Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

James Mbatia ni Kihiyo, kama alimaliza shule labda "Chuo cha Utamaduni"

Acheni kuwasema watu ilhali hamjui background zao. Mbatia ana Masters ya Engineering! Tena sio kama zile za kina Mathayo David.....
 
Bado kidogo tutamsikia Mchungaji Mtikila lazima avute kitu kidogo kwa RA ili achafue hali ya hewa.
 
Hivi kwani anayetarajiwa kuiongoza CCM kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni Kikwete au Sita? kwanini wapinzani wanaspecialize kupambana na Sita na kumpa Kikwete free ride?
 
Kama shule ilimshinda ndio ataweza siasa? siajabu atashindwa hata kumalizia huo uenyekiti ahamie kwa rostam kutafuta pesa

Kigogo trust me, kutomaliza shule ni dalili tu ya kukosa reliability kwa chochote

Novo
Unasemaje Kuhusu waliomaliza shule na wakaenda mpaka Havard na bado wakafanya madudu?

na mbona tuna viongozi wengie tulionao ni wasomi lakini yanayoendelea ni tofauti na usomi? Tatizo la tanzania ni hatuna WAZALENDO.

Khuhusu Mh Sitta.

Inawezekana akawa na unafuu kiasi fulani kwenye genge la mafisadi lakini pia ana matatizo. kusema kuwa kupangishiwa nyumba ni amri kutoka kwa fulani. Haoni mfano wa Jaji kiongozi? Kusema marcedes benzi anazotumia kanunua katibu ni danganya toto. Akizikataa na kuomba vitara itamshushia hadi yake?

Wanasiasa wote hakuna anayekubali kosa.na neno kuomba msamaha ni marufuku kwao.Sita is an example na yupo tayari kuwateketeza wenzake ili aonekani msafi kuliko usafi halisi alionao.

My take
Sitta should accept where he went wrong na ndio credibility yake itaongezeka. He is not an angel.
 
[SIZE=4]Akimgeukia Sitta, kiongozi huyo wa juu wa NCCR- Mageuzi alieleza kushangazwa na hatua ya spika huyo kujipambanua kuwa mmoja wa wapambanaji dhidi ya vitendo vya ufisadi, wakati mwenendo wake wa sasa na wa kihistoria ukimtia katika kundi hilo hilo la viongozi wenye tuhuma za ufisadi ndani ya CCM. [/SIZE]

.....wajameni, zama zile Mrema akiwa Bungeni si mnakumbuka jinsi walivyopakana MATOPE na huyu Mbatia, Mrema apigwe stop baada ya kuuliza ......HIVI HAWA MASHOGA HAPA BUNGENI......bla bla bla!!!
Mlengwa mmojawapo ni Mbatia.

Kisa cha kina Kim Philby, Anthony Burgess, Roger Holis walivyoharibu mambo ya MI5 (au MI6???), common denominator ikiwa ni ushoga wa jamaa hao na Mabasha wa Kirusi zama zile. Sasa ishu ni hii.....MASHOGA ni rahisi sana kuingia mikenge. Theories nyiongine ni out of context.

Hawa jamaa kina Mrema, Mbatia na viongozi wengine uchwara waliojipachika label ya upinzani, ni jamaa sawa na shoga tu. Hawana msimamo, hawatakuwa nao kamwe. Siri ya shoga aijuaye nani?
 
Mbatia ulikuwa wapi siku zote usiuelezee umma hayo machafu ya six, yaani unasubibiri mpaka amshambulie mpinzani mwenzako?.wanasiasa simameni imara mtetee Taifa lenu na si ku-concentrate na siasa za visasi.
 
Ndo maana wakti mwingene huwa napenda kuwaa mtazamaji.
Watu humu JF hawajdili maada wanajadili muhusika na jinsi gani anawakera.
Wanasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Jamaa ana hoja lakini watu wamemgeukia yeye badala ya alichoongea.
Hivi hata ukijadili mada yenyewe unadhani huwezi kumjadili mtoa mada?
Wakati mwingine huwa inashangaza unaposikia mtu anasema ujinga ulio dhahili k iasi cha kuhitaji kujua education background yake kabla hata ujajadili mada. Hivyo msikulupuke tu kumlaumu mtu kwa kuuliza swali! Jiulize kwa nini kauliza swali?
 
Hatudanganyikiiiii!!! Mbatia hivi ulikuwepo nchini wakati wa mpambano dhidi ya mafisadi? Mbona hatukusikia ukitolea ufafanuzi wa upande uliokuwa? Thanks God hapa umetuzihirishia ulikuwa upande wa kina RA japo ulijizuia kusubiri wakati huu muafaka wa mavuno. Mtikila alichukua ajira kama yako wakati wa mavuno madogo ya kwa Wangwe kilichomfika anakijua mwenyewe. Yaani mbatia kutangaza kugombea kawe anatafuta huruma za sisiem? Sii urudi huko tena watakupa heshima ya kukabiziwa kadi na Makamba?. Wapinzani tafadhali acheni kujipachika ukatibu uenezi wa ccm.
 
woooote mafisadi......hawana lolote......ni maslahi tu.....hakuna kati yao wote pamoja na spika ni mafisadi tu..wachumia tumbo...wa bongo hakuna mtetezi katika hawa....sita ni katika ma spika bomu africa.......ukimwona mtu anajisifu sana ujue kuna tatizo........mimi naona spika anaefaa baada ya uchaguzi..ni pfofessor issa shivji...ni mzalendo na msomi wa hali ya juu katika sheria ..ametumikia nchi hiii sanaa
 
Ninapenda sana tactics za rostam... amegundua wapinzani wana njaa sana na hiki ni kipindi cha mavuno na anawatumia vizuri sana siku hizi bado yeye kupenyeza rupia CHADEMA sasa, and i am hopeful hiyo haitatokea

De Novo,
Mbona alishapenyeza rupia CHADEMA siku nyingi tu, kumbuka jinsi uchaguzi wao ulivyoenda na kauli ya mzee Mtei, rejea pia kauli za baadhi yao kuhusu DOWANS na RICHMOND, ilikuwa utafikiri hawakai vikao na kufukia maamuzi ya pamoja juu ya masuala muhimu.
Binafsi nadhani ingawa RA alishapenyeza rupia CHADEMA lakini wamekuwa makini mno kudeal nae kwa kuyadhibiti makorokoro ya RA.
 
Siku za karibuni limeibuka kundi la watu ambao wako tayari kufa au kufanya lolote lile kumtetea Sita, wamevuka mipaka kiasi cha kutojadili maada au hoja bali kumtetea tu! ninachofahamu ni kuwa

Sita+Mwakyembe+Lowasa+Rostam+Kikwete+Warioba+Kilango+Makamba+Ngeleja+Masha+sofia Simba+Mkapa=CCM.

watu mtakaojitokeza kumtetea yoyote katika hao na kuponda wengine nadhani ni kutokutumia akili ya kawaida kabisa ya kuzaliwa!

However, inapendeza zaidi kuwatetea baadhi ya watu mliowapa majina ya wapiganaji kama wewe ni mwana CCM, yaani mmoja wao, ila inahuzunisha beyond words ukimkuta mtu mwenye akili timamu anatoka povu kumtetea Sita ana kina mwakyembe ambao ni wasaliti na wezi kabisa wa tafa hili ,jana leo, na hata kesho, never even mention akina EL na AR,

CCM lao moja! kipindi hiki cha uchaguzi ndio mtawaona kwa matendo yao! waoi Kilango? wapi Mwakyembe? kelele ziko wapi? wanaofadhili hizo chaguzi zenu ni akina nani?

kutokana na hoja yako hapo kwenye nyekundu

Mrema anamtetea kikwete hivyo Mrema=Kikwete=CCM, Mbatia anamtetea Mrema, Hivyo Mbatia =Mrema=Kikwete=CCM,

Wareboya anamtetea Mbatia, Hivyo

Wareboya=Mbatia=Mrema=Kikwete=CCM, na list inaenda kuunga kwenye list yako hapo juu penye nyekundu
 
Ninapenda sana tactics za rostam... amegundua wapinzani wana njaa sana na hiki ni kipindi cha mavuno na anawatumia vizuri sana siku hizi

bado yeye kupenyeza rupia CHADEMA sasa, and i am hopeful hiyo haitatokea

Rostam anaingia vipi hapa? Usitake kuficha ufisadi wa Sitta kwa kuleta hisia zako kwa Rostam. Sitta ni chui aliyevaa ngozi ya kondoo.Sitta hana usafi wa kumnyooshea mtu kidole.
 
hakuna mada hapo MBATIA anajichanganya (cheap popularity) anatafuta kujulikana ,kusikika tu,kumbuka huyu mtu anatapatapa angalau kufikia uchaguzi mkuu aweze kuibuka

r.i.p mbatia
 
woooote mafisadi......hawana lolote......ni maslahi tu.....hakuna kati yao wote pamoja na spika ni mafisadi tu..wachumia tumbo...wa bongo hakuna mtetezi katika hawa....sita ni katika ma spika bomu africa.......ukimwona mtu anajisifu sana ujue kuna tatizo........mimi naona spika anaefaa baada ya uchaguzi..ni pfofessor issa shivji...ni mzalendo na msomi wa hali ya juu katika sheria ..ametumikia nchi hiii sanaa

Macos,
Vipi lindo lenu linaendeleaje pale kwa Kakobe? Duh! lile lindo lenu pale lilikuwa kabambe, vipi TANESCO walishafanikiwa kuliondoa lile bango lenu pale?
 
Rostam anaingia vipi hapa? Usitake kuficha ufisadi wa Sitta kwa kuleta hisia zako kwa Rostam. Sitta ni chui aliyevaa ngozi ya kondoo.Sitta hana usafi wa kumnyooshea mtu kidole.

PN inawezekana kweli Sitta ana udhaifu kama wengi wetu, lakini nakataa kuungana nawe kuwa hana usafi wa kumnyooshea mtu kidole, usafi huo anao na ndio maana anapambana nao waziwazi na anajibu shutuma zote zinazoelekezwa kwake kwa ufasaa. Angalia ni tuhuma ngapi viongozi wengine wanaelekezewa na ngapi wanajibu na majibu yao kama yanalingana na uzito wa shutuma.
 
- Ukiamua kumshambulia kiongozi kama Spika wa sasa, ni lazima uwe na facts kuliko hizi circumstantial evidence, sema aliiba hela flani sio alitumia kununua flani it does not make a sense, alitumia hela kukodi nyumba huo ni uamuzi wa Serikali sio wa Sitta, najua kuwa viongozi wetu wengi wa sasa sio malaika, lakini ninam-support Sitta kwamba ni afadhali kuliko mafisadi,

- Na Mungu amsaidie sana aendelee na moyo huo huo alionao mgumu sana wa kusimama bila kuogopa mafisadi, kama sio yeye Lowassa angekwua bado anachota hela zetu as he wished, no wonder makelele against Sitta ni mengi mno, kuna waliopoteza mlo kutokana na msimamo wa Sitta.

Respect.


FMEs!
 
- Ukiamua kumshambulia kiongozi kama Spika wa sasa, ni lazima uwe na facts kuliko hizi circumstantial evidence, sema aliiba hela flani sio alitumia kununua flani it does not make a sense, alitumia hela kukodi nyumba huo ni uamuzi wa Serikali sio wa Sitta, najua kuwa viongozi wetu wengi wa sasa sio malaika, lakini ninam-support Sitta kwamba ni afadhali kuliko mafisadi,

- Na Mungu amsaidie sana aendelee na moyo huo huo alionao mgumu sana wa kusimama bila kuogopa mafisadi, kama sio yeye Lowassa angekwua bado anachota hela zetu as he wished, no wonder makelele against Sitta ni mengi mno, kuna waliopoteza mlo kutokana na msimamo wa Sitta.

Respect.

FMEs!


-Huwezi kuwa msafi unakaa nyumba ya millioni 10 kwa mwezi.
-Huwezi kuwa na morality yoyote kama una tuhuma ya kuwa na vimada indirectly
privilege ya ofisi ya bunge
-Tumedanganyika muda mrefu,namshukuru Mungu kwa kunipanua mawazo na kujua what is going on our country.
-Wananchi wengi majimbo ya Lowassa,Sitta,Rostam na wengineo huko vijijini
hawaelewi dunia inakwendaje.Sam Six akimwaga matrecta vijijini ,basi wote wanaona ndio mtu wao.Wengi wao wanalalia vitanda vya ngozi,hawana shuka,
hawali chakula kizuri,really ni poor !Angalia Lowassa alipokwenda kijijini kwao about 2 months ago.Mapokezi yalikuwa ya ajabu!Ni ndio Tanzania ya watu kama 90% ambao hawajui lolote kabisa.Do you think Wamasai wa kijijini wanajua
RICHMOND?
 
- Ukiamua kumshambulia kiongozi kama Spika wa sasa, ni lazima uwe na facts kuliko hizi circumstantial evidence, sema aliiba hela flani sio alitumia kununua flani it does not make a sense, alitumia hela kukodi nyumba huo ni uamuzi wa Serikali sio wa Sitta, najua kuwa viongozi wetu wengi wa sasa sio malaika, lakini ninam-support Sitta kwamba ni afadhali kuliko mafisadi,

- Na Mungu amsaidie sana aendelee na moyo huo huo alionao mgumu sana wa kusimama bila kuogopa mafisadi, kama sio yeye Lowassa angekwua bado anachota hela zetu as he wished, no wonder makelele against Sitta ni mengi mno, kuna waliopoteza mlo kutokana na msimamo wa Sitta.

Respect.

FMEs!

Eti wasafi ni hao ambao wanatumbua pesa za maskini bila kuona aibu?

Nyumba ya dola karibu 10,000 kwa mwezi kwa Tanzania sio tu ni ufisadi wa ngazi ya juu bali pia ni ukichaa.

Hawana tofauti na hao wanahangaika kwenye hospitali za Wazungu kwa checkups na kutumia mabilioni huku Watanzania wanakufa kwa malaria. Kisha eti wanajiita ni wapambanaji wa ufisadi.

Tanzania imejaa wajinga ambao wanayumbishwa na viongozi bomu ambao wamekuwa wakiliibia taifa miaka na miaka bila kuwajibishwa.

Mizee inaongozana Ulaya na familia, wapambe, walinzi, wapishi kwa ajili ya checkups tu, kweli hili taifa gani?
 
-Huwezi kuwa msafi unakaa nyumba ya millioni 10 kwa mwezi.
-Huwezi kuwa na morality yoyote kama una tuhuma ya kuwa na vimada indirectly
privilege ya ofisi ya bunge

-Tumedanganyika muda mrefu,namshukuru Mungu kwa kunipanua mawazo na kujua what is going on our country.

- Mkuu heshima sana, yaani hizi ndio tuhuma za kumfanya Sitta kuwa hafai? That is all?

FMEs!
 
Back
Top Bottom