Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Kila mtu ananjaa including 99% percent ya wachangiaji humu... hii discussion haina ata maana zaidi yakula muda tuu.
 
Siku za karibuni limeibuka kundi la watu ambao wako tayari kufa au kufanya lolote lile kumtetea Sita,


wamevuka mipaka kiasi cha kutojadili maada au hoja bali kumtetea tu! ninachofahamu ni kuwa

Sita+Mwakyembe+Lowasa+Rostam+Kikwete+Warioba+Kilango+Makamba+Ngeleja+Masha+sofia Simba+Mkapa=CCM.
watu mtakaojitokeza kumtetea yoyote katika hao na kuponda wengine nadhani ni kutokutumia akili ya kawaida kabisa ya kuzaliwa!
However, inapendeza zaidi kuwatetea baadhi ya watu mliowapa majina ya wapiganaji kama wewe ni mwana CCM, yaani mmoja wao, ila inahuzunisha beyond words ukimkuta mtu mwenye akili timamu anatoka povu kumtetea Sita ana kina mwakyembe ambao ni wasaliti na wezi kabisa wa tafa hili ,jana leo, na hata kesho, never even mention akina EL na AR,

CCM lao moja! kipindi hiki cha uchaguzi ndio mtawaona kwa matendo yao! waoi Kilango? wapi Mwakyembe? kelele ziko wapi? wanaofadhili hizo chaguzi zenu ni akina nani?

hapo kwenye nyekundu INA MAANA KATIKA HILO KUNDI LA WATU WA KUWATETEA WA KINA SITTA WEWE HAUMO, NA KAMA AHUMO, BASI HUMO KATIKA KUNDI LA KUMPINGA SITTA NA TIMU YAKE ULIYOIWEKA HAPO JUU

KWA MAANA MOJA AU NYINGINE, HAO WOTE WALIO KWENYE HILO KUNDI (list yako hapo juu) HAWATUMII AKILI YA KUZALIWA KABISA, KWA SABABU ANAYEWATETEA HAO HATUMII AKILI KABISA, WOTE NI WAMOJA`

KWA MAANA MOJA AU NYINGINE WEWE HUWATETEI HAO NA UNATUMIA AKILI ZAKO ZA KUZALIWA, SASA SWALI NI KUWA WEWE NA MBATIA MNA TOFAUTI GANI?
WOTE MKO KWENYE MISIMAMO SAWA YA KUTOWATETEA HAO JAMAA (kwenye hiyo list yako) KWA KUTUMIA AKILI ZENU

SASA SIJUHI KWA NINI UNANIAMBIA BADO SIJAKUWA KWA KUIENDELEZA HIYO LOGIC YAKO YA if A=B and B=C, then A=C

maana inabaki kuwa ile ile kama Mrema=Mbatia and Mrema =Kikwete and Mbatia=Wareboya (misimamo sawa) and Kikwete=CCM, then Mrema=Mbatia=Kikwete=Wareboya=CCM, kumbe hili ni bonge la cycle
 
Ndani ya CCM Fisi,Chui na kondoo wanaishi zizi moja. Kwa manufaa ya wananchi wengi watanzania tutamuunga mkono yeyote atakayesaidia kubomoka hili zizi .
Kwa yeyote yule atayesaidia kuleta utengano kwa hawa wanyama ataungwa mkono no matter

Awe msafi au mchafu kiasi gani
Awe mzalendo wa kweli au ana ajenda binafsi

Sitta na wenzake wanaungwa mkono si kwasbabu ni wasafi bali tunawaunga mkono sababu
.........
 
hapo kwenye nyekundu INA MAANA KATIKA HILO KUNDI LA WATU WA KUWATETEA WA KINA SITTA WEWE HAUMO, NA KAMA AHUMO, BASI HUMO KATIKA KUNDI LA KUMPINGA SITTA NA TIMU YAKE ULIYOIWEKA HAPO JUU

KWA MAANA MOJA AU NYINGINE, HAO WOTE WALIO KWENYE HILO KUNDI (list yako hapo juu) HAWATUMII AKILI YA KUZALIWA KABISA, KWA SABABU ANAYEWATETEA HAO HATUMII AKILI KABISA, WOTE NI WAMOJA`

KWA MAANA MOJA AU NYINGINE WEWE HUWATETEI HAO NA UNATUMIA AKILI ZAKO ZA KUZALIWA, SASA SWALI NI KUWA WEWE NA MBATIA MNA TOFAUTI GANI?
WOTE MKO KWENYE MISIMAMO SAWA YA KUTOWATETEA HAO JAMAA (kwenye hiyo list yako) KWA KUTUMIA AKILI ZENU

SASA SIJUHI KWA NINI UNANIAMBIA BADO SIJAKUWA KWA KUIENDELEZA HIYO LOGIC YAKO YA if A=B and B=C, then A=C

maana inabaki kuwa ile ile kama Mrema=Mbatia and Mrema =Kikwete and Mbatia=Wareboya (misimamo sawa) and Kikwete=CCM, then Mrema=Mbatia=Kikwete=Wareboya=CCM, kumbe hili ni bonge la cycle

Naona unalazimisha hoja! unataka unipe CCM?

let me tell you what I believe:

1. I believe we dont have ipposition parties
2. I believe CCM are all corrupt people

I believe that we all as Tanzanian we can do better that this CCM and this so called opostion parties

I believe in only one opposition party called CUF in Zanzibar, not cuf bara

By the way, Kituko, umeshafika na kuona JF ni mahakamani? ukishaanza kutoa hoja ya kumtetea na kumbariki huyu, sijui itakuwa forum. Utamu wa forum Kituko ni kujadili hoja na kufanya assignment.

Just imagine thread ingekuwa imeanza tangu mwanzo then woote tunamrushia makombora Mbatia, mpaka page ya 200! what input will you gain?

I need more from you;

Nimekataa kuwa namtetea Mbatia, nakataa pia kuwa namuhukumu Sita, sina uthibitisho.(hujaweka vithibitisho wapi nimemtetea)

Nimemhukumu Sita kupitia chama alichopo, kwa theory nilizosema, naomba unipinge kwa kugeneralise CCM.

Au wewe unayesema unamtetea Sita, labda ndiyo utoe hoja wengine tusiojua uzuri wa Sita ni nini ambao unamfanya awe exceptional na CCM wengine.

Pia kumbuka ni mjadala huru, na hakuna anyekulazimisha kutoamini au kutoandika chochote, but for the sake of other readers na mimi, naomba ni-gain challenge au at least some theorecical belief toka kwako ili upinge hoja ya mbatia. Ukiona hutaweza kupinga kwa hoja, unaweza kuchukua ushindi kama unaona kubisha chochote kile humu unapata sifa, na ukishinda ubishi unasikia faraja! facts should always surpass reality!

At least unaweza kunielewa sasa unajadili na nani! tungekuwa tunajuana ungeshajua nina maanisha nini! sifagilii wapinzani dhaifu wa aina ya mbatia, na sifagilii wanafiki wa aina ya Sita.

Wewe ndio tumbie dododo.. uzuri wa Sita!
 
Ndani ya CCM Fisi,Chui na kondoo wanaishi zizi moja. Kwa manufaa ya wananchi wengi watanzania tutamuunga mkono yeyote atakayesaidia kubomoka hili zizi .
Kwa yeyote yule atayesaidia kuleta utengano kwa hawa wanyama ataungwa mkono no matter

Awe msafi au mchafu kiasi gani
Awe mzalendo wa kweli au ana ajenda binafsi

Sitta na wenzake wanaungwa mkono si kwasbabu ni wasafi bali tunawaunga mkono sababu .........

At least mtazamaji unaweka benchmark nzuri

Naomba niorodheshee alichofanya Sita akiwa spika! kinachomfanya awe distinguishe personel ndani ya CCM unayotaka iondoke!

By the way; are you hopping kuwa CCM itagawanyika siku moja? how and why?

Tukifikia muda tukaona ukombozi wetu unatoka CCM, why dont we declare the monoparty system?
 
Jamani haya malumbano yanaboa sasa..Hivi hatuwezi tukajadili mambo ya maana kuliko kuendelea kujadili watu?Kujadili watu kutabadilisha chochote au nikujilisha upepo na kupoteza muda?Kuna msemo unasema condemn the fauty and not the actor of it.tuajdilini hoja jamani na sio watu inaboa.
 
Jamani haya malumbano yanaboa sasa..Hivi hatuwezi tukajadili mambo ya maana kuliko kuendelea kujadili watu?Kujadili watu kutabadilisha chochote au nikujilisha upepo na kupoteza muda?Kuna msemo unasema condemn the fauty and not the actor of it.tuajdilini hoja jamani na sio watu inaboa.

Asante mkuu:

Ebu toa mfano wa kitu gani kikijadiliwa anajadiliwa mtu....

Na akitu gani kikijadiliwa inajadiliwa hoja......



wengine hatuelewi pengine
 
Asante mkuu:

Ebu toa mfano wa kitu gani kikijadiliwa anajadiliwa mtu....

Na akitu gani kikijadiliwa inajadiliwa hoja......



wengine hatuelewi pengine

Kwa mfano hoja hapa ni ufisadi wa Sitta kwa mujibu wa Mbatia..Mimi naona kuliko kujadili kwamba Sitta sio fisadi au ni fisadi wala hatufiki popote kwani mimi naamini ndani ya serikali ya CCM tukianza kumkagua mmojammoja tutakuja kugundua wote ni mafisadi hata hao wanaojifanya ni wapinga ufisadi,haponi mtu kama Sophia Simba alivyowahi kunukuliwa.Kwahiyo mimi nashauri tatizo hasa ni nini? na tutafute dawa ya kukomesha hii hali ya ufisadi.Its obvious kwamba Sitta atajitetea kwa gharama zozote zile na mwisho wa siku ataonekana msafi kama ambavyo wanavyoonekana kina RA mpaka kufikia kupigiwa debe na kina Pinda kwenye majimbo yao.
 
Ninapenda sana tactics za rostam... amegundua wapinzani wana njaa sana na hiki ni kipindi cha mavuno na anawatumia vizuri sana siku hizi

bado yeye kupenyeza rupia CHADEMA sasa, and i am hopeful hiyo haitatokea
.
Hakuna cha rostam wala nan.
Sitta ni fisadi tu na mwengi yanayosemwa ni ukweli.
Amekuwa madarakani miaka kibao na leo hii eti ni shujaa wa ufisadi?
 
At least mtazamaji unaweka benchmark nzuri

Naomba niorodheshee alichofanya Sita akiwa spika! kinachomfanya awe distinguishe personel ndani ya CCM unayotaka iondoke!

By the way; are you hopping kuwa CCM itagawanyika siku moja? how and why?

Tukifikia muda tukaona ukombozi wetu unatoka CCM, why dont we declare the monoparty system?

Weberoya

Binafsi sijui sitta aliachofanya zaidi ya na kutangza na kuonyesha kuwa CCM si moja(Mfano kasema nusura anyanganywe kadi sababu ya kutetea haki).

Kuidhoofisha au kuparaganyika kwa CCM ni one way ya kuelekea mabadiliko ya kweli.

Awe Zitto , Dr slaa ,Lipumba, Sitta Mwakyembe, JK yeyote atakefanya kitu chochote kile kitakachozua mjadala wa mstakabli ndani ya CCM au makundi yake atakuwa anatusaidia wanachi.So upande 1ja wa shilingi namkubali sitta kwa hilo. Atleast Fisi na chui wameshtukiana ingawa wako zizi moja.

CCM itagawanayika one day na nyufa ndio hizi tunaziona. Kugawanyika kikweli kweli itachukua muda but CCM si sasa si moja.Na hivi sasa tofauti zao tunaziona na wao wenyewe wananyoosheana vidole. Ile kasumba ya collective repsosnibility kubeba lawama/kashfa inapotea taratibu- which is good kwa watanzania

CCM Itagawanyika vipi

So CCM inagawanyika kwa
  1. vita ya madaraka,
  1. kasfa za kifisadi zimewekwa hadarani na baadhi ya wana CCM sasa wananyosheana vdole kujisafisha.

Binafsi sina Chama but I can see CCM leadership is there for quite sometime. Its only after iCCM is distabilised when we can predict ni lini tunaweza kuwa na wabunge wengi nje ya CCM kama si nusu ya wabunge CCM
 
Kwa mfano hoja hapa ni ufisadi wa Sitta kwa mujibu wa Mbatia..Mimi naona kuliko kujadili kwamba Sitta sio fisadi au ni fisadi wala hatufiki popote kwani mimi naamini ndani ya serikali ya CCM tukianza kumkagua mmojammoja tutakuja kugundua wote ni mafisadi hata hao wanaojifanya ni wapinga ufisadi,haponi mtu kama Sophia Simba alivyowahi kunukuliwa.Kwahiyo mimi nashauri tatizo hasa ni nini? na tutafute dawa ya kukomesha hii hali ya ufisadi.Its obvious kwamba Sitta atajitetea kwa gharama zozote zile na mwisho wa siku ataonekana msafi kama ambavyo wanavyoonekana kina RA mpaka kufikia kupigiwa debe na kina Pinda kwenye majimbo yao.

Thank your bro, you have actually made my day!

Mkapa alisema wakati fulani sisi ni wavivu wa kufikiri, JK akamalizia kuwa tunafuata mkumbo !

Hakuna ukombozi toka ndani ya CCM tujipange tulio nje tufanye nini!


Weberoya

Binafsi sijui sitta aliachofanya zaidi ya na kutangza na kuonyesha kuwa CCM si moja(Mfano kasema nusura anyanganywe kadi sababu ya kutetea haki).

Kuidhoofisha au kuparaganyika kwa CCM ni one way ya kuelekea mabadiliko ya kweli.

Awe Zitto , Dr slaa ,Lipumba, Sitta Mwakyembe, JK yeyote atakefanya kitu chochote kile kitakachozua mjadala wa mstakabli ndani ya CCM au makundi yake atakuwa anatusaidia wanachi.So upande 1ja wa shilingi namkubali sitta kwa hilo. Atleast Fisi na chui wameshtukiana ingawa wako zizi moja.

CCM itagawanayika one day na nyufa ndio hizi tunaziona. Kugawanyika kikweli kweli itachukua muda but CCM si sasa si moja.Na hivi sasa tofauti zao tunaziona na wao wenyewe wananyoosheana vidole. Ile kasumba ya collective repsosnibility kubeba lawama/kashfa inapotea taratibu- which is good kwa watanzania

CCM Itagawanyika vipi


So CCM inagawanyika kwa
  1. vita ya madaraka,
  1. kasfa za kifisadi zimewekwa hadarani na baadhi ya wana CCM sasa wananyosheana vdole kujisafisha.
Binafsi sina Chama but I can see CCM leadership is there for quite sometime. Its only after iCCM is distabilised when we can predict ni lini tunaweza kuwa na wabunge wengi nje ya CCM kama si nusu ya wabunge CCM

Thank you,

Kwa hiyo Sita ni mmoja wa watu unaoona wanaweza kuleta mgawanyiko ndani ya CCM!

CCM ikigawanyika inakuwaje, maana EL na RA wanaweza wakajitoa kuanzisha chama;

1. Inabidi tujue haya maono au unabii utatokea lini? tukishindwa kujua ni lini then we will never do anything hopping that CCM will split one day

2. Je ikigawanyika quality ya hao wanaogawanyika itakuwaje? EL and RA wanaweza wakajitoa na kusema wanzishe chama, na CCM orijino wakabaki akina Karamagi, Nkono na akina Masha!

Na je mawazo ya CCM kugawanyika yamenza lini? Haikugawanyika Mrema anaondoka CCM, haikugawanyika kipindi cha G55, haikugawanyika Lowaasa wakati anajiuzulu! HAYA MAWAZO NANI KALETA?? haikuwa hivi miaka 10 iliyopita mtu kuwaza CCM kugawanyika, all these people leo wanaoonekana wapiganaji wamekulia kwenye hizo system, wanaishi na wamedevote maisha yao kwenye hizo system

what if all what Sita is telling us is just a political game??

3. Lets assume theory yako hii awe nayo kila mtanzania, je nini nafasi ya vyama vya upinzani, kama Chadema, NCCR, CUF hauoni hivi vyama kutokuwa na nguvu chanzo ni watanzania kama wewe wenye mawazo kama haya?

Mimi pia sina chama pia kama wewe lets discuss this
 
.
Hakuna cha rostam wala nan.
Sitta ni fisadi tu na mwengi yanayosemwa ni ukweli.
Amekuwa madarakani miaka kibao na leo hii eti ni shujaa wa ufisadi?

wengi hatupendi kuusikia huu ukweli! watu wakiambiwa basi povu linatoka
 
wengi hatupendi kuusikia huu ukweli! watu wakiambiwa basi povu linatoka

- Mkuu Waberoya tunajadili siasa ya taifa letu, demokrasia ni wewe kusema na mimi kusema, hoja wka hoja kwangu Sitta ni bora kuliko rostam, sasa na wewe sema mawazo yako sio ya mapovu maana hutapenda majibu ya mapovu, mkitaka kujadili wenyewe sauti moja tutawapa nafasi.

Es!
 
- Mkuu Waberoya tunajadili siasa ya taifa letu, demokrasia ni wewe kusema na mimi kusema, hoja wka hoja kwangu Sitta ni bora kuliko rostam, sasa na wewe sema mawazo yako sio ya mapovu maana hutapenda majibu ya mapovu, mkitaka kujadili wenyewe sauti moja tutawapa nafasi.

Es!

Nani anafanya comparison ya Sita na Rostam kwenye thread hii?

Nani anasema tunaangalia ubora wa wanachama wa chama kimoja? GS kasema tujadili hoja, na tumeshahama kumjadili mtu naona unaturudisha nyuma) hoja hapa ni CCM haifai! siyo sita na rostam, wewe utafanya comparison kwa sababu ni mwana CCM,

Hivi niliposema wanatoa mapovu na wewe ulikuwemo?

Naomba usijibu post zangu hizi maana wewe ni mwana CCM! hatutaelewana, siwezi kabisa nikafanya comparison ya Sita na Rostam, kwangu wote mafisadi, kwako wewe fanya na waza unavyoweza kusema, !!
 
nani anafanya comparison ya sita na rostam kwenye thread hii?

nani anasema tunaangalia ubora wa wanachama wa chama kimoja? gs kasema tujadili hoja, na tumeshahama kumjadili mtu naona unaturudisha nyuma) hoja hapa ni ccm haifai! Siyo sita na rostam, wewe utafanya comparison kwa sababu ni mwana ccm,

hivi niliposema wanatoa mapovu na wewe ulikuwemo?

Naomba usijibu post zangu hizi maana wewe ni mwana ccm! Hatutaelewana, siwezi kabisa nikafanya comparison ya sita na rostam, kwangu wote mafisadi, kwako wewe fanya na waza unavyoweza kusema, !!

well said waberoya!!
 
inakuhusu nini sasa?kama alimaliza au hakumaliza shule inahusikaje hapa?off point
astahili kuulizwa hilo swali, hasa kutokana na mlango aliotumia kuingia katika malumbano na Mh 6, au naye kaguswa na ile kauli ya UKWELI viongozi kununuliwa na mafisadi ili kuwapaka mafuta ya uto il wang'ae kwenye jamii
 
Kama shule ilimshinda ndio ataweza siasa? siajabu atashindwa hata kumalizia huo uenyekiti ahamie kwa rostam kutafuta pesa

Kigogo trust me, kutomaliza shule ni dalili tu ya kukosa reliability kwa chochote


Mbatia hakumaliza chuo alifukuzwa wakati wa ngomo wa 1992, siku ya mwisho kuwa UDSM ni pale aliposimama FOE kuongea siku ya kunji majira ya saa tisa mchana, saa 10 chuo kikafungwa tukaondoka wote mbatia hakurudi alikuwa kati ya wale waliofukuzwa moja kwa moja na rais mwinyi.
Ila nasikitika nasikia eti siku hizi ni shoga, binafsi sikupata kujua hilo na sina ushahidi.
Chuoni alikuwa mpiganaji mzuri kama kina Magori sasa ni mkurugezi wa oprations NSSf pia rais wa pili wa TFA
 
Mbatia hakumaliza chuo alifukuzwa wakati wa ngomo wa 1992, siku ya mwisho kuwa UDSM ni pale aliposimama FOE kuongea siku ya kunji majira ya saa tisa mchana, saa 10 chuo kikafungwa tukaondoka wote mbatia hakurudi alikuwa kati ya wale waliofukuzwa moja kwa moja na rais mwinyi.
Ila nasikitika nasikia eti siku hizi ni shoga, binafsi sikupata kujua hilo na sina ushahidi.
Chuoni alikuwa mpiganaji mzuri kama kina Magori sasa ni mkurugezi wa oprations NSSf pia rais wa pili wa TFA

Hii post yako, umeweka historia vizuri sana, ila umetaka nilie tena, kuwa mkuu huyu shoga, yaani unamaanisha gay? maan kiswahili kinakua

ebu dadavua! mkuu ukiweza weka na viuthibitisho hata vya mazingira!

by the way anasali wapi?? (joke)
 
Tatizo hapa nini, kwamba Sitta hagusiki, saint au ni nini? Nilifikiri hapa JF ni kukata issue, na kila mtu anagusika. Mbatia ametoa tuhuma, mwenye onus ya kuzjijbu ni Sitta au serrogates wake. Sasa kama kila atakayewagusa hawa 'mashujaa' ataambiwa amenunuliwa tutafika kweli?

Mimi ni mojawapo niliye-question na ninaendelea ku-question uhalali wa spika wa bunge la wananchi maskini kutumia kodi ya wananchi kulipia nyumba sh. 10,000,000 kwa mwezi; kutembelea gari ya 200,000,000, n.k. Juzi nimepita pale D.T Dobie nimekuta mwingine naye kutoka BOT kaangazi Mercedes Benz ya sh 200,000,000, pesa za walipa kodi, huyu kwangu naye ni fisadi tu. Na haya ndio ameyaongea Mbatia, what's is new in this this? Tumeshayasema sana hapa JF Mbatia ameyarudia tu, kwa nini awe amenunuliwa au ndio uvivu wa kufikiri??
 
Back
Top Bottom