Ni nini kinasababisha watu kuchepuka

Ni nini kinasababisha watu kuchepuka

Mademu wengine wana lawama...Wakisikia Boyfriend wake AMECHEAT atapiga kelele...atamsuta "Umekosa nini Mwanaume huridhiki,Utamaliza Nyama bucha Ileile,kwani mi sikupiiii,si nakuuliza wewe Hasidi Fisadi namba 1 wa Mapenzi usiyetosheka,Kwani Haikutoshi hii?"
Anatokwa Povu wakati In Reality HAKUNA ANACHOFANYAGA...Anachojua ni Kubetua ile LOKI ya Sidiria na Kujilaza Chanuu kusubiria Mkwaju..Baada ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya takataka..Kazi yote ufanye wewe...Sasa kuna wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe maana Ukifika mlangoni unadakwa kabla hata hujavua viatu,Unafinywa Si kufinywa,Unameng'enywa na mchanganyiko wa Meno na Kucha unabaki unaweweseka kama Kondoo aliyesahau Mlango wa Banda..Khanga ikianguka Mtoto ana Shanga kama 76 za rangi tofauti anakubidua,Mguu mmoja dirishani mwingine kwenye Feni..Ukija kutua unasindikizwa na Busu la Sikio unaambiwa Poleeee...halafu unapewa Juisi ya Embe huku unakunwakunwa Ulale...
Sasa wewe unabetua Sidiria unatulia kama Ndama mwenye Mdondo...Akimaliza unamwambia "SOGEA HUKO TULALE UNANIBANA"
Asipochepuka labda ni Mhashamu Askofu Mwandamizi wa Kigango cha Mavurunza.

Kwa dunia ya sasa kucheat ni 50/50 wanawake kwa wanaume sasa na wanawake wanaocheat wanaumr zao wako na shida gani? Naona umezungumzia upande mmoja.
 
Sio mitazamo tu!!!!! ukija kwenye maisha halisi watu wanachepuka balaa......... me kama mwanamke nawezaje kuzuia mchepuko wa mume ???????
Wako wanaume wengi wenye wake wenye wake wazuri na wanatimiziwa kila kitu na bado kuchepuka kuko palepale....... na hakuna mwanaume asiye na mchepuko tofauti tu ni wengine wanafanya kwa siri sana na wengine wako wazi

Msizungumzie wanaume peke yao wanawake wa sasa wanacheat sana au kwa sababu wao wanaenda kimya kimya maana naona mada inalenga wanaume tu wkti hapa naona wanawake wamekodisha apartment wanazilipia per month siku akijiskia wanakuja na michepuko yao wanamaliza haja zao na wako waume na watt!
 
Kazi ipo hapo. Siku hiz watu wakikutana hanimuni wanachati kwanza na x wao bfore

Yaan hali inatisha ulilosema ni kweli kuna kaka kaoa yupo hanimuni Zanzibar lakn kutwa ni kupiga simu kwa shoga yangu etii ogh mimi huyu mwanamke simfurahii humfurahii wakati umemuoa? Sasa hapa michepuko haiwezi kuisha
 
Sio mitazamo tu!!!!! ukija kwenye maisha halisi watu wanachepuka balaa......... me kama mwanamke nawezaje kuzuia mchepuko wa mume ???????
Wako wanaume wengi wenye wake wenye wake wazuri na wanatimiziwa kila kitu na bado kuchepuka kuko palepale....... na hakuna mwanaume asiye na mchepuko tofauti tu ni wengine wanafanya kwa siri sana na wengine wako wazi
tinna bhana acha mambo yako, hakuna mwanaume asiye na mchepuko? Una uhakika?
Na nikikuambia sina mchepuko na wala sifikirii kuwa nae utasemaje?
 
tinna bhana acha mambo yako, hakuna mwanaume asiye na mchepuko? Una uhakika?
Na nikikuambia sina mchepuko na wala sifikirii kuwa nae utasemaje?

Hapo usinidanganye ww baba........ sema unafanya siri tuu
 
Jamani michepuko ni tama tu za pande zote si kwa wanawake wala wanaume michepuko inasababishwa na tamaa.
 
Kwanini uolewe na usiye mpenda wakati kuna uhuru wa kujichagulia mwenza siku hizi?

Watu wanaoana kabla ya kujuana vizuri na kuzoeana kiuhalisi, hivyo mtu anadhania mwenzi wake yuko hivi kumbe wakishaanza kuishi pamoja kila mtu anaona ndivyo sivyo. Lakini inakuwa too late!
 
wacha kudanganya wenzio...skype whatsapp are a pior substitute for the human touch nd intimacy....ingekuwa hivyo watu sii wangegedana na hizo watsapp na facebook zao

Angekuwa ni mtu mwingine,sawa ila wewe mzabzab kwako relationship ni kugegedana tu......nilivyosema mawasiliano mazuri,nilimaanisha mawasiliano ya mara kwa mara,ambayo yanaleta ukaribu.......sasa kama unampigia simu mkeo mara moja kwa mwezi.... mwenzio anapata picha labda humjali,ushapata mwingine.....sikumaanisha watu wagegedane through skype,ingawa watu wana do mpaka wanacome....pia nilivyosema mawasiliano yamerahisishwa nilimaanisha technology imefanya mambo kuwa rahisi,..........hizo intimacy na human touch ndio huwezi kuzipata facebook.....ila kama mna mawasiliano mazuri you will hold on,mnapanga mkutane once in a while kabla hamjawa pamoja.......
 
Angekuwa ni mtu mwingine,sawa ila wewe mzabzab kwako relationship ni kugegedana tu......nilivyosema mawasiliano mazuri,nilimaanisha mawasiliano ya mara kwa mara,ambayo yanaleta ukaribu.......sasa kama unampigia simu mkeo mara moja kwa mwezi.... mwenzio anapata picha labda humjali,ushapata mwingine.....sikumaanisha watu wagegedane through skype,ingawa watu wana do mpaka wanacome....pia nilivyosema mawasiliano yamerahisishwa nilimaanisha technology imefanya mambo kuwa rahisi,..........hizo intimacy na human touch ndio huwezi kuzipata facebook.....ila kama mna mawasiliano mazuri you will hold on,mnapanga mkutane once in a while kabla hamjawa pamoja.......

Takbiiiiiiiiiiiiir
 
Uzuri akili zako zinakutosha mwenyewe. Mie nakuangalia tu, siku unaniambia unamuwowa Jestina ndio nitafanya conclusions
Kuna siku King'asti alisema eti mi na we tuna bifu.

Nikashangaa sana. Nikajisemea mbona Jestina mtu wangu siku hizi.

Sie hatuna bifu bana...si ndio?
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wanaweza
kukwambia "Mi nataka
Mwanaume anipende tu
BHAASSS!!Ukidhani kwamba
Upendo wako unatosha kwake
UTAKUWA UMEFELI
Wanawake wanahitaji vitu 4 na
vyote VIENDE KWA PAMOJA
(Perpendicularly),vitu hivyo ni
1.HELA 2.GOOD SEX 3.CARING
MAN 4.MUDA
Kuna Wanaume wanajua
"Kukaza vizuri" mwanamke
anatosheka,na wana hela ila
WAKO BUSY...Hii factor ya
wewe kuwa Busy tu itamfanya
mtu mwingine mwenye Muda
"Amkaze kiulaini kabisa" halafu
wewe utashangaa..."Mke wangu
nampa kila kitu,hela za kila kitu
nampa..YES,Amekaa muda
mrefu uko bize unasaka hela na
adui namba 1 wa Mwanamke ni
LONELINESS....
A lonely Woman can easily be
trapped by anyone..hata
Houseboy akimpa ATTENTION
endlessly anakula mzigo
 
Back
Top Bottom