeshe mkono kwa stafu wa NIDA ili wapate kadi?
Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.
Mfano ofisi za watendaji wak kata ukienda yapo mavitambulisho kibao. Huenda ww unalalamika kusubiri sms na kimeahafika kwenye mtaa wako. Kawaida ni baada ya miezi 6 tutawalaumu tu nida ila wananchi wana changamotoOfisi zipi? maana hizi za kwetu vitambulisho hamna nimefuatilia kote kuanzia ofisi ya kata, nida wilaya hadi makao makuu. Nimekuwa nikihitaji kadi ya nida bila mafanikio wanasema hakijatoka na kitakapo kuwa tayari nitapata sms. Nimejisajili 2017 hadi 2023 tunaitafuta 2024 hamna kitu zaidi ya namba tu.
Ndio huko nimekwenda kote au hujasoma nilichoandika! Nikirudi nida wananiambia kitambulisho hakijatoka na nimekwenda ofisi kadhaa za nida mikoa tofauti wameniangalizia kwenye system wananiambia hakijatoka bado. Kumbe hata kufuatilia ni kulalamika pia!Mfano ofisi za watendaji wak kata ukienda yapo mavitambulisho kibao. Huenda ww unalalamika kusubiri sms na kimeahafika kwenye mtaa wako. Kawaida ni baada ya miezi 6 tutawalaumu tu nida ila wananchi wana changamoto
Basi sekta ya Uchawa ndio ipewe NIDA ili ukimsifia Maza tu unapewa fasta.
Mikoa kama Arusha, Mwanza na Dsm maana wamenielekeza ofisi yoyote ya nida naweza kufuatilia kujua kitambulisho kimefikia wapi. Kutokana na shughuli zangu ambazo sio za kutulia sehemu moja ndio nalazimika kufuatilia ofisi yoyote ya nida kwa kuzingatia maelekezo yao. Napo ni kulalamika?Ndio huko nimekwenda kote au hujasoma nilichoandika! Nikirudi nida wananiambia kitambulisho hakijatoka na nimekwenda ofisi kadhaa za nida mikoa tofauti wameniangalizia kwenye system wananiambia hakijatoka bado. Kumbe hata kufuatilia ni kulalamika pia!