Kadi Poa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,015
- 1,004
Magufuli ndio jembe mchapa kazi bora.Kulikuwa na dada mmoja mrembo sana "Female Assassin" wa idara ya ujasusi ya KGB aliwahi kuficha risasi mbili ndani ya uke wake alipoenda kumuua mfanyabiashara mmoja maarufu sana katika hotelini huko jijini Minsk mji mkuu wa nchi ya Belarus.
Mfanyabiashara huyo alikuwa amepishana kauli na serikali ya USSR mwaka 1979.
Nipo ninaiandaa hiyo story alafu ikikamilika nitaiweka humu HARAKA SANA.