Piga picha kweli namvisha pete Jes...hahahaaa.
Toto itakayozaliwa mbona itakuwa balaa.
Atakuwa ok huyo mtoto manake mtamvutisha bhange since birth.
But i will take princess msije mkam-pollute
kukaa bila mchepuko ni sawa na kusafiri bila spea tairi, ndugu tafuta kazi ya nje wewe....
Angekuwa ni mtu mwingine,sawa ila wewe mzabzab kwako relationship ni kugegedana tu......nilivyosema mawasiliano mazuri,nilimaanisha mawasiliano ya mara kwa mara,ambayo yanaleta ukaribu.......sasa kama unampigia simu mkeo mara moja kwa mwezi.... mwenzio anapata picha labda humjali,ushapata mwingine.....sikumaanisha watu wagegedane through skype,ingawa watu wana do mpaka wanacome....pia nilivyosema mawasiliano yamerahisishwa nilimaanisha technology imefanya mambo kuwa rahisi,..........hizo intimacy na human touch ndio huwezi kuzipata facebook.....ila kama mna mawasiliano mazuri you will hold on,mnapanga mkutane once in a while kabla hamjawa pamoja.......
Kweeli lakini. Hata kama wanawake hatupendi hii nayo pointi
Mchele mmoja mapishi mbalimbali! tafakari.....
Haya ndiyo yanayosababisha mtu kuchepuka...
1.UMASKINI.
2.UPUMBAVU.
3.USHAMBA/ULIMBUKENI.
4.LAANA.
Huwezi kula muhogo dagaa siku zote lazima ubadilishe mlo
Njia kuu foleni.............
Nyama hazifanani zina ladha tofauti
Mkuu ndoa zenyewe mwayangu mwayangu "umelazimishwa tu, mbuzi kwenye gunia, ulimpa mimba demu, au wazazi wamekukomalia"
kukaa bila mchepuko ni sawa na kusafiri bila spea tairi, ndugu tafuta kazi ya nje wewe....
Hujataja mautundu kunako majambozzzzz
hiyo inaangukia hapo kwenye USHAMBA/ULIMBUKENI
Sababu ni nyingi sanaa kila mmoja wetu ana sababu zake kuchepuka kwa pande zote kwa wanaume na kwa wanawake.1. Tamaa ya fedha au mwili
2.majaribio ya aina ya wanaume au wanawake
3.masuala ya kiimani, mfano pepo
4.kutoridhika kwa hali yoyote na mtu uliyenaye
5.mob psychology ( kutegemeana na uwezo Wa kufikiri Wa mtu)
Sio mitazamo tu!!!!! ukija kwenye maisha halisi watu wanachepuka balaa......... me kama mwanamke nawezaje kuzuia mchepuko wa mume ???????
Wako wanaume wengi wenye wake wenye wake wazuri na wanatimiziwa kila kitu na bado kuchepuka kuko palepale....... na hakuna mwanaume asiye na mchepuko tofauti tu ni wengine wanafanya kwa siri sana na wengine wako wazi
Yaani kama hii ndo mitazamo toka kwa wanawake basi michepuko haitakwisha..!
Tamaaa
Sababu ni nyingi sanaa kila mmoja wetu ana sababu zake kuchepuka kwa pande zote kwa wanaume na kwa wanawake.
Labda uanzishwe uzi unaosema " kila mtu aliyewahi kuchepuka aeleze sababu za kuchepuka" kila mmoja atakuja sababu zake
Msingi wa kwanza wa ndoa imara hujengwa na upendo wa dhati ndani ya nyoyo za wana ndoa na sio tamaa ndani ya vifua vya wanandoa.....
Vijana wengi tunachukulia ndoa kama jambo jepesi na la mchezo mchezo ndio maana huwa nashangaa nikisikia watu waliokutana jana kwenye daladala kesho unasikia wameshaoana.......
Msingi wa pili wa ndoa imara ni kuvumiliana kwa kuwa miongoni mwenu hakuna aliyekamilika na huwezi kumkamilisha basi huna budi kumvumilia.......
Kumbuka huyo mtu unayeenda kuishi naye ametoka familia tofauti sana na wewe kwa hiyo na yeye amepata malezi tofauti sana na wewe kwa hiyo katika hali kama hiyo silaha kubwa ni uvumilivu hasa kwa yale yanayovumilika.....
Vile vile vijana tupunguze matazamio na matarajio yaliyopitiliza kwa wapendwa wetu...tuondoke katika ulimwengu wa tamthilia tuingie katika ulimwengu halisi na tuyachukulie mambo katika uhalisia wake......
Vile vile wanandoa wajitahidi kumaliza migogoro midogo modogo kati yao ili nyumbani pawe mahala pa kuvutia kwa wanandoa....nyumbani pakigeuka kama uwanja wa masimango na manyanyaso hali hiyo humpelekea mwanandoa kutafuta amani , upendo na furaha mahali pengine ( MCHEPUKO)
Pia vijana ingefaa tujipime wenyewe je nipo tayari kuingia kwenye ndoa kwa kuwa ndoa sio jambo la mchezo....isiwe sababu ya pesa zake au umaarufu wake au hata kwa msaada anayokupatia bali kwa nafasi yake moyoni mwako....
Imani yangu inaniambia kuwa ni vigumu sana kumsaliti mtu ambaye umemchagua kutoka moyoni kwa kuwa hata nafsi yako itakusuta na utajiona mwenye hatia daima....
Sababu ni nyingi sanaa kila mmoja wetu ana sababu zake kuchepuka kwa pande zote kwa wanaume na kwa wanawake.
Labda uanzishwe uzi unaosema " kila mtu aliyewahi kuchepuka aeleze sababu za kuchepuka" kila mmoja atakuja sababu zake