Achana na wapuuzi ndio maana tumeanzisha Makapuku ForumWajf wabaya nyie...! mmesababisha member mpya kaingia mitini, maskini mwenyewe alijiandaa kweli na bonge la selfie.....Hamisi huku watu ndivyo walivyo rudi usiogope
Achana na wapuuzi ndio maana tumeanzisha Makapuku Forum
Dogo hajavunja RULE YOYOTE ya Jf wanamsakama utafikiri kawaibia vyupi vyao
Jf sio ya baba zao
WANABOA

Duu at least umemjibu Salam yakePoa! Mambo vipi?
za kutosha.
Ha ha ha ha awape vyupi vyao ili amani iwepowanamsakama utafikiri kawaibia vyupi vyao
Watu wachokozi Sana jamaniAisee mbona hio t-shirt ina shingo kubwa sana, yaani shingo lake limelegea.
Au umeiba ya mshua kupigia picha
Bila shakhaaa!?Atakuwa kinyoya uyu (form 1)
Wajf wabaya nyie...! mmesababisha member mpya kaingia mitini, maskini mwenyewe alijiandaa kweli na bonge la selfie.....Hamisi huku watu ndivyo walivyo rudi usiogope