Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,240
- 90,297
Wabillahi taufiq,
Nimeona taarifa za kusilimu kwa watu maarufu wa mitandaoni bongo hivi karibuni, kuanzia Pierre Liquid, Snura majanga na Gigy money.
Watu wakisilimu taarifa zao hujaza sana mitandaoni kuanzia kusilimu kwao, kufunga ndoa za Kiislamu na kwenda kuhiji Mecca.
Sijawahi kuona mitandaoni taarifa za watu maarufu kuritadi, wakibatizwa baada ya kubadili dini au wakifanya mambo ya ugalatia.
Nimeona taarifa za kusilimu kwa watu maarufu wa mitandaoni bongo hivi karibuni, kuanzia Pierre Liquid, Snura majanga na Gigy money.
Watu wakisilimu taarifa zao hujaza sana mitandaoni kuanzia kusilimu kwao, kufunga ndoa za Kiislamu na kwenda kuhiji Mecca.
Sijawahi kuona mitandaoni taarifa za watu maarufu kuritadi, wakibatizwa baada ya kubadili dini au wakifanya mambo ya ugalatia.