Kuna bongo fleva moja ya miaka ya 2000. Nadhani wimbo ameshirikishwa Pigy Black.
Maneno yanasema hivi "Ee kuna mambo mengi ni nimekufanyia wee mpenzi wangu. Lakini kuna kitu ki moja nimesahau kukueleza"
Halafu pigy black anasema "kila kukicha bebi we uko bize...haaaya kama hutaki techeze basi nieleze. Sio unakaa kimya tu nieleze kachaa nile mkunjo"
Nautafuta ila siujui jina.
 
Ndio maana nikakwambia huna akili.

Soma hayo maelezo ya files zinazokubali, kwa kifupi ilo file lako linaweza kuwa kwenye format ya mp3 itakubali
kwa akili zako nyembamba umeona mi napandisha mp7 au?
Screenshot_20211208-120834_1638954668701.jpg
 
Kuna wimbo mmoja wa dini nautafuta sanaaa sijajua ameimba nani hila ni mwanamke.
Unaimbwa hivi.
"Njooni tumwabudu Mungu baba, Mwenye sifa zote zakuitwa baba, ameinua wanyonge, ameinua yatima amewaweka huru waliofungwa" nmeusikia mda sana, anaeijua hii kwaya au muimbaji naomba tafadhari
 
Hii ngoma niliangaika sana kutafuta asee.

Mawazo yangu yote na nilivokua natafuta najua kaimba Tems na ngoma inaitwa Vibe Killer.. kumbe nilikua njee kabisa.

Now on repeat baada ya kuipata.

20211208_124134.jpg
 

Attachments

  • Dunia ~ PAULINE ZONGO.mp3
    4.8 MB
  • Kama Unanipenda ~ PAULINE ZONGO.mp3
    2.2 MB
  • Mateso's Beat ~ PAULINE ZONGO.mp3
    6.3 MB
  • Najuta ~ PAULINE ZONGO.mp3
    2.4 MB
  • Natamani ~ PAULINE ZONGO.mp3
    4.5 MB
  • Nitakufaje ~ CRAZY GK feat. PAULINE ZONGO.mp3
    4.9 MB
  • Niwe Nawe ~ T.I.D & POULINE ZONGO.mp3
    3.2 MB

Similar Discussions

Back
Top Bottom