Kuna topic tayari inazungumzia ufisadi wa Sitta ambayo ilitetwa na GT. Pitia huko ndiyo utajua. Ufisadi siyo EPA, Richmond na Kagoda tu. Kama Spika anatumia UDS 8000 kwa mwezi kulipia nyumba, thamani za ndani Tshs 250 million then nafikiri utajaza mwenyewe.......!!!!!!!!!!!!!!
Mi simtetei Sitta, ila ninachohitaji ni Source documents!, hizo topic mi nilishazipitia zote, ila sijaona sehemu yenye source documents zinzoonesha ufisadi wa Sitta. Kagoda na EPA nilisoma report yote na kuona source documents. Sasa kwa nini tuamini hear says?, Hapa JF huo si utamaduni watu wanakuwa convinced na source documents. Vinginevyo itaendelea kuchukuliwa kama udaku mpaka hapo tutakapoona source documents za ufisadi huo.