Mzeepunch umetumwa hapa na spika sitta nini?
Mimi binafsi nimemsikia alivyosema. Ilikuwa ni baada ya kutambulisha utitiri wa wageni wa bunge.
Kwanza nashangaa mzeepunch ulivyohusisha thread hii na Tanzania Daima wakati ameitaja ikiwa ya pili baada ya gazeti la Tazama. Sasa mbona Tazama haimo kwenye heading yako? inaonekana amekutuma uiseme TD.
Kwa mujibu wa maelezo yake nimeona ni kama anavyofanya siku zote anapotuhumiwa. Huwa ana kawaida ya kusukumia zigo kwa wabaya wake kisiasa bila ya kuwataja ni wapi hao na siku zote amekuwa akiwa link na magazeti lakini hajawahi kukana tuhuma nzito zinazomkabili, ikimaanisha ni kweli yale anayotuhumiwa ila tu sasa wabaya wake wame capitalize kwa hayo ili kumbomoa. Hii haiwezi kumuepusha na tuhuma na lazima awajibike kuliko kulialia.
Yeye amekuwa akijifanya msafi kumbe si msafi kiasi hicho hicho kidogo kama wengine.
Kisha angalia alivyojichanganya. Yeye anasema kuwa wabaya wake wanakaa na magazeti na kufanya mikakati kutengeneza tuhuma kuanzia kwenye mitandao na kisha magazeti yanajifanya ku refer habari hizo kwenye mtandao. Bila shaka hapa inahusishwa JF. Lakini anasahau kuwa kashfa nyingi sana zimeanzia hapa JF na hata kuleta mabadiliko yasiyo ya kawaida.
Na kwa sababu hiyo si ajabu mzeepunch katumwa kuja kufanya matengenezo kwa kuleta haya anayoleta. Ningeamini anayosema kama angesema yote aliyosema mzee Sitta.
Mwisho siwezi kuamini yote anayotuhumiwa Sitta lakini kuna moja ninalojua kwa hakika huyu mzee ni mgonjwa kwalo nalo ni kufungua zip. Hapo kwa namna yoyote kuna kaukweli maana huu huwa ni ugonjwa wake.
Na sisi yeye pekee bali waheshimiwa wetu wengi wana kaugonjwa haka.
Anaweza kujitetea anavyoweza lakini ukweli utabaki rohoni mwake.
afadhali leo kawatolea uvivu tanznia daima full aibu laziama tuseme ukweli spika sitta ameboresha Bunge kwa kiasi kikubwa kiasi cha mawaziri kuongeza uwajibikaji hata kama anakula pesa poaa tu ilimradi Bunge linakuwa imara . Msekwa amekula wee na Bunge likwa muhuri wa serikali tu so hawa nafisadi , kibanda absolom, charles mullinda ni sawa tu na wanyma wakufugwa wasiojitafutia namuomba mbowe awatimue mara moja huko kwani huko mbeleni watamwaribia hadi CHADEMA.
Wanasema katembea na wabunge 12 hadi wa upinzani yule mdada wa chadema Mdee na yeye kampitia??
Wote sasa mawazo yao ni jinsi gani watarudi Bungeni tena, hivyo tutasikia na kuona mengi. Na sasa ndio wakatitutaanza kuwaona katika majimbo yetu wakija kutulaghai kwa mara nyingine, miaka yote walikuwa wakiishi Dar, kama sio Dar miji kama mijini (Arusha, Mwanza nk).
nawewe Punch sijui pancha huelewi nini hapo? hata kama ni mbinu za kumchafua six si atoe maelezo ya anayochafuliwa nayo? ili tujue wazi kuwa ni mbinu chafu! then watashindwa kuendelea, wewe basi mzee wa mtandao tuambie hizo tuhuma uzineutralize kwa kuzijazia uhalisia wake! rent! furniture, m-benz for 300+M! si we unabisha as if unajua ukweli? mwaga data jamvini tuseme nazo watalam
nasema simwamini mzee mwanakijiji ni fisadi na anatumiwa ipo siku mtakubaliana na mimi nimemchunguza sana na hivi sasa nafanya security inteligence tracking juu yake ni mtu hatari sana.