Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,663
- 13,488
Ulipata hili litungu?!natafuta wimbo wa bhoke wanne ontighire omwene
Ulipata hili litungu?!natafuta wimbo wa bhoke wanne ontighire omwene
fundi bishoo mbona ngoma ipo YouTube yakufikia tu!!Wakuu naomba wimbo wa juma nautre na manzese crew riziki ni popote wazee nawaomba sana naitak hii ngoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmesearch ila sijaiona mkuu nmetafta sana mpka gugo sijaiona mzee ndo mana nkaja hapafundi bishoo mbona ngoma ipo YouTube yakufikia tu!!
Kiongozi natumia App nashindwa kuapload wimbo humu, kama hutojali nitumie namna yako ya WhatsApp inbox nikurushie.Mkuu naomba huo wimbo na. 1 kama hutajali.
'Kasoro Yangu Sijaijua'
Siwezi kuapload wimbo nadhani tatizo litakuwa kwa vile natumia App, ikiwa hutojali njoo PM unitumie namba yako ya WhatsApp nitakutumia mkuu.Hahahahahaha daaaaah hata hizo naziomba ndg yangu..... hiyoo mla kunde nimekumbuka mbali mnoo
Ninao Kwenye External, Shida kuna mtu kaichukua. Ikija mapema kama bado nakumbuka Nitaeta hapaJamani wimbo wa Kiama wa Daz Nundaz ft Komputer mwenye nao please
Ulioimbwa na Varda Arts,Natafuta wimbo wa Cards arts ulikuwa unapigwa redio one kipindi Cha watoto zamani za utoto wangu kabla ya kipindi na baada ya kipindi;
'watoto wasafi moyoni, Ni nyota za macho ya wazazi, sisi ni Maua,tuliyoopendwa na Mungu mwenyezi....'
Mwenye kuwa nao, please share
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
aloo kitambo sana hiiOohoooAsante mkuu.
Sasa nakupa kazi ngumu..ukiiweza tu hata kabla sijaiona zama PM nitumie namba ya M-pesa.
Naomba wimbo huu kwenye pichaView attachment 1355399
Kizibo
wanadaamu wengi wametawaliwa na pesaOohoooAsante mkuu.
Sasa nakupa kazi ngumu..ukiiweza tu hata kabla sijaiona zama PM nitumie namba ya M-pesa.
Naomba wimbo huu kwenye pichaView attachment 1355399
Kizibo
ile katibu kata by ngoni tribe?Vitu
Natafuta wimbo wa Cards arts ulikuwa unapigwa redio one kipindi Cha watoto zamani za utoto wangu kabla ya kipindi na baada ya kipindi;
'watoto wasafi moyoni, Ni nyota za macho ya wazazi, sisi ni Maua,tuliyoopendwa na Mungu mwenyezi....'
Mwenye kuwa nao, please share
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app