Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Vyema mkuu...nakumbuka kipindi nikiwa mvulana nilipata kua na rafiki binti whom nadhani kwa ajili ya ukaribu wetu nilienda too far lakini akasema hapana...nikachukia sana...nikaamua kuachana nae na kuelekeza kichwa changu kwenye elimu nikidhani namkomoa...hakunichukia...kwa kweli leo hii yeye ni mmoja kati ya watu waliochangia kujenga personality yangu kwa kua by the time km angekubaliana nami si mimi wala yeye agekua alipo sasa!
Nachokuaminisha hapa ni kua mapenzi yapo na yanapita ila maisha kwanza...ukifanya maamuzi sahihi utapata two in one!
Nachokuaminisha hapa ni kua mapenzi yapo na yanapita ila maisha kwanza...ukifanya maamuzi sahihi utapata two in one!