Nicolae Ceauşescu: Swahiba wa Julius Nyerere, Rais wa Romania na mjamaa kindakindaki aliyeuawa kifo cha kumiminiwa risasi na wanajeshi (Firing Squad)

Kulikuwa na dada mmoja mrembo sana "Female Assassin" wa idara ya ujasusi ya KGB aliwahi kuficha risasi mbili ndani ya uke wake alipoenda kumuua mfanyabiashara mmoja maarufu sana katika hotelini huko jijini Minsk mji mkuu wa nchi ya Belarus.

Mfanyabiashara huyo alikuwa amepishana kauli na serikali ya USSR mwaka 1979.

Nipo ninaiandaa hiyo story alafu ikikamilika nitaiweka humu HARAKA SANA.
Magufuli ndio jembe mchapa kazi bora.
 
Kulikuwa na dada mmoja mrembo sana "Female Assassin" wa idara ya ujasusi ya KGB aliwahi kuficha risasi mbili ndani ya uke wake alipoenda kumuua mfanyabiashara mmoja maarufu sana katika hotelini huko jijini Minsk mji mkuu wa nchi ya Belarus.

Mfanyabiashara huyo alikuwa amepishana kauli na serikali ya USSR mwaka 1979.

Nipo ninaiandaa hiyo story alafu ikikamilika nitaiweka humu HARAKA SANA.
Mkuu hii story ilishakamilika? Kama Tayari naomba unitag kaka
 
Kulikuwa na dada mmoja mrembo sana "Female Assassin" wa idara ya ujasusi ya KGB aliwahi kuficha risasi mbili ndani ya uke wake alipoenda kumuua mfanyabiashara mmoja maarufu sana katika hotelini huko jijini Minsk mji mkuu wa nchi ya Belarus.

Mfanyabiashara huyo alikuwa amepishana kauli na serikali ya USSR mwaka 1979.

Nipo ninaiandaa hiyo story alafu ikikamilika nitaiweka humu HARAKA SANA.
Kwa jinsi Rais Magufuli alivyopambana na corona atashinda kwa 100%.
 
Back
Top Bottom