Ni Waziri Mkuu yupi aliyehamia Dodoma?

Ni Waziri Mkuu yupi aliyehamia Dodoma?

Msiwe na haraka. Serikali inahama kidogo kidogo. Hadi mwaka 2020 kabla ya uchaguzi mkuu serikali yote itakuwa imehamia Dodoma na yale majengo yake yote ya Dar yatakuwa yameshauzwa kwa wawekezaji wa mahoteli ya five stars. Kwenye hii transition si ajabu kumuona waziri mkuu aki operate kutokea Dodoma na Dar.
 
Wew mtoa huu Uzi Mungu anakuona,, huo sasa ni Uchochezi kwanini hutaki kuamini kuwa Waziri mkubwa tayari kahamia kusiko kuwa na bahari?

Atahamiaje yeye kule wkt watendaji wa chini ktk ofs yke bado wapo dar?
 
Tulisikia WM anahania Dodoma sio ofisi ya WM inahamua Dodoma. WM alitoa muda Wa ofisi kuhamia Dodoma tena kwa kushauri nyaraka zjbadilishwe kuwa elektroniki ili wakati ukifika wasihame na mafaili. Kwa mktadha huo utaendelea kumuona Dar na hata ofisi yake ikihama bado kuna wizara zitakuwa bado. Na kama mji mkuu wa kibiashara bado watakuja hawawezi kuacha
 
Dodoma hakuna bahari,Mjerumani mwenyewe kashindwa kukaa bagamoyo,Aliyeanzisha huo mchakato mpaka anang'atuka yupo hapahapa Dar sio Mbeya bana
 
Nasikia amemteua malecela amwakilishe kwenye safari yake ya kuhamia huko Dodoma
 
Nionavyo mimi mpango wa Serikali kuamia Dodoma ni mzuri sana, lakini utekelezaji wake ungechukua muda kidogo. Ili lingeipa muda Serikali kujiandaa kibajeti lakini pia kuwaandaa kisaikolojia watumishi wa Serikali.

Naona W/M kuamia Dar huku watendaji wengine wote wakiwa Dar ni kupoteza pesa za Serikali bila sababu za msingi. Matokeo yake kila siku analazimika kuwa Dar sijui kama zimeangaliwa hizo gharama za usafiri wa Dar - Dom za kila siku. Maana tumeshuhudia kila wiki ni lazima awepo Dodoma na Dar pia.

Mtazamo wangu wa Serikali ya awamu ya tano; Inatamani kufanya mambo mengi mazuri lakini ipo over-ambitious, yaani wanataka kutekeleza mengi kwa wakati mmoja. Matokeo ya hili watakuja kujikuta wamefanya mengi kwa ubora wa chini sana au kuharibu kabisa. Naamini ikiundwa timu huru kufanya tathmini na ufuatiliaji wa mipango mingi, hali itakuwa mbaya sana.
 
Msiwe na haraka. Serikali inahama kidogo kidogo. Hadi mwaka 2020 kabla ya uchaguzi mkuu serikali yote itakuwa imehamia Dodoma na yale majengo yake yote ya Dar yatakuwa yameshauzwa kwa wawekezaji wa mahoteli ya five stars. Kwenye hii transition si ajabu kumuona waziri mkuu aki operate kutokea Dodoma na Dar.

Support
 
Wana Jamvi naombeni mnisaidie katika hili,

Wiki kadhaa zilizopita tulishuhudia waziri mkubwa akiagwa pale airport akiwa kwenye bombardier akielekea Dodoma. Ilisemekana alikuwa anatekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hata alipowasili vyombo vya habari vilionyesha ziara zake alizofanya akiwa Dodoma.

Lakini jambo linalonoshangaza, wiki yote hii waziri mkubwa yuko Dar kwenye ofisi yake ile ile ya siku zote.

Tumeshuhudia akiendelea na majukumu yake kama kawaida.

Inamaana majukumu yake ameshindwa kuyafanyia Dodoma?
Dodoma alienda kwa ziara kama mikoa mingine safari ya dodoma tutakwenda kwa awamu haaah jamani shikeni adabu zenu mbona mnatufuatilia kila siku haaa
 
Wana Jamvi naombeni mnisaidie katika hili,

Wiki kadhaa zilizopita tulishuhudia waziri mkubwa akiagwa pale airport akiwa kwenye bombardier akielekea Dodoma. Ilisemekana alikuwa anatekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, hata alipowasili vyombo vya habari vilionyesha ziara zake alizofanya akiwa Dodoma.

Lakini jambo linalonoshangaza, wiki yote hii waziri mkubwa yuko Dar kwenye ofisi yake ile ile ya siku zote.

Tumeshuhudia akiendelea na majukumu yake kama kawaida.

Inamaana majukumu yake ameshindwa kuyafanyia Dodoma?
Waziri Mkuu Mh Majaliwa Kassim Majaliwa ndiyo amehamia Dodoma rasmi kama ulivyosikia na kunaona

Hakuna tofauti na hilo yaliyobaki ni mambo ya kazi za kiutendaji tu za Serikali.

Wewe ulitakaje?
 
Haamiii mtu....nia na sababu tunazoooooo....dodoma noooo
 
Tunazuga tuko dom kwenye vyombo vya hbr af tunarudi dizm kimyakimya.bwahahahaaaa...nani asojua ukiwa nchini Tz iko daslam na ukiwa nje ya nchi ndipo daslam inakuwa Tz
 
Back
Top Bottom