Ni Tanzania pekee baada ya ligi kwisha kamati inakaa kuchagua mfungaji Bora, kwanini kanuni isiwe wazi mwanzoni mwa msimu?

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,729
5,923
Yaani sijui nani katuroga!
Basi kama kulikua hakuna hizo kanuni kwanini msikae juzi baada ya mechi ya Simba Maana tayari kulikuwa na dalili ya Saido kulingana na Mayele!
Kwanini yaani!

Eti ooh,
Kamati ndio itakuwa!
Kamati my foot!

Suala la mfungaji Bora wala halihitaji kamati ni kanuni tu, itategemea zimepangwa kwa mtiririko upi,

Kwamfano FIFA, kombe la Dunia wao waliweka (kama magoli yamelingana) basi watatumia
1. Assist
2. Dakika chache za kucheza.
3. Magoli ya Penalties

Sasa hapa kwetu HAKUNA AJUAE!
Sawa ngoja kamati imchague Mayele au Saido
 
Sheria za soka ni 17 worldwide

KANUNI ZA MASHINDANO ndio tofauti kati ya nchi na nchi.
Kuna nchi ligi wanacheza kwa makundi, Nyingine kwa mfumo wa ligi moja kama Bongo.

Kuna ligi zingine mkifanana Point wanaangalia HEAD TO HEAD ndio bingwa anaamuliwa (SPAIN)

Kuna ligi wafungaji wakifanana wanapewa viatu wote (UINGEREZA + GERMANY)

Kuna ligi Wafungaji wakifanana wanaangalia Magoli machache ya Penalty.

Kuna ligi au michuano haina Golden boot.

Kwa Bongo, mkifanana Magoli, wanaangalia Mwenye magoli machache ya Penalty.
 
Sheria za soka ni 17 worldwide

KANUNI ZA MASHINDANO ndio tofauti kati ya nchi na nchi.
Kuna nchi ligi wanacheza kwa makundi, Nyingine kwa mfumo wa ligi moja kama Bongo.

Kuna ligi zingine mkifanana Point wanaangalia HEAD TO HEAD ndio bingwa anaamuliwa (SPAIN)

Kuna ligi wafungaji wakifanana wanapewa viatu wote (UINGEREZA + GERMANY)

Kuna ligi Wafungaji wakifanana wanaangalia Magoli machache ya Penalty.

Kuna ligi au michuano haina Golden boot.

Kwa Bongo, mkifanana Magoli, wanaangalia Mwenye magoli machache ya Penalty.
Umemjibu mtoa mada , sasa akae Kwa kutulia
 
Sasa kama ndio hivyo wanajadili nini sasa wakati anayestahili kiatu anafahamika ?
Iko hivi, kwenye zile kanuni kuu za Ligi huwa haiwekwi, hizi huwa ni kanuni ndogo za michuano. Nenda hata CAF hakuna sehemu wameweka utaratibu wa Top Score but wanajua kuna mfungaji bora nk. Kuna kanuni kuu na ndogo, kanuni ndogo zipo TFF na kanuni kuu za Ligi huwa zinakuwa Published.

Watu mnachanganya TOP SCORE vs GOLDEN BOOT.

Wote mnaweza kuwa Top Score lkn haiwezekani wote mpate Golden Boot kwenye michuano mingi.

Kwa Bongo Top Scores ni MAYELE 17
SAIDO 17

Ila Golden Boot atapata MAYELE kwa kuwa ana magoli machache ya penati.
 
Iko hivi, kwenye zile kanuni kuu za Ligi huwa haiwekwi, hizi huwa ni kanuni ndogo za michuano. Nenda hata CAF hakuna sehemu wameweka utaratibu wa Top Score but wanajua kuna mfungaji bora nk. Kuna kanuni kuu na ndogo, kanuni ndogo zipo TFF na kanuni kuu za Ligi huwa zinakuwa Published.

Watu mnachanganya TOP SCORE vs GOLDEN BOOT.

Wote mnaweza kuwa Top Score lkn haiwezekani wote mpate Golden Boot kwenye michuano mingi.

Kwa Bongo Top Scores ni MAYELE 17
SAIDO 17

Ila Golden Boot atapata MAYELE kwa kuwa ana magoli machache ya penati.
Peponi moja kwa moja
 
Yaani sijui nani katuroga!
Basi kama kulikua hakuna hizo kanuni kwanini msikae juzi baada ya mechi ya Simba Maana tayari kulikuwa na dalili ya Saido kulingana na Mayele!
Kwanini yaani!

Eti ooh,
Kamati ndio itakuwa!
Kamati my foot!

Suala la mfungaji Bora wala halihitaji kamati ni kanuni tu, itategemea zimepangwa kwa mtiririko upi,

Kwamfano FIFA, kombe la Dunia wao waliweka (kama magoli yamelingana) basi watatumia
1. Assist
2. Dakika chache za kucheza.
3. Magoli ya Penalties

Sasa hapa kwetu HAKUNA AJUAE!
Sawa ngoja kamati imchague Mayele au Saido
Sheria za mpira na kanuni zake tunafuata za FIFA, wewe huna mpira wa kwako, sheria 17 za mpira ni za FIFA wewe huna za kwako!!.
Kwa wanaoujua mpira kanuni hii tuliijua mwanzo wa msimu!! Kama unampenda Mayele, mpe tu pole na asubiri mwakani!!
 
Sheria za mpira na kanuni zake tunafuata za FIFA, wewe huna mpira wa kwako, sheria 17 za mpira ni za FIFA wewe huna za kwako!!.
Kwa wanaoujua mpira kanuni hii tuliijua mwanzo wa msimu!! Kama unampenda Mayele, mpe tu pole na asubiri mwakani!!
FIFA hawana kanuni acha uongo, Mashindano ndio hutoa kanuni.
World cup ina kanuni zake,
Club world Cup ina kanuni zake nk.

Sheria ndio zinafanana ambazo ni 17. Ila kanuni hazifanani dunia nzima hii.

Jipe maarifa, usichanganye SHERIA na KANUNI.
 
Kiatu Bei gani na kwa Dhahabu ipi au ya makinikia , Watanzania ni wajinga sana ,mnaacha kudadisi uuzwaji wa nchi kwa Waarabu pmbavu
 
Yaani sijui nani katuroga!
Basi kama kulikua hakuna hizo kanuni kwanini msikae juzi baada ya mechi ya Simba Maana tayari kulikuwa na dalili ya Saido kulingana na Mayele!
Kwanini yaani!

Eti ooh,
Kamati ndio itakuwa!
Kamati my foot!

Suala la mfungaji Bora wala halihitaji kamati ni kanuni tu, itategemea zimepangwa kwa mtiririko upi,

Kwamfano FIFA, kombe la Dunia wao waliweka (kama magoli yamelingana) basi watatumia
1. Assist
2. Dakika chache za kucheza.
3. Magoli ya Penalties

Sasa hapa kwetu HAKUNA AJUAE!
Sawa ngoja kamati imchague Mayele au Saido
Labda wewe hujui.

Sisi tunajua mbona
Screenshot_20230609-201040.jpg
 
Ligi haijachagua kamati bwana msiwe wapumbavu

Ligi imeweka sheria Zake tofauti na za fifa nashindwa kuelewa mnachogombea Ni nini
Yaani mitanzania Ni kama tumerogwa

Nb.. Mm Ni kolo
 
Sheria za soka ni 17 worldwide

KANUNI ZA MASHINDANO ndio tofauti kati ya nchi na nchi.
Kuna nchi ligi wanacheza kwa makundi, Nyingine kwa mfumo wa ligi moja kama Bongo.

Kuna ligi zingine mkifanana Point wanaangalia HEAD TO HEAD ndio bingwa anaamuliwa (SPAIN)

Kuna ligi wafungaji wakifanana wanapewa viatu wote (UINGEREZA + GERMANY)

Kuna ligi Wafungaji wakifanana wanaangalia Magoli machache ya Penalty.

Kuna ligi au michuano haina Golden boot.

Kwa Bongo, mkifanana Magoli, wanaangalia Mwenye magoli machache ya Penalty.
Kuna ligi kama marekani watu hawashuki madaraja
 
Sheria za soka ni 17 worldwide

KANUNI ZA MASHINDANO ndio tofauti kati ya nchi na nchi.
Kuna nchi ligi wanacheza kwa makundi, Nyingine kwa mfumo wa ligi moja kama Bongo.

Kuna ligi zingine mkifanana Point wanaangalia HEAD TO HEAD ndio bingwa anaamuliwa (SPAIN)

Kuna ligi wafungaji wakifanana wanapewa viatu wote (UINGEREZA + GERMANY)

Kuna ligi Wafungaji wakifanana wanaangalia Magoli machache ya Penalty.

Kuna ligi au michuano haina Golden boot.

Kwa Bongo, mkifanana Magoli, wanaangalia Mwenye magoli machache ya Penalty.
Paragraph ya mwisho, hiyo kanuni ni ya mwaka jana na imebadilika, ndo maana unaona kuna ugumu au ukimya juu ya bodi na TFF.

msitake kupotoshaa, msubirii siku ya tuzo nani atapewa na kanuni zitawekwa waziiii.
 
Back
Top Bottom