Ni rahisi sana kucheza na akili ya mswahili kutokana na kuamini sana ushirikina

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Jun 3, 2018
726
1,850
Mswahili ukitaka umvuruge akili zake rahisi sana maana waswahili wanaamini sana katika ushirikina.

Chukua kichwa cha kuku tafuta karatasi buni maneno ya kiarabu kwa wino mwekundu halafu andika na jina lake mtupie katika biashara yake, ofisini au nyumbani kwake ๐Ÿ˜ƒ

Akija kuona atachanganyikiwa vibaya kama mshirikina atamaliza waganga na kama mtumishi atamaliza makanisa yote kuombewa ๐Ÿ˜† atahisi karogwa.

Halafu tia chumvi andika tumebeba nyota yako hutoboi ๐Ÿ˜† basi we atachanganyikiwa vibaya ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† Psychology War (Vita ya kisaikolojia)
 
Hahaha, ni kweli unachosema lakini ujue ushirikina upo kweli. Omba sana na simulia sana yasikupate.
 
Uchawi ni imani unaweza kushindwa kulala usiku kutokana na story za jamaa na schezophernia ugonjwa wa akili siamini uchawi naamini katika yesu nguzo ya imani kama islam mohammed nguzo ya fanikio ishu ni iman na siamini

Kama uchawi upo stupidity mindset
 
Mswahili ukitaka umvuruge akili zake rahisi sana maana waswahili wanaamini sana katika ushirikina.

Chukua kichwa cha kuku tafuta karatasi buni maneno ya kiarabu kwa wino mwekundu halafu andika na jina lake mtupie katika biashara yake, ofisini au nyumbani kwake ๐Ÿ˜ƒ

Akija kuona atachanganyikiwa vibaya kama mshirikina atamaliza waganga na kama mtumishi atamaliza makanisa yote kuombewa ๐Ÿ˜† atahisi karogwa.

Halafu tia chumvi andika tumebeba nyota yako hutoboi ๐Ÿ˜† basi we atachanganyikiwa vibaya ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† Psychology War (Vita ya kisaikolojia)
Kwa nini maandishi ya KIARABU NA SI MENGINEYO?, JE MAANDISHI HAYO YANAUHUSIANO GANI NA UCHAWI?
Naomba kujuzwa hili?
 
Mswahili ukitaka umvuruge akili zake rahisi sana maana waswahili wanaamini sana katika ushirikina.

Chukua kichwa cha kuku tafuta karatasi buni maneno ya kiarabu kwa wino mwekundu halafu andika na jina lake mtupie katika biashara yake, ofisini au nyumbani kwake ๐Ÿ˜ƒ

Akija kuona atachanganyikiwa vibaya kama mshirikina atamaliza waganga na kama mtumishi atamaliza makanisa yote kuombewa ๐Ÿ˜† atahisi karogwa.

Halafu tia chumvi andika tumebeba nyota yako hutoboi ๐Ÿ˜† basi we atachanganyikiwa vibaya ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† Psychology War (Vita ya kisaikolojia)
Hahah.. Sure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom