Simply Kaiza
Member
- Nov 7, 2017
- 36
- 24
Mwenye Ngoza Za Komba Kuna Ile inaimbwa "Tumeshuhudia Kuagana na Baba yetu, Mwenzetu mwalimu Nyerere" Na Ile Ya "Kama Sio Juhudi Zako Nyerere"
Massari mkuuWimbo unaitwa
Really love
Ila jina la msanii limenitoka
Wakuu mwenye wimbo Wa "Ni mdodo" Wa kizigua...msaada
Huu hapaView attachment PATRICIA_HILARY__-__NI_MDODO.m4aWakuu mwenye wimbo Wa "Ni mdodo" Wa kizigua...msaada
Shukran sana mkuu
Mkuu, una nyimbo zingine za Mviko Sound!? Nahitaji ule wa Ukimwi..Huu hapa man. Enjoy
Ni wimbo wa DJ Carter akishirikiana na Mad Ice. Huu hapaHabarini ndugu zangu.
Nautafuta wimbo wa kiswahili wa kitambo kidogo mashairi yake kwnye chorus yasema hivi..
"mama mia mia nakuzimia mia asilimia mia mia.....ehhhh
'Ohhh mama mia naumia moyoni oh mama mia ahhh ohh mama mia ahhhh"....
HII BEAT UKIINGIA YOU TUBE UNAIPATA CHAP.Naomba instrumental/beat ya wimbo wa zahara destiny