Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
nadhani I will be the last person kusapoti muungano uliojaaa malalamiko yaliyopitiliza .....ht mke/mume akionekana haridhishwi na ndoa mliyofinga bora umuache tuu..maana ukijifanya kumbembeleza anakupotezea muda wa kufanya majukumu yako mengine...kila siku mtajadili kero..ukisovu moja anakuja na mpya..ooops .....kuungana na mlalamishi ni KERO Na upotevu wa muda......nadhani hkukufanyika research kabla ya maamuzi haya....ooops naboreka sana
mix with yours
Sidhani kama kuna mtu anaungangania Muungano, na hata ukiforce uwepo, unakuwa hujawatendea haki wasio utaka, hapa kinachozungumzwa, haki ifuatwe, maana isije ikawa wasitaka muungano ni wachache kuliko wengi wanaoutaka, hapa hoja ilikuwa iende kwenye bunge la JMT na hapo ndio wangeamua ama kuitisha kura ya maoni ama njia yoyote nyingine inayofaa kuupima huu Muungano na kama haiwezekani basi uvunjwe
hapo juu naona unazungumzia habari za ndoa, nadhani hata wewe ukitaka kuachana na mkeo/mmeo kuna utaratibu wa kufuata ili ijuliknae kuwa mmeachana, uwezi kukurupuka na kusema umemwacha mtu bila kufuata utaratibu (Usuruhishi na mwisho taraka)