mpira wa miguu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MIHAYO1710

    JamiiForums Tanzania MAISHA YANGU YA SOCCER VS NEEMA YA MUNGU

    Wakuu ningependa kuelezea kwa kifupi zaidi maana ya neema ya Mungu, kupitia maisha yangu halisi ya soccer. 👉Mimi niliupenda sana mpira wa miguu, lakini mpira wenyewe haukuwahi kunipenda! Ukoo wangu (Upande wa baba na mama) hakuna historia inayoonesha kwamba aliwahi kuwepo mcheza soccer...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mpira wa Miguu ni daraja kubwa la maisha

    Kwa wengi, mpira wa miguu ni burudani. Kwa wengine ni biashara. Kwa wengine ni ajira. Lakini kwangu, mpira wa miguu umekuwa mwalimu wa maisha. Kadiri ninavyozidi kuutazama, ndivyo ninavyoona kwamba ndani ya dakika 90 za mchezo kuna masomo ambayo yanaweza kubadili namna tunavyoishi...
  3. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Wananwake wanafurahia Mpira wa Miguu au fata mkumbo

    Wanawake mnao tazama mechi mbalimbali za mpira wa miguu mnafurahia au mnafuata mkumbo labda kwasababu mpenzi,rafiki,kaka au wazazi wako ni shabiki wa timu fulani. Kipi au nani akilikuvutia kushabikia timu unayoipenda?
  4. Binti wa zamani

    JamiiForums Tanzania Nini nifanye au nisifanye nikienda kutazama mechi ya mpira wa miguu kwa mara ya kwanza 🇧🇷🇳🇴?

    Nina maswali kwa mashabiki wa kombe la dunia na mpira wa miguu kwa ujumla, leo ninaenda kuangalia mpira wa miguu nje ya nyumbani kwangu kwa mara ya kwanza; Vitu gani ambavyo sisi tunaokuja kuwapa kampani ila si mashabiki wa mpira mnapenda tusifanye? Vitu gani tukivifanya mnafurahia? Leo...
  5. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Mpira wa miguu una uhusiano wa moja kwa moja na jamii ya Siri (wajezi huru)

    Na kwenye mechi za kombe la dunia tunaona kabisa wamiliki wa jamii hii ya Siri ni watu weupe, angalia timu za watu weupe/wazungu zinavyoshinda mechi zake. Timu ya Africa hata kama iliongoza kwa goal zaidi ya 2, wakiruhusu tuu goal dakika ya 86 lazima meza ipinduke. Tazama 👇👇 Magoli yote...
  6. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania ⚽ Kozi ya Uchambuzi wa Mpira wa Miguu – Jifunze Kuchambua Mechi Kama Mtaalamu

    Je, unapenda mpira wa miguu na unatamani kuelewa mchezo zaidi ya matokeo ya mwisho? Kozi ya Uchambuzi wa Mpira wa Miguu ya ChuoSmart imeandaliwa kukufundisha mbinu za kitaalamu za kuchambua mechi, takwimu, mifumo ya timu na utendaji wa wachezaji kwa kutumia mbinu za kisasa za football analysis...
  7. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Kushabikia mpira wa miguu kwa Mkristo

    Haya mafundisho mawili yamekuwa magumu sana kuyapokea kupokelewa na waumini waliowengi 1)KATAZO MAPAMBO KWA WANAWAKE NA KUJIREMBA Ikiwemo mavazi ya suruali kwa wanawake(mavazi yampasayo mwanaume kuvaliwa na mwanamke na kinyume chake 2)POMBE/ULEVI,UZINZI,uasherati,NA MICHEZO YA...
  8. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia atunukiwa Tuzo ya Maalum na CAF, kwa kutambua mchango wake katika mchezo wa soka

    Goli la mama limelipa ndio tuseme hivyo, na timu nne kwenda hatua ya makundi Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Shirikisho =================== Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya Maalum na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa kutambua mchango...
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kenya na Uganda watakiwa kwenda Tanzania kujifunza Mpira wa miguu. Hongera Azam TV kwa Udhamini

    Wadau wa Mpira wa Afrika Mashariki, wamewataka Kenya na Uganda kwenda Tanzania kujifunza Mpira wa miguu. Wajifinze mbinu za Tanzania wameweza Timu zao zote Nne zikafaulu? Hongera TFF kwa ubora wa Mpira wa Tanzania. Hongera Azam na Ving'amzi vyennu. Azam uwekezaji wao kwenye mpira wa Tanzania...
  10. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

    Tukutane tarehe 16 Septemba ni Simba SC vs Yanga SC
  11. kavulata

    JamiiForums Tanzania Je, FIFA inakataza chama cha siasa kuwa na timu ya mpira wa miguu?

    Hebu wananzengo tuongezeane uelewa kwenye nyanja ya football: Je, kuna kifungu kwenye katiba ya FIFA, CAF, CECAFA au TFF kinachokataza chama cha siasa kumiliki timu ya mpira wa miguu? Je, FIFA inakataza chama cha siasa kusaidia kifedha au usajili timu ya mpira wa miguu? je, FIFA na TFF katiba...
  12. Mwanga wa Jua

    JamiiForums Tanzania Je, Wadau wa AFCON na CHAN mnajua kama Mama katoa TZS298bn kwaajili ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa “Samia Suluhu Arusha stadium"?

    Rais Samia ametoa TZS298bn kwaajili ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu “ Samia Suluhu Arusha stadium” sasa Mkoa wa Arusha kwenye ramani za AFCON rasmi. Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia, mkoa wa Arusha umefanikiwa kupata uwanja wa kisasa wa mpira ambao unajengwa katika...
  13. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Ntaifanya Tanzania kuwa na better ecosystem ya mpira wa miguu Africa

    Nikiwa Rais wa Tanzania ntatengeneza mazingira ili mpira wa miguu uwe unachangia kodi ya sh Trillion 1, ntahakikisha mtoto aliyezaliwa uganda, kenya, Rwanda, Dr Congo, Zambia, n.k anakua na ndoto za kuja kucheza ligi ya mpira ya Tanzania, wote tunafahamu culture ya mpira wa miguu Tanzania ni...
  14. DuaZaMama

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waandamanaji wakicheza mpira wa miguu katikati ya Moshi wa Gesi ya kutoa machozi

    Waandamanaji wakicheza mpira wa miguu katikati ya moshi wa gesi ya kutoa machozi katika mitaa ya Nairobi wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya Juni 25. Tukio hilo lilitokea katikati ya maandamano ya kitaifa yaliyoongozwa na vijana, hasa kizazi cha Gen Z, waliokusanyika kuadhimisha mwaka mmoja...
  15. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo akutana na Rais wa shirikisho la mpira wa miguu la Kosovo

    WAZIRI KOMBO AKUTANA NA RAIS WA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU LA KOSOVO Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kosovo, Bw. Agim Ademi pembezoni mwa Mkutano wa Tatu wa Kimataifa kuhusu...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Tamko rasmi la mashabiki na wadau wa mpira wa miguu Tanzania

    TAMKO RASMI LA MASHABIKI NA WADAU WA MPIRA WA MIGUU TANZANIA Kuhusu Msimu wa 2024/2025 na Wito wa Mabadiliko ya Haraka TPLB Sisi kama mashabiki wa mpira wa miguu Tanzania, tunatoa tamko hili kutokana na kukithiri kwa dosari, vitendo visivyo vya kitaalamu, na uendeshaji mbovu wa Ligi Kuu...
  17. excel

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa Mpira wa miguu wa kike Barani Afrika. Jionee Hazina ya Soka Upande wa Wanawake

    Naanza Na Tanzania
  18. I

    JamiiForums Tanzania Historia ya mpira wa miguu

    Historia ya Mpira wa Soka (Football) Mpira wa soka ni moja ya michezo maarufu zaidi duniani, lakini historia yake ni ndefu na inajumuisha maendeleo mbalimbali kutoka kwa michezo ya zamani hadi kubuniwa kwa sheria za kisasa. kwa mujibu wa Kitabu cha Historia ya MichezoGoldblatt, David (2006)...
  19. I

    JamiiForums Tanzania Historia ya mpira wa miguu

    Historia ya Mpira wa Soka (Football) Mpira wa soka ni moja ya michezo maarufu zaidi duniani, lakini historia yake ni ndefu na inajumuisha maendeleo mbalimbali kutoka kwa michezo ya zamani hadi kubuniwa kwa sheria za kisasa. 1. Asili ya Soka: Asili ya soka inatokana na michezo ya zamani kutoka...
  20. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Sababu ipi wenye ulemavu wa miguu siku hizi hawaingii uwanjani bure?

    Miaka ya nyuma nikiwa mdogo,nilikuwa na rafiki yangu mlemavu akitumia baiskeli ya matairi matatu. Kwa maekezi yake yeye na walemavu wengine waluruhusiwa kuingia mpirani bure kuona mechi yoyote ile. Je ni kwa nini walemavu wa aina nyingine kama viziwi,mabubu,albino,vipofu nk hawakupewa hiyo...
Back
Top Bottom