Hivi kwanini Bongo tunaishi kama gari bovu.Ada za usajili za wachezaji haziwekwi wazi,hata malipo viwanjani nayo magumashi kibao.
Haya tuwekeeni hapa kifungu cha kanuni ya bodi ya ligi kuhusu mfungaji bora.Ahsanteni
Tuzo ni mfungaji Bora,,,assist zinahusikaje mkuu,?,Mwenye assist nyingi ndio anapewa otherwise wanashare zawadi
Hakuna kitu kama hicho, hizi ni speculations za watu tu
Assist ni goli? Yaani utafutie mfungaji kwenye assist? Halali bandari iuzweMwenye assist nyingi ndio anapewa otherwise wanashare zawadi
Akikujibu nitag,Tuzo ni mfungaji Bora,,,assist zinahusikaje mkuu,?,
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hapo hakuna cha maana ulichoonyesha. Ni sawa na uchukue msimamo wa ligi team hazijacheza halafu useme arsenal anaongoza ligi.Utopolo na sheria zaoView attachment 2651395
Umeua,Kanuni ndo hizoView attachment 2651393
Phiri pamoja na kutocheza mechi kibao bado yupo top 5Utopolo na sheria zaoView attachment 2651395
Hii ilikua ni kanuni ya uendeshaji wa ligi msimu wa 2021/2022.Kanuni ndo hizoView attachment 2651393
Kanuni ziko kimya uko sahihi. Sasa tusubiri busara na njonjo bahasha za tffKwa Tanzania hakunaga hiko kifungu, amini hiki mimi ninachokwambia, achana na stor za wajinga wajinga.