Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,635
- 2,303
Huu ni uchocheziyake
Huu ni uchocheziyake
Wewe ulitaka uone watoto wake, hata ukiwaona unawafahamu? Tupia picha mkuuKwanza siku ile airport sikuona mizigo wala watoto wake wakihamia.
majaliwaWana Jamvi naombeni mnisaidie katika hili,
Wiki kadhaa zilizopita tulishuhudia waziri mkubwa akiagwa pale airport akiwa kwenye bombardier akielekea Dodoma. Ilisemekana alikuwa anatekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hata alipowasili vyombo vya habari vilionyesha ziara zake alizofanya akiwa Dodoma.
Lakini jambo linalonoshangaza, wiki yote hii waziri mkubwa yuko Dar kwenye ofisi yake ile ile ya siku zote.
Tumeshuhudia akiendelea na majukumu yake kama kawaida.
Inamaana majukumu yake ameshindwa kuyafanyia Dodoma?
Leo yupo nachingwea kesho anaenda Ruangwa jimboni kwake atakuwa hapo kwa siku 3Wana Jamvi naombeni mnisaidie katika hili,
Wiki kadhaa zilizopita tulishuhudia waziri mkubwa akiagwa pale airport akiwa kwenye bombardier akielekea Dodoma. Ilisemekana alikuwa anatekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hata alipowasili vyombo vya habari vilionyesha ziara zake alizofanya akiwa Dodoma.
Lakini jambo linalonoshangaza, wiki yote hii waziri mkubwa yuko Dar kwenye ofisi yake ile ile ya siku zote.
Tumeshuhudia akiendelea na majukumu yake kama kawaida.
Inamaana majukumu yake ameshindwa kuyafanyia Dodoma?
kwa hiyo ziara yake jijin dar inaisha lini ili ahamie mikoa mingine?makazi yake ya kiofisi ni idodomya lakini hii haimzuii kutekeleza majukumu yake akiwa mikoa mingine. ni waziri mkuu wa JMT na si dom. Muwaambie na wabunge wenu kila mtu akae jimboni kwake na matamko yao yote watolee majimboni
Leo nimekutana nae maeneo ya kariakoombona yupo Dodoma now,nyumbani Mlimani City(Mlimwa Hill)