NIDA, mbona wageni wana vitambulisho na sio namba?

NIDA, mbona wageni wana vitambulisho na sio namba?

NIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.

Raia wazawa waliojiandilisha 2018 wana namba pekee hadi sasa na kadi wanapigwa danadana hazija printiwa.

Cha kushangaza wageni wote wawe wanapewa vitambulisho vya ukaazi au vya uraia vya magumashi au vya halali ila wote wana vitambulisho na sio number.

Wahindi wote wana vitambulisho na sio number, wahamiaji haramu wana vitambulisho vya uraia na sio number.

Kuna raia mmoja ni Mkenya sijui alifanya fanya vipi akajiandilisha NIDA wanajua utaratibu wao wanao tumia kuwapa watu wasio raia Vitambulisho vya Uraia,Sasa huyo Raia amejiandikisha mwezi wa 6 mwaka huu,na tiyali ana kadi ya kitambulisho.ELewa kwamba kajiandikisha mwaka huu mwezi wa 6 ila NIDA wameisha mpatia kitambulisho.

Raia wanasafa tangia mwaka 2018 kadi zao hazijawahi printiwa.ila kuna watu wao wanakuja nyuma tena kagumashi na wanapewa kadi.

Sasa je raia wote na wao wanyoeshe mkono kwa stafu wa NIDA ili wapate kadi?

Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.
Ni mambo ya kushangaza sana
 
Kuna mchina mmoja alikuja ofisi X akitaka huduma alikuwa na NIDA CHETI CHA KUZALIWA vyote vinaonyesha ni mtanzania mwenzetu, ila sasa shida ikaanza kwenye kuongea kiswahili
 
NIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.

Raia wazawa waliojiandilisha 2018 wana namba pekee hadi sasa na kadi wanapigwa danadana hazija printiwa.

Cha kushangaza wageni wote wawe wanapewa vitambulisho vya ukaazi au vya uraia vya magumashi au vya halali ila wote wana vitambulisho na sio number.

Wahindi wote wana vitambulisho na sio number, wahamiaji haramu wana vitambulisho vya uraia na sio number.

Kuna raia mmoja ni Mkenya sijui alifanya fanya vipi akajiandilisha NIDA wanajua utaratibu wao wanao tumia kuwapa watu wasio raia Vitambulisho vya Uraia,Sasa huyo Raia amejiandikisha mwezi wa 6 mwaka huu,na tiyali ana kadi ya kitambulisho.ELewa kwamba kajiandikisha mwaka huu mwezi wa 6 ila NIDA wameisha mpatia kitambulisho.

Raia wanasafa tangia mwaka 2018 kadi zao hazijawahi printiwa.ila kuna watu wao wanakuja nyuma tena kagumashi na wanapewa kadi.

Sasa je raia wote na wao wanyoeshe mkono kwa stafu wa NIDA ili wapate kadi?

Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.

NIDA ilimshinda hadi Hayati Magufuli, hawa wengine waliobaki hawana hata uwezo wa kuitikisa wala kuihoji bora hata angekuwepo Magufuli labda mtu wa 2018 angepata 2024

Kwa hali ya sasa huyo wa 2018 aachane na mambo ya NIDA afanye mambo mengine kama hana hela.

Hatusemi kwa ubaya, sote tunajua namna tunavyoishi na hao Maafisa wa NIDA ni wabongo wenzetu mtaani
 
Kuna mchina mmoja alikuja ofisi X akitaka huduma alikuwa na NIDA CHETI CHA KUZALIWA vyote vinaonyesha ni mtanzania mwenzetu, ila sasa shida ikaanza kwenye kuongea kiswahili
Kwani hakuna Watanzaia ambao hawajui Kiswahili? Kuna raia wa kuandikisha na kurithi ambao wana toka nchi mbalimbali.
 
NIDA ilimshinda hadi Hayati Magufuli, hawa wengine waliobaki hawana hata uwezo wa kuitikisa wala kuihoji bora hata angekuwepo Magufuli labda mtu wa 2018 angepata 2024

Kwa hali ya sasa huyo wa 2018 aachane na mambo ya NIDA afanye mambo mengine kama hana hela.

Hatusemi kwa ubaya, sote tunajua namna tunavyoishi na hao Maafisa wa NIDA ni wabongo wenzetu mtaani
Mbona juzi tu Waziri Masauni kazindua ugawaji wa ID Musoma na kuahidi kuwapa wote mwaka kesho?
 
Mbona juzi tu Waziri Masauni kazindua ugawaji wa ID Musoma na kuahidi kuwapa wote mwaka kesho?

Yeye sio Waziri wa kwanza kuhudumu Mambo ya Ndani na kuahidi kumaliza tatizo la NIDA.

Soma upya NIDA alichemka Magufuli hawa waliobaki utasikia ahadi sana na zitabaki ahadi tu.
 
Yeye sio Waziri wa kwanza kuhudumu Mambo ya Ndani na kuahidi kumaliza tatizo la NIDA.

Soma upya NIDA alichemka Magufuli hawa waliobaki utasikia ahadi sana na zitabaki ahadi tu.
Duuh naona imani hakuna kabisa kwa NIDA na hii ndio inafanya hata watu wasifuatilie Vitambulisho vyao wakati vingine vipo tayari.
 
NIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.

Raia wazawa waliojiandilisha 2018 wana namba pekee hadi sasa na kadi wanapigwa danadana hazija printiwa.

Cha kushangaza wageni wote wawe wanapewa vitambulisho vya ukaazi au vya uraia vya magumashi au vya halali ila wote wana vitambulisho na sio number.

Wahindi wote wana vitambulisho na sio number, wahamiaji haramu wana vitambulisho vya uraia na sio number.

Kuna raia mmoja ni Mkenya sijui alifanya fanya vipi akajiandilisha NIDA wanajua utaratibu wao wanao tumia kuwapa watu wasio raia Vitambulisho vya Uraia,Sasa huyo Raia amejiandikisha mwezi wa 6 mwaka huu,na tiyali ana kadi ya kitambulisho.ELewa kwamba kajiandikisha mwaka huu mwezi wa 6 ila NIDA wameisha mpatia kitambulisho.

Raia wanasafa tangia mwaka 2018 kadi zao hazijawahi printiwa.ila kuna watu wao wanakuja nyuma tena kagumashi na wanapewa kadi.

Sasa je raia wote na wao wanyoeshe mkono kwa stafu wa NIDA ili wapate kadi?

Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.
Tanzania inakosa taasisi imara za utendaji na usimamizi, zikiongozwa na ile nyeti ya urais. Zote zimejaa ubinafsi, ubabaishaji na wizi wa kutupwa.

Kama nchi huru hatukaweza kabisa kujenga taasisi imara, badala yake imeja mifumo ya wizi na ufujaji wa mali za umma . Wezi wote wakubwa kwa wadogo wamejificha chini ya mwamvuli wa ukada wa CCM.
 
NIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.

Raia wazawa waliojiandilisha 2018 wana namba pekee hadi sasa na kadi wanapigwa danadana hazija printiwa.

Cha kushangaza wageni wote wawe wanapewa vitambulisho vya ukaazi au vya uraia vya magumashi au vya halali ila wote wana vitambulisho na sio number.

Wahindi wote wana vitambulisho na sio number, wahamiaji haramu wana vitambulisho vya uraia na sio number.

Kuna raia mmoja ni Mkenya sijui alifanya fanya vipi akajiandilisha NIDA wanajua utaratibu wao wanao tumia kuwapa watu wasio raia Vitambulisho vya Uraia,Sasa huyo Raia amejiandikisha mwezi wa 6 mwaka huu,na tiyali ana kadi ya kitambulisho.ELewa kwamba kajiandikisha mwaka huu mwezi wa 6 ila NIDA wameisha mpatia kitambulisho.

Raia wanasafa tangia mwaka 2018 kadi zao hazijawahi printiwa.ila kuna watu wao wanakuja nyuma tena kagumashi na wanapewa kadi.

Sasa je raia wote na wao wanyoeshe mkono kwa stafu wa NIDA ili wapate kadi?

Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.
Kalagaboho....penyeza rupia, kwani wewe ni mgeni na nchi hii?
 
Mimi mtanzania leo karibia natimiza miaka 10 ya kuwa na namba za NIDA ila sio kadi.

Halafu wahindi, waarabu na wakenya kibao ambao ni wageni Wana kadi za NIDA.

NCHI HII SISI WATANZANIA TUNAIHARIBU WENYEWE.
 
Kua mtanzania sio kigezo au haitoshi kukupa kila kitu bila kusota, tuko kwenye capitalism ambapo pesa ni muhimu kuliko utu au uzalendo, ujimaa ilisha kufa na Nyerere kitambo.........

Eewe endelea kuimba nyimbo za kale utakufa masikini na uzalendo wako wa kijinga, tafuta pesa ukanunue huduma muhimu ili uendelee kuishi vizuri, au wa Kenya wa hindi wa China wana haki nchini humu kuliko wewe kwasbb wana pesa zao na biashara zao zinalipishwa kodi serikali haiwezi kuwafuatilia sana kama unapo fikieia.
Nadhani huu ni ukweli mchungu!!!!!
 
NIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.

Raia wazawa waliojiandilisha 2018 wana namba pekee hadi sasa na kadi wanapigwa danadana hazija printiwa.

Cha kushangaza wageni wote wawe wanapewa vitambulisho vya ukaazi au vya uraia vya magumashi au vya halali ila wote wana vitambulisho na sio number.

Wahindi wote wana vitambulisho na sio number, wahamiaji haramu wana vitambulisho vya uraia na sio number.

Kuna raia mmoja ni Mkenya sijui alifanya fanya vipi akajiandilisha NIDA wanajua utaratibu wao wanao tumia kuwapa watu wasio raia Vitambulisho vya Uraia,Sasa huyo Raia amejiandikisha mwezi wa 6 mwaka huu,na tiyali ana kadi ya kitambulisho.ELewa kwamba kajiandikisha mwaka huu mwezi wa 6 ila NIDA wameisha mpatia kitambulisho.

Raia wanasafa tangia mwaka 2018 kadi zao hazijawahi printiwa.ila kuna watu wao wanakuja nyuma tena kagumashi na wanapewa kadi.

Sasa je raia wote na wao wanyoeshe mkono kwa stafu wa NIDA ili wapate kadi?

Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.
Wageni wakaazi wanapokuja nchini hupata kibali (working permit) ya miezi sita tu, hivyo kwa vyovyote vile ni lazima wapewe vitambulisho vya Mgeni Mkaazi kabla ya muda huo wa kibali chake hakijakwisha muda wake. Lakini pia Kitambulisho cha Taifa anachpoewa raia huyo wa kigeni kina ukomo tofauti na raia mzawa ambaye Kitambulisho chake cha uraia hakina ukomo. Aidha, idadi ya wageni wanaoomba vitambulisho vya Taifa kwa category yao ni wachache sana si zaidi ya 50,000 ukulinganisha na mamilioni kwa mamilioni ya raia wazawa, na hawa wageni wana aina yao tofauti ya Vitambulisho. Hivyo si kweli kwamba kuna upendeleo kwa wageni hakuna kitu kama hicho.

Kuhusu rushwa, ni vema tukaelewa kuwa unapojisajili kwa mara ya kwanza huduma yote ya usajili mpaka kupata Kitambulisho ni BURE hakuna malipo yeyote. Kama mtumishi wa NIDA anakuomba rushwa na una uhakika kabisa kuwa ni Mtumishi wa NIDA na una ushahidi wa kuombwa hiyo rushwa naomba tutoe taarifa TAKUKURU au kwa uongozi wa NIDA ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya wahusika. Tusilalamike tu bila sisi wenyewe kuchukua hatua lakini pia na sisi tusikubali kutoa rushwa, na ni vema pia tufahamu wako matapeli wanaojifanya ni watumishi wa NIDA wakati siyo, tunawapa pesa sisi wenyewe wakitupiga tunaanza kuwalalamikia NIDA, hatutendi sawa, hebu sisi wenyewe tusaidie mapambano dhidi ya rushwa kwa kukataa kutoa na kutoa taarifa.

Tatizo la watu ambao hawajapata vitambulisho vyao tayari imekwisha tangazwa rasmi kwamba Vitambulisho vimeanza kuzalishwa kwa wingi, kusambazwa na kugawiwa kwa wingi kwa wananchi wenye namba za Utambulisho. Zoezi la ugawaji Vitambulisho kwa Umma limezinduliwa hivi karibuni Musoma mkoani Mara, hivi sasa Vitambulisho vinaendelea kugawiwa kwa watu wote wenye namba katik awilaya zote za mkoa wa Mara, Wilaya zote za mkoa wa Mtwara, Wilaya zote za mkoa wa LIndi, Kigoma na Kagera. Baada ya hapo itafuata mikoa mingine hatua kwa hatua na wamesema bayana kuwa mpaka kufikia Machi 2024 wote tuliosajiliwa na kupata Namba tutakuwa tumepata Vitambulisho vyetu.

Jambo muhimu sana kuelewa ni kwamba Kilicho muhimu sana ni mtu kuwa na Utambulisho wa Taifa yaani umesajiliwa na kupata Namba yako ya Utambulisho wa Taifa ambayo hiyo ndiyo inatumika kukutambulisha na kukuwezesha kupata huduma yeyote hata kama huna Kitambulisho (Kadi). Kitambulisho au Kadi kama wengine wanavyokiita ni end product lakini Utambulisho halisi ni namba yako.
 
Wageni wakaazi wanapokuja nchini hupata kibali (working permit) ya miezi sita tu, hivyo kwa vyovyote vile ni lazima wapewe vitambulisho vya Mgeni Mkaazi kabla ya muda huo wa kibali chake hakijakwisha muda wake. Lakini pia Kitambulisho cha Taifa anachpoewa raia huyo wa kigeni kina ukomo tofauti na raia mzawa ambaye Kitambulisho chake cha uraia hakina ukomo. Aidha, idadi ya wageni wanaoomba vitambulisho vya Taifa kwa category yao ni wachache sana si zaidi ya 50,000 ukulinganisha na mamilioni kwa mamilioni ya raia wazawa, na hawa wageni wana aina yao tofauti ya Vitambulisho. Hivyo si kweli kwamba kuna upendeleo kwa wageni hakuna kitu kama hicho.

Kuhusu rushwa, ni vema tukaelewa kuwa unapojisajili kwa mara ya kwanza huduma yote ya usajili mpaka kupata Kitambulisho ni BURE hakuna malipo yeyote. Kama mtumishi wa NIDA anakuomba rushwa na una uhakika kabisa kuwa ni Mtumishi wa NIDA na una ushahidi wa kuombwa hiyo rushwa naomba tutoe taarifa TAKUKURU au kwa uongozi wa NIDA ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya wahusika. Tusilalamike tu bila sisi wenyewe kuchukua hatua lakini pia na sisi tusikubali kutoa rushwa, na ni vema pia tufahamu wako matapeli wanaojifanya ni watumishi wa NIDA wakati siyo, tunawapa pesa sisi wenyewe wakitupiga tunaanza kuwalalamikia NIDA, hatutendi sawa, hebu sisi wenyewe tusaidie mapambano dhidi ya rushwa kwa kukataa kutoa na kutoa taarifa.

Tatizo la watu ambao hawajapata vitambulisho vyao tayari imekwisha tangazwa rasmi kwamba Vitambulisho vimeanza kuzalishwa kwa wingi, kusambazwa na kugawiwa kwa wingi kwa wananchi wenye namba za Utambulisho. Zoezi la ugawaji Vitambulisho kwa Umma limezinduliwa hivi karibuni Musoma mkoani Mara, hivi sasa Vitambulisho vinaendelea kugawiwa kwa watu wote wenye namba katik awilaya zote za mkoa wa Mara, Wilaya zote za mkoa wa Mtwara, Wilaya zote za mkoa wa LIndi, Kigoma na Kagera. Baada ya hapo itafuata mikoa mingine hatua kwa hatua na wamesema bayana kuwa mpaka kufikia Machi 2024 wote tuliosajiliwa na kupata Namba tutakuwa tumepata Vitambulisho vyetu.

Jambo muhimu sana kuelewa ni kwamba Kilicho muhimu sana ni mtu kuwa na Utambulisho wa Taifa yaani umesajiliwa na kupata Namba yako ya Utambulisho wa Taifa ambayo hiyo ndiyo inatumika kukutambulisha na kukuwezesha kupata huduma yeyote hata kama huna Kitambulisho (Kadi). Kitambulisho au Kadi kama wengine wanavyokiita ni end product lakini Utambulisho halisi ni namba yako.
Seconded, ufafanuzi na udadavuzi wa kina, na Mimi hiki ndicho ninachokifahamu asante sana. Wenzetu Kenya wathamini sana Huduma Namba si Kitambulisho.
 
Wageni wakaazi wanapokuja nchini hupata kibali (working permit) ya miezi sita tu, hivyo kwa vyovyote vile ni lazima wapewe vitambulisho vya Mgeni Mkaazi kabla ya muda huo wa kibali chake hakijakwisha muda wake. Lakini pia Kitambulisho cha Taifa anachpoewa raia huyo wa kigeni kina ukomo tofauti na raia mzawa ambaye Kitambulisho chake cha uraia hakina ukomo. Aidha, idadi ya wageni wanaoomba vitambulisho vya Taifa kwa category yao ni wachache sana si zaidi ya 50,000 ukulinganisha na mamilioni kwa mamilioni ya raia wazawa, na hawa wageni wana aina yao tofauti ya Vitambulisho. Hivyo si kweli kwamba kuna upendeleo kwa wageni hakuna kitu kama hicho.

Kuhusu rushwa, ni vema tukaelewa kuwa unapojisajili kwa mara ya kwanza huduma yote ya usajili mpaka kupata Kitambulisho ni BURE hakuna malipo yeyote. Kama mtumishi wa NIDA anakuomba rushwa na una uhakika kabisa kuwa ni Mtumishi wa NIDA na una ushahidi wa kuombwa hiyo rushwa naomba tutoe taarifa TAKUKURU au kwa uongozi wa NIDA ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya wahusika. Tusilalamike tu bila sisi wenyewe kuchukua hatua lakini pia na sisi tusikubali kutoa rushwa, na ni vema pia tufahamu wako matapeli wanaojifanya ni watumishi wa NIDA wakati siyo, tunawapa pesa sisi wenyewe wakitupiga tunaanza kuwalalamikia NIDA, hatutendi sawa, hebu sisi wenyewe tusaidie mapambano dhidi ya rushwa kwa kukataa kutoa na kutoa taarifa.

Tatizo la watu ambao hawajapata vitambulisho vyao tayari imekwisha tangazwa rasmi kwamba Vitambulisho vimeanza kuzalishwa kwa wingi, kusambazwa na kugawiwa kwa wingi kwa wananchi wenye namba za Utambulisho. Zoezi la ugawaji Vitambulisho kwa Umma limezinduliwa hivi karibuni Musoma mkoani Mara, hivi sasa Vitambulisho vinaendelea kugawiwa kwa watu wote wenye namba katik awilaya zote za mkoa wa Mara, Wilaya zote za mkoa wa Mtwara, Wilaya zote za mkoa wa LIndi, Kigoma na Kagera. Baada ya hapo itafuata mikoa mingine hatua kwa hatua na wamesema bayana kuwa mpaka kufikia Machi 2024 wote tuliosajiliwa na kupata Namba tutakuwa tumepata Vitambulisho vyetu.

Jambo muhimu sana kuelewa ni kwamba Kilicho muhimu sana ni mtu kuwa na Utambulisho wa Taifa yaani umesajiliwa na kupata Namba yako ya Utambulisho wa Taifa ambayo hiyo ndiyo inatumika kukutambulisha na kukuwezesha kupata huduma yeyote hata kama huna Kitambulisho (Kadi). Kitambulisho au Kadi kama wengine wanavyokiita ni end product lakini Utambulisho halisi ni namba yako.
Uyu jamaa wa NIDA msimsikilize
 
Jambo lingekuwa rahisi sana kama vitamvulisho vya NIDA ndo vije kutumika kupigia kura utaona kama raia kama hawapati ID
Kutumia Vitambulisho vya Taifa kupiga kura ni moja ya matumizi yake nimesikia kwenye vyombo vya habari hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom