..kwanza naona Waziri wa Sheria Mathias Chikawe kaamua kula "kobis". anadai mabadiliko haya hayana ramifications zozote zile kwa muungano.
..Zenj ina Raisi,cabinet,baraza la wawakilishi,wimbo wa taifa...kwa mtizamo wangu hayo yote yana-justify mabadiliko ya katiba waliyoyafanya wiki hii. wale wanaotaharuki leo hii ni sawa la watu wanaokumbuka shuka wakati jogoo anawika.
..zaidi, mabadiliko haya yana madhara gani kwa Mtanganyika? personally sioni faida wala hasara za waziwazi za muungano huu kwa wa-Tanganyika. uwepo, usiwepo, najionea sawa tu.
NB:
..Muungano ni unpopular in Zanzibar, and unfeasible to Tanganyikans. Zenj ni ndogo mno kuweza kuwa na muungano wenye usawa na unaeleweka na Tanganyika.
..tuwe majirani wema na wa-Zenj na kushirikiana nao kupitia EAC kama tunavyofanya kwa Burundi na Rwanda.
..Zenj ina Raisi,cabinet,baraza la wawakilishi,wimbo wa taifa...kwa mtizamo wangu hayo yote yana-justify mabadiliko ya katiba waliyoyafanya wiki hii. wale wanaotaharuki leo hii ni sawa la watu wanaokumbuka shuka wakati jogoo anawika.
..zaidi, mabadiliko haya yana madhara gani kwa Mtanganyika? personally sioni faida wala hasara za waziwazi za muungano huu kwa wa-Tanganyika. uwepo, usiwepo, najionea sawa tu.
NB:
..Muungano ni unpopular in Zanzibar, and unfeasible to Tanganyikans. Zenj ni ndogo mno kuweza kuwa na muungano wenye usawa na unaeleweka na Tanganyika.
..tuwe majirani wema na wa-Zenj na kushirikiana nao kupitia EAC kama tunavyofanya kwa Burundi na Rwanda.