Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,996
- 10,503
Za kizazi kipya nyingi mnazo kwenye mitandao. Hizi za zamani nyingi hazipo mitandaoni, hivyo tunafanya kukumbuka enzi. Hata hivy hujazuiwa kuomba, utapewa tu.Apa wengi munaomba manyimbo ya zamani tu..
Sisi wa kizazi kipya hatujui izo.
Sent using Jamii Forums mobile app