Lameck Masanja
Senior Member
- Aug 5, 2011
- 151
- 237
Kuna bongo fleva moja ya miaka ya 2000. Nadhani wimbo ameshirikishwa Pigy Black.
Maneno yanasema hivi "Ee kuna mambo mengi ni nimekufanyia wee mpenzi wangu. Lakini kuna kitu ki moja nimesahau kukueleza"
Halafu pigy black anasema "kila kukicha bebi we uko bize...haaaya kama hutaki techeze basi nieleze. Sio unakaa kimya tu nieleze kachaa nile mkunjo"
Nautafuta ila siujui jina.
Maneno yanasema hivi "Ee kuna mambo mengi ni nimekufanyia wee mpenzi wangu. Lakini kuna kitu ki moja nimesahau kukueleza"
Halafu pigy black anasema "kila kukicha bebi we uko bize...haaaya kama hutaki techeze basi nieleze. Sio unakaa kimya tu nieleze kachaa nile mkunjo"
Nautafuta ila siujui jina.