prospilla
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 1,150
- 1,716
Kingereza ni lugha kama lugha nyingine mkuuMimi nilitoka hapo ila aibu inakuja pale tunapoona kuna PhD ilianzia hapo lakini lugha ya English ni mgogoro
Unapima usomi wa mtu kwa lugha?
Kingereza ni lugha kama lugha nyingine mkuuMimi nilitoka hapo ila aibu inakuja pale tunapoona kuna PhD ilianzia hapo lakini lugha ya English ni mgogoro
Udsm ndio baba la baba lao.
MUHAS ni mtoto wa UDSM.
ARU ni mtoto wa UDSM.
DUCE ni tako la UDSM.
MUCE ni bega la UDSM.
Maraisi wote wa TZ ni UDSM Alumni.
Achana na Yoweri Kaguta Museveni.
Achana na Paul Kagame.
Achana na Mpambanaji Samora Machel.
Hivi vyuo vingine ni kama Takataka tuu.
Havina legacy yoyote.
Vipo tu kwa sababu UDSM haina capacity ya ku admit wanafunzi wote TZ na East Africa.
hata kiswahili tulidandia maana tunazo lugha zetu za asiliSasa kingereza c tumedandia tuu cyo lugha yetuu hiyo cyo point tafuta kinginee badala tukikuze kiswahili we unasema English
zezetaUdsm ndio baba la baba lao.
MUHAS ni mtoto wa UDSM.
ARU ni mtoto wa UDSM.
DUCE ni tako la UDSM.
MUCE ni bega la UDSM.
Maraisi wote wa TZ ni UDSM Alumni.
Achana na Yoweri Kaguta Museveni.
Achana na Paul Kagame.
Achana na Mpambanaji Samora Machel.
Hivi vyuo vingine ni kama Takataka tuu.
Havina legacy yoyote.
Vipo tu kwa sababu UDSM haina capacity ya ku admit wanafunzi wote TZ na East Africa.
Wanatuogopa balaaUDSM huwa mnaponda kote ila sijawahi kusikia mnagusa DIT mnawaogopa au,naskia wale jamaa sio wa mchezo mchezo.wanawatoa kamasi balaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa unashangaa nini?
Hizo mbona ni kauli tarajiwa
Huyo Malisa G JUDSM ndio baba la baba lao.
MUHAS ni mtoto wa UDSM.
ARU ni mtoto wa UDSM.
DUCE ni tako la UDSM.
MUCE ni bega la UDSM.
Tanganyika Law School ni zao la UDSM.
Maraisi wote wa TZ ni UDSM Alumni.
Achana na Yoweri Kaguta Museveni.
Achana na Paul Kagame.
Achana na Mpambanaji Samora Machel.
Kassim Majaliwa UDSM.
Edward Lowassa (Mabadilikooo) UDSM.
Mizengo Peter Pinda (Mtoto wa Mkulima) UDSM.
Samwel Sitta (RIP- DARUSO President) mpaka akachapwa viboko na JK hadharani UDSM.
Twende:
Zitto Zuberi Kabwe (DARUSO President) UDSM.
Malisa GJ UDSM.
Edo Kumwembe UDSM.
K Bazil UDSM.
Jokate Mwigelo UDSM.
Jeshi la Anga (Airforce Command) linapohitaji graduates miaka yote huwa wanakuja COET kurecruit Engineers.
Hivi vyuo vingine ni kama Takataka tuu.
Havina legacy yoyote.
Vipo tu kwa sababu UDSM haina capacity ya ku admit wanafunzi wote TZ na East Africa.
Malisa GJ yupi aliyesoma UDSM??UDSM ndio baba la baba lao.
MUHAS ni mtoto wa UDSM.
ARU ni mtoto wa UDSM.
DUCE ni tako la UDSM.
MUCE ni bega la UDSM.
Tanganyika Law School ni zao la UDSM.
Maraisi wote wa TZ ni UDSM Alumni.
Achana na Yoweri Kaguta Museveni.
Achana na Paul Kagame.
Achana na Mpambanaji Samora Machel.
Kassim Majaliwa UDSM.
Edward Lowassa (Mabadilikooo) UDSM.
Mizengo Peter Pinda (Mtoto wa Mkulima) UDSM.
Samwel Sitta (RIP- DARUSO President) mpaka akachapwa viboko na JK hadharani UDSM.
Twende:
Zitto Zuberi Kabwe (DARUSO President) UDSM.
Malisa GJ UDSM.
Edo Kumwembe UDSM.
K Bazil UDSM.
Jokate Mwigelo UDSM.
Jeshi la Anga (Airforce Command) linapohitaji graduates miaka yote huwa wanakuja COET kurecruit Engineers.
Hivi vyuo vingine ni kama Takataka tuu.
Havina legacy yoyote.
Vipo tu kwa sababu UDSM haina capacity ya ku admit wanafunzi wote TZ na East Africa.
Hata Mimi nimetaharuki , kama na huyu kasoma udsm ,basi maprofesa wa udsm wanatuharibia vijana wetu , kha. Kama jehu hivi hili jamaaSikujua Kama Una upungufu wa akili kiasi hiki