Hatudanganyikiiiii!!! Mbatia hivi ulikuwepo nchini wakati wa mpambano dhidi ya mafisadi? Mbona hatukusikia ukitolea ufafanuzi wa upande uliokuwa? Thanks God hapa umetuzihirishia ulikuwa upande wa kina RA japo ulijizuia kusubiri wakati huu muafaka wa mavuno. Mtikila alichukua ajira kama yako wakati wa mavuno madogo ya kwa Wangwe kilichomfika anakijua mwenyewe. Yaani mbatia kutangaza kugombea kawe anatafuta huruma za sisiem? Sii urudi huko tena watakupa heshima ya kukabiziwa kadi na Makamba?. Wapinzani tafadhali acheni kujipachika ukatibu uenezi wa ccm.
Kibby, walinaopanga mabaya kawaida hufa kwa hayo hayo yao. Sijajua uko upande gani, ila we better think for the sake of our nation! sina hakika hizo tuhuma za mbatia, zinaweza zikawa kweli au uwongo, then let assume ni kweli, je jambazi hawezi kumtaja jambazi mwenzake?
I mean kama alichosema mbatia ni sahihi je tusijadili ya Sita kwa sababu yeye naye ni mchafu?
siwapendi opposition goi goi may be more than you do!
Kama Tanzania ina akina Fiels Marshall wengi ambao wanashindwa kuona basics ,na kusema Six hafai,we are doomed!
FMES ni mwanaCCM, na analisema hilo waziwazi na ukimtaja Sita, malecela, january makamba, hiyo thread FMES lazima aingie kujibu mapigo, hana hiyana kuweka msimamo wake, JF ni mahali pa wote, siyo chama cha upinzani ndiyo maana unamkuta FMES yumo akisema lolote kutetea baadhi ya watu CCM.ningekuwa moderator ningekuwa nafuta post zote za kutetea mwana CCM yeyote yule.
Waberoya mkuu , heshima mbele. Naungana na wewe kuwa siku hizi watu wamejenga tabia ya kutojadili hoja bali nani katoa hiyo hoja. Mbatia anajenga hoja kuwa Sitta hana moral authority ya kuwashambulia wenzie kuwa ni mafisadi na anatoa mifano ya tabia ya Sitta inayomuweka kundi moja na wenzie wa CCM kuwa wote ni Mafisadi!! Sasa hao wanaomtetea Sitta kuwa sio fisadi waje na ushahidi utakaonesha kuwa huyu bwana kama Spika hakupinga hoja ya Dr. Slaa alipoiwasilisha bungeni juu ya ufisadi wa Richmond!! Kama alikuwa sio fisadi kama hao wenzie aliowageuka, kwanini alimshambulia Dr. Slaa kuwa alikuwa mzushi na alikuwa hana hoja ya maana juu ya Richmond !! Kama alivyotanabaisha Waberoya hawa jamaa ni wamoja na hilo litajulikana wakati huu tunavyoelekea kwenye uchaguzi.
Mkuu that is logic;
From the Greek logos meaning word. Logic is study of the principles of reasoning. A set of premises that are examined and arranged so as to bring a conclusion. If A = B and B = C, then A = C.
Deductive logic is the method of validating a claim by means of supportive information where both the claim and the information are necessarily true. For example, People exist. All people breathe. Therefore, all people breathe.
Inductive logic is the method of drawing a conclusion from a set of supportive information, yet the conclusion has not yet been verified. For example, each night I get tired at 10 PM. Therefore, I conclude that tonight, I will be tired at 10 PM
(carm)
Using this simple logic ni ngumu sana kupata mtu msafi ndani ya CCM asiyeassociate na wachafu! kama wanaCCM wenzako ndio watakaolipitisha jina lako ugombee ubunge, na hao wanaokupitisha na mafisadi!, then leo unasema wewe msafi logici inakataa hapa
Lets be fair at least for our own brains!