nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Unafanya biashara gani mkoloni? Movie industry nini? Usinijibu natania, ila was trying to connect dots.
kwa nini awe na wivu?au kipindi cha kufukuziana ulipita hapo siku moja?maana sioni sababu ya msingi kwa yeye kuwa na wivu
huyu wa kwanza ni rafik katika biashara, nksema nimpotezee kikatil inaweza kuharibu biashara zangu.
Tafuta rafiki mwingine wa kufanya nae biashara, huyo atakuletea matatizo baadae!huyu wa kwanza ni rafik katika biashara, nksema nimpotezee kikatil inaweza kuharibu biashara zangu.
nimekaa naye sana ila bado hanielewi... Nafikiria hata kukatisha mahusiano ya kibiashara ila nahofia usumbufu utakaojtokeza kwa sababu naye pia ni mtu muhimu katika biashara yangu.
Mkoloni am sorry to tell you you really love this lady yani tena hasa, asingekusumbua kichwa kiasi hicho kama ni biashara tu ndo unahofia. katika biashara kuna ups and down, kushindwa na kuweza, kuporomoka kabisa na kuanza upya.... lakini wewe biashara yako tayari unaijua na unajua nini ufanye ili ufike utakapo, hata huyo dada asipokuwepo naamini utaweza tu! issue kwako iko kua "you can not imagine living without her, yani katika roho yako hata kama atamkubali mke wako yeye asiondoke mana hata ukimuona tu unaridhika. Rafiki you are in big trouble.
nampenda as a bussines partner. Sasa anavyokuwa anamchukia huyo mchumba angu huwa inaniletea tabu kwa sabcu mchumba angu hana amani na huwa ananishaur niache kufanya naye.
Kwani mnashare capital?
Kama hili ndo jibu unalotoa kwa post ya Asha D hapo juu, nina mashaka kama umemwelewa....nashukuru sana Asha D kwa ushauri wako. Yan kwa kwel nimehc amani baada ya kulileta hl suala hapa lijadiliwe na Great Thinkers. Ntaufanyia kaz ushauri wako na nitakupa feeback. Be blessed.
nimesha mweleza mchumba wangu ila c unajua tena mambo ya wanawake yalvyo. Amekuwa akiniuliza mara kwa mara kuhusu huyo rafiki.
endeleza mchakato wa kuweka ndani huyo bibiye mpya.yule demu wa mwanzo aliyekuringia,muombe tena zigo.akikubali mgonge ngozi halafu mpotezee..si alikuringia?siku akijipendekeza kula mzigo halafu piga chini fasta.
NB:...changanya na za kwako!
Kama hili ndo jibu unalotoa kwa post ya Asha D hapo juu, nina mashaka kama umemwelewa....
asilimia 70 ya mtaji ni wa kwangu. Ye huniweza kupata bidhaa kwa urahc toka abroad coz tayar ana uzoef ktk hii biashara.
Haya kwa heri Mkoloni, changanya na za kwako, Na Mungu akusaidie, ushinde hilo jaribu/changamoto unazokumbana nazo. Barikiwa.