CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Yaani sijui nani katuroga!
Basi kama kulikua hakuna hizo kanuni kwanini msikae juzi baada ya mechi ya Simba Maana tayari kulikuwa na dalili ya Saido kulingana na Mayele!
Kwanini yaani!
Eti ooh,
Kamati ndio itakuwa!
Kamati my foot!
Suala la mfungaji Bora wala halihitaji kamati ni kanuni tu, itategemea zimepangwa kwa mtiririko upi,
Kwamfano FIFA, kombe la Dunia wao waliweka (kama magoli yamelingana) basi watatumia
1. Assist
2. Dakika chache za kucheza.
3. Magoli ya Penalties
Sasa hapa kwetu HAKUNA AJUAE!
Sawa ngoja kamati imchague Mayele au Saido
Basi kama kulikua hakuna hizo kanuni kwanini msikae juzi baada ya mechi ya Simba Maana tayari kulikuwa na dalili ya Saido kulingana na Mayele!
Kwanini yaani!
Eti ooh,
Kamati ndio itakuwa!
Kamati my foot!
Suala la mfungaji Bora wala halihitaji kamati ni kanuni tu, itategemea zimepangwa kwa mtiririko upi,
Kwamfano FIFA, kombe la Dunia wao waliweka (kama magoli yamelingana) basi watatumia
1. Assist
2. Dakika chache za kucheza.
3. Magoli ya Penalties
Sasa hapa kwetu HAKUNA AJUAE!
Sawa ngoja kamati imchague Mayele au Saido