nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
mimi kuna watu wananiudhi sana, kweli mnadhani taifa hili halina pesa za kulipa mishahara ? kweli ninyi mnanishangaza, Kikwete , Wabunge na Mawaziri wana kula keki zaidi ya asilimia 78, WANAITAFUNA HIVIHIVI, ANGALIA ANALYSIS ZA Sikonge hapo juu, sasa hiyo A na B ni ile Budget ya Kikwete yakuendea nnje ya Tanzania kwenda kutalii na kufanya utumbo huko, leteni budget ya mkewe, leta Budget ya ofisi yake kwa ujumla...aibu ni aibu.