Ni nini kinasababisha watu kuchepuka

Ni nini kinasababisha watu kuchepuka

Itaishaje sasa shemeji, haiwezi kuisha michepuko ndo habare....

Ha ha ha ha shem.. Jaribuni kutowapa sababu basi wanaume wasichepuke..! Unajua ni afadhali mwanaume achepuke kwa kuwa tu ni mwanaume (wanasema its about man being a man) kuliko achepuke kwa kuwa amekosa kitu toka kwa mke wake..! Michepuko ya aina hii wanajenga viota kabisa huko michepukoni..
 
Ha ha ha ha shem.. Jaribuni kutowapa sababu basi wanaume wasichepuke..! Unajua ni afadhali mwanaume achepuke kwa kuwa tu ni mwanaume (wanasema its about man being a man) kuliko achepuke kwa kuwa amekosa kitu toka kwa mke wake..! Michepuko ya aina hii wanajenga viota kabisa huko michepukoni..
Akijenga kiota mi najenga mzinga kabisa shemeji...man being a man my ass ha ha ha it will only be applicable siku nkienda India kuchukua moyo wa spea!!!!
 
Kama mtu alikuwa na girlfriends msululu unategemea awaache eti sababu kaoa...? Huyo kaoa ili azae watoto ndani ya ndoa si mapenzi...
Tabia haina dawa...
Ila wanawake wengi hujidanganya kuwa kama kanioa nime win...kumbe ndio kwanza umeingia rasmi kwenye mashindano...

Unakuta mtu anaolewa na mtu mwenye multiple partners kwa kujipa moyo eti atatulila..never...ni wachache wanaotulia...

But 'good boys' wanatulia sana...hata wakichiti basi wameteleza na ni raisi kurudi kwenye mstari...


kuna kitu kinanishangaza mtu ana ndoa haina hata miezi sita anachepuka kwa kasi ya kimbunga, sasa kama aliyemuweka ndani hampendi alimuowa wa nini?
au mkewe anakuwa hana ladha au ugomvi bora hata ndoa ya mwaka au miaka utasema wamechokana, sasa imekuwa mtu anakatisha haneymoon ili akachepuke.

Najiuliza nini kinasababisha
 

Attachments

  • belly_dancer-1118.gif
    belly_dancer-1118.gif
    8.6 KB · Views: 543
Watu wengine sifa tu, mi naamini hadi unaamua kuoa, basi umetafakari vya kutosha.
jitu linaona sifa likipiga story za michepuko yake kwa washkaji....

ila msisahau ukila cha mwenzio na chako kitaliwa
 
Back
Top Bottom