Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,461
- 11,229
Nichek dm
Msanii ni mbilia beli ila jina la wimbo nahisi jua ni moto kma sijakoseaNaombeni huu wimbo
Moja ya mashairi anasema
Nainda eeeh nainda mama
Rudisha roho namwili mama
Au hata jina la huyu msanii
Mbilia bel _nadinaNaombeni huu wimbo
Moja ya mashairi anasema
Nainda eeeh nainda mama
Rudisha roho namwili mama
Au hata jina la huyu msanii
Nadina - Mbilia BellNaombeni huu wimbo
Moja ya mashairi anasema
Nainda eeeh nainda mama
Rudisha roho namwili mama
Au hata jina la huyu msanii
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Nashukuru mkuu Kama hautajari nisogezee hapaNadina - Mbilia Bell
Mkuu naomba nyimbo za Fanuel SedekiaHamjaomba ati. Zipo tele
nachokumbuka Ni jamaa wa Kenya huyuKuna wimbo maishairi yake nasema
Sasa baby gal
Sasa baby gal si itani nimekumiss
Nakutafuta nashindwaa..
Sasa baby gal
Tafadhali mwenye kuujua tafadhali sana
Anaitwa king LennyKuna wimbo maishairi yake nasema
Sasa baby gal
Sasa baby gal si itani nimekumiss
Nakutafuta nashindwaa..
Sasa baby gal
Tafadhali mwenye kuujua tafadhali sana
Walimuimbia ole guna WA Manchester nnNaitafuta wimbo:Ole bado wasumbuka,umeimbwa na juwata jazz