Kanuni ya mfungaji bora wa ligi kuu NBC inasemaje? Tuwekeeni vifungu

Nominee

JF-Expert Member
Sep 5, 2017
459
1,240
Hivi kwanini Bongo tunaishi kama gari bovu. Ada za usajili za wachezaji haziwekwi wazi, hata malipo viwanjani nayo magumashi kibao.

Haya tuwekeeni hapa kifungu cha kanuni ya bodi ya ligi kuhusu mfungaji bora.

Ahsanteni.
 
FB_IMG_1686322237013.jpg


#YNWA
 
Kwa Tanzania hakunaga hiko kifungu, amini hiki mimi ninachokwambia, achana na stor za wajinga wajinga.
 
Back
Top Bottom